Kama mama mjamzito atatumia dawa za kulevya basi humuathiri mtoto moja kwa moja. Mtoto aliye tumboni hulishwa kupitia damu ya mama yake. Kwa hiyo mama mjamzito anapotumia dawa hizo za kulevya, dawa huingia mwilini mwa mtoto anayekua. Matumizi ya dawa za kulevya pia huongeza uwezekano wa mimba kuharibika.
Je, nini kitatokea iwapo mwanamke atatumia dawa za kulevya wakati wa ujauzito?
Date: April 17, 2022
Author: SW - Melkisedeck Shine
Comments
Please log in or register to leave a comment or reply.
Related Posts
Wakati wa kutunga mimba ni mbegu moja tu ya kiume inayopenya kwenye yai, mbegu nyingine zinaenda wapi?
Ni kweli kwamba wakati wa kujamii ana na kutunga mimba ni mbegu moja tu ya kiume i inayopenya kwe... Read More
Utumiaji nguvu katika mahusiano ya ujinsia kama sehemu ya utamaduni
Utumiaji wa nguvu
katika mahusiano ya
ujinsia unavunja haki
za uzazi na haki za
Je, kama mwanamke na mwanaume wanapata watoto wa jinsia moja tu, ni kosa la nani?
Hakuna mwenye kosa, kwa sababu jinsia ya mtoto i inategemea na bahati na hamna uwezekano wa kupan... Read More
Je, nini imani ya watu katika kufanya mazoezi ya kujiongeza nguvu wakati wa ngono/kufanya mapenzi?
Habari za leo rafiki yangu! Leo tutazungumzia jambo muhimu sana kwenye uhusiano wa mapenzi, ambal... Read More
Nikitafuta rafiki kwa nia ya kuoana (mchumba), je ni sifa gani niangalie kwa msichana/mvulana?
Je, kuna umuhimu wa kujadili maoni na mitazamo yako kuhusu ngono/kufanya mapenzi?
Habari zenu wapenzi wa Mapenzi! Kuna umuhimu mkubwa sana wa kujadili maoni na mitazamo yako kuhus... Read More
Mtoa huduma wa afya anaweza kukataa kutibu?
Siyo haki kwa mtoa huduma wa afya kukataa kumtibu.
Kama kijana, una haki sawa ya kutibiwa ka...
Read More
Kwa nini watu wengine wanaamua kutoa mimba?
Hapa Tanzania utoaji wa mimba hauruhusiwi kisheria. Hata hivyo watu wengine wanaamua kutoa mimba ... Read More
Je, unaweza kufa kutokana na kuvuta sigara na kunywa pombe?
Ndiyo. Unaweza kufa kutokana na kuvuta sigara au kunywa
pombe. Lakini pale tu utakapozidisha...
Read More
Wanawake wanaweza kulewa haraka kuliko wanaume?
Wasichana na wanawake wanaweza kulewa kwa ujumla.
Mara nyingi, hulewa pombe haraka kuliko wa...
Read More
Kwa nini Albino wanatengwa katika masuala ya mapenzi na wale watu ambao siyo Albino?
Watu huogopa kujaribu vitu au mambo ambayo hawajayazoea
au yale ambayo yapo tofauti. Jinsi u...
Read More
Je, zipo sheria zinazolinda watu wenye ulemavu hapa Tanzania?
Ndiyo, zipo sheria
hapa T a n z a n i a
z i n a z o w a l ...
Read More
No comments yet. Be the first to share your thoughts!