Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/list.ackyshine.com/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE ๐Ÿ”
โ˜ฐ
AckyShine

Kwa nini Albino wanatengwa katika masuala ya mapenzi na wale watu ambao siyo Albino?

Featured Image

Watu huogopa kujaribu vitu au mambo ambayo hawajayazoea
au yale ambayo yapo tofauti. Jinsi unavyozidi kujua ukweli
kuhusu sababu za ualbino ndipo unavyoweza kujenga mtazamo
chanya ikiwemo kuwapenda.
Wapo pia watu wengi katika jamii yetu ambao wana mahusiano
ya kimapenzi na Albino na ambao wapo katika ndoa. Watu
wengine katika jamii wanapoona mifano hiyo inasaidia katika
kuondoa wasiwasi na kuondoa imani potofu.

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

No comments yet. Be the first to share your thoughts!

Related Posts

Inakuwaje mtoto anakuwa wa kike au wa kiume?

Inakuwaje mtoto anakuwa wa kike au wa kiume?

Mwili wa mwanaume unatengeneza aina mbili za mbegu. Kuna mbegu zinazokua kuwa mtoto wa kiume na k... Read More

Je, kuna tofauti za kitamaduni katika mtazamo wa ngono/kufanya mapenzi?

Je, kuna tofauti za kitamaduni katika mtazamo wa ngono/kufanya mapenzi?

Habari za leo wapenzi wa Kiswahili! Leo tutajadili suala la tofauti za kitamaduni katika mtazamo ... Read More

Vidokezo vya Kuwa na Uvumilivu katika Uhusiano wako na Msichana

Vidokezo vya Kuwa na Uvumilivu katika Uhusiano wako na Msichana

Kuwa na uhusiano mzuri na msichana ni jambo ambalo kila mwanaume anataka. Hata hivyo, wakati mwin... Read More

Jinsi ya kutumia kondomu ya kike

Jinsi ya kutumia kondomu ya kike

Kondomu ya kike inafahamika kwa jina la โ€žcareโ€œ na โ€œLady Petetaโ€. Hapa Tanzania hazipatika... Read More

Haki za uzazi ni zipi?

Haki za uzazi ni zipi?

Haki za binadamu ni haki zinazohusiana na mambo ya msingi na asili ya uhuru na heshima ya ubinadamu ... Read More
Nifanyeje Kujikinga na Maambukizi ya magonjwa ya zinaa (STIs)?

Nifanyeje Kujikinga na Maambukizi ya magonjwa ya zinaa (STIs)?

Nifanyeje Kujikinga na Maambukizi ya Magonjwa ya Zinaa (STIs)?

Jambo wapenzi wa vijana! Le... Read More

Vijana Albino wafanye nini ili kulinda ngozi yao?

Vijana Albino wafanye nini ili kulinda ngozi yao?

Pamoja na matatizo ya kuona, ngozi ya Albino ni rahisi sana
kudhurika kwa mionzi ya jua. Hat... Read More

Vidokezo vya Kuonyesha Shukrani kwa Msichana Wako

Vidokezo vya Kuonyesha Shukrani kwa Msichana Wako

Kumwonyesha shukrani msichana wako ni njia moja ya kumfanya ajisikie muhimu na kupendwa. Kwa hiyo... Read More

Magonjwa ya zinaa yanavyoenea

Magonjwa ya zinaa yanavyoenea

Magonjwa ya zinaa husababishwa na vijidudu vya magonjwa na huambukizwa kwa kukutana kimwili na mt... Read More

Je, Ni Vipi naweza Kuepuka Shinikizo la Kufanya Ngono Katika Mahusiano?

Je, Ni Vipi naweza Kuepuka Shinikizo la Kufanya Ngono Katika Mahusiano?

Je, Ni Vipi naweza Kuepuka Shinikizo la Kufanya Ngono Katika Mahusiano? ๐ŸŒผ

Habari za leo... Read More

Je, kuna madhara gani kama mtu anakaa muda mrefu bila kujamiiana au kufanya mapenzi?

Je, kuna madhara gani kama mtu anakaa muda mrefu bila kujamiiana au kufanya mapenzi?

Ukweli ni kwamba hakuna madhara yoyote ya kiafya iwapo utakaa muda mrefu bila ya kujamiiana. Viungo ... Read More
Kwanini Albino wanakuwa na mabaka meusi kwenye ngozi zao?

Kwanini Albino wanakuwa na mabaka meusi kwenye ngozi zao?

Ngozi ya Albino haina jinsi ya kujilinda na mionzi ya jua. Inaungua
sana baada ya kupatwa na... Read More

๐Ÿ“– Explore More Articles
๐Ÿ  Home ๐Ÿ“– Reading ๐Ÿ–ผ๏ธ Gallery ๐Ÿ’ฌ AI Chat ๐Ÿ“˜ About