Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/list.ackyshine.com/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Angalia huyu baba alichowafanya mtoto wake wa kike na boyfriend wake

Featured Image

BABA OYEEEEEEπŸ’ͺπŸ’ͺ
Soma hii…

Msichana alikuwa amekaa na baba yake kibarazani, mara akamuona MVULANA friend wake akija, yule mvulana alipokaribia tu, yule msichana akamwambia hivi:-

MSICHANA: Umekuja kuchukua kile kitabu chako, kinachoitwa "DADDY IS AT HOME?" by Ngozi Okafor

MVULANA: Hapana!, Nimekuja kuazima kitabu cha maombi kama kinaitwa "WHERE SHOULD I WAIT FOR YOU?" by NgΕ©gΔ© wa Thiong'o

MSICHANA: Aaah! Hicho sina ila ninacho kimoja kinaitwa "UNDER THE MANGO TREE" by Chimamanda Adichie

MVULANA: Ooh! Vizuri, Basi usisahau kuja nacho kesho kitabu cha Okot p'Bitek kile kinachoitwa "CALL ME IN 5 MINUTES BEFORE" Utakapokuja shule.

MSICHANA: Usijali, tena nina kitabu kipya kinaitwa "I WON'T LET YOU DOWN" by Chinua Achebe

Baba mtu akawatazama kisha akasema

BABA: Vitabu vyote hivyo, mbona vingi sana, atavisoma vyote kweli

MSICHANA: Ndio Daddy, huyu mvulana yupo smart sana na ana akili atavisoma vyote hivyo!

BABA: Sawa! Usisahau kumpatia na kile ambacho nimekiweka pale juu ya meza, kinaitwa "I AM NOT STUPID, I UNDERSTOOD EVERYTHING YOU'VE BEEN SAYING" by Shakespeare!

Na kuna kingine nimekiweka juu ya kabati la vyombo, kinaitwa "IF YOU GET PREGNANT PREPARE TO GET MARRIED" by Wole Soyinka.

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Edward Chepkoech (Guest) on December 18, 2021

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

Grace Minja (Guest) on December 12, 2021

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

John Mwangi (Guest) on November 23, 2021

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Lucy Wangui (Guest) on November 21, 2021

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

Lydia Mahiga (Guest) on October 23, 2021

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Nancy Akumu (Guest) on October 11, 2021

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Josephine Nduta (Guest) on October 4, 2021

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

Grace Wairimu (Guest) on August 14, 2021

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Andrew Mahiga (Guest) on July 14, 2021

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

Grace Njuguna (Guest) on June 8, 2021

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

James Malima (Guest) on May 31, 2021

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Ahmed (Guest) on May 17, 2021

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Monica Lissu (Guest) on May 3, 2021

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Wilson Ombati (Guest) on April 21, 2021

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Alice Mwikali (Guest) on April 18, 2021

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†

Janet Mwikali (Guest) on March 14, 2021

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Patrick Kidata (Guest) on March 8, 2021

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

Joseph Kiwanga (Guest) on March 4, 2021

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

Binti (Guest) on February 20, 2021

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

Mary Sokoine (Guest) on February 19, 2021

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

Peter Otieno (Guest) on February 19, 2021

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Janet Wambura (Guest) on February 16, 2021

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

Athumani (Guest) on February 4, 2021

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

Mwanakhamis (Guest) on February 1, 2021

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

Bahati (Guest) on January 29, 2021

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Michael Mboya (Guest) on January 15, 2021

πŸ˜‚πŸ€£

Susan Wangari (Guest) on December 30, 2020

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Simon Kiprono (Guest) on December 26, 2020

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Elizabeth Mrope (Guest) on December 14, 2020

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

Arifa (Guest) on December 8, 2020

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

Mwanaisha (Guest) on October 22, 2020

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Margaret Anyango (Guest) on October 18, 2020

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

Michael Mboya (Guest) on October 1, 2020

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

Sharifa (Guest) on September 21, 2020

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Joseph Kiwanga (Guest) on September 9, 2020

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜ŠπŸ˜†

Hashim (Guest) on August 23, 2020

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

David Ochieng (Guest) on August 20, 2020

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Lucy Kimotho (Guest) on August 15, 2020

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

Dorothy Majaliwa (Guest) on August 14, 2020

πŸ˜… Nilihitaji hii!

Janet Sumaye (Guest) on June 22, 2020

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

Sharon Kibiru (Guest) on June 6, 2020

Hii ni ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Jane Muthoni (Guest) on May 17, 2020

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Sharon Kibiru (Guest) on April 27, 2020

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

Moses Mwita (Guest) on April 15, 2020

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

Dorothy Mwakalindile (Guest) on March 31, 2020

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Rashid (Guest) on March 16, 2020

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

George Tenga (Guest) on March 11, 2020

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

Emily Chepngeno (Guest) on March 7, 2020

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Patrick Akech (Guest) on January 30, 2020

πŸ˜‚πŸ˜‚

Janet Sumari (Guest) on January 2, 2020

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Christopher Oloo (Guest) on December 28, 2019

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Rose Kiwanga (Guest) on December 26, 2019

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

Susan Wangari (Guest) on December 14, 2019

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Sarafina (Guest) on November 22, 2019

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

Ruth Kibona (Guest) on November 20, 2019

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Alex Nyamweya (Guest) on November 9, 2019

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

Emily Chepngeno (Guest) on October 30, 2019

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Moses Kipkemboi (Guest) on October 27, 2019

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Grace Minja (Guest) on October 3, 2019

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Chiku (Guest) on September 27, 2019

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

Related Posts

Huyu mchaga kazidi sasa, angalia anavyomfanya huyu mbuzi

Huyu mchaga kazidi sasa, angalia anavyomfanya huyu mbuzi

Mchaga alinunua mbuzi akamwambia mpishi Nyama nusu ipike pilau na ingine itie kwenye friza. Kichwa f... Read More
Misemo ya kina dada

Misemo ya kina dada

Misemo ya kina dada

walianza na halohalooo!
Wakaja unalo babu weee!
Ikafuata utaj... Read More

Angalia alichokifanya huyu mkaka alipoenda benki 🏦

Angalia alichokifanya huyu mkaka alipoenda benki 🏦

At the bank..

Teller: Hii pesa ni fake

Mkaka: Shida iko wapi..pesa ni yangu..acc... Read More

Ukimuona mbwa kwenye harusi hii ndiyo maana yake

Ukimuona mbwa kwenye harusi hii ndiyo maana yake

Hili nalo neneo.

Ukimuona mbwa🐢 harusini usimpige mawe wala kumfukuza inawezekana kilich... Read More

Je, hii ni kweli kwa wale wasichana wasiojibu meseji WhatsApp!!!?

Je, hii ni kweli kwa wale wasichana wasiojibu meseji WhatsApp!!!?

Ukiona hivyo ujue ndio hivi

Mwanaume mwenzangu ukiona unamtext msg msichana WhatsApp kaisom... Read More

Angalia ndoto nyingine zilivyo na Majanga

Angalia ndoto nyingine zilivyo na Majanga

Ndoto zingine bwana usiombe zikupate

Mimi usiku wa kuamkia Leo nikiwa nimelala nimeota naen... Read More

Nilichokifanya baada ya kualikwa na mchumba wangu kwao

Nilichokifanya baada ya kualikwa na mchumba wangu kwao

Mchumba wangu amenialika kwao nikawaone wazazi wake lakini akaniambia nisien... Read More

Raha ya kuoa mke ambaye hajasoma

Raha ya kuoa mke ambaye hajasoma

Ukioa mke asiyesoma hata hili unaweza kufanya

KUOA MKE AMBAE HAJASOMA RAHA SANA LEO... Read More

Utani kwa wadada wembamba

Utani kwa wadada wembamba

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Wadada wembamba hebu nenepeni basi mn... Read More

Darasa lolote lile halikosi watu kama hawa

Darasa lolote lile halikosi watu kama hawa

Darasa lolote lile (hasa vyuoni) lazima liwe na wanafunzi wafuatao:
1. Mrembo wa darasa.
Read More

Mambo makuu matatu waafrika tusiyoyajua

Mambo makuu matatu waafrika tusiyoyajua

NIMEKAA NIKAWAZA πŸ™‡πŸΌ KUWA KUNA MAMBO KAMA MATATU HIVIπŸ‘ŒπŸ» WAAFRIKA HATUYAJUI πŸ™‰ KAMA TUNG... Read More
Tofauti kati ya mwanamke na mwanamme

Tofauti kati ya mwanamke na mwanamme

UTOFAUTI KATI YA MWANAMKE NA MWANAUME
1. Kwenye mshituko; mwanaume hushituka halafu huangali... Read More