Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/list.ackyshine.com/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Jamaa mpenda michepuko kapatikana

Featured Image

…Upo kazini umeacha familia yako nyumbani mara ghafla unapigiwa simu kutazama unakutana na no ngeni na kuamua kuipokea ndipo unakutana na Sauti ya msichana ya kuvutia lakin kabla hajasema shida yake anaamua kukata simu. Unashikwa na hamu ya kujua ni nani. Tamaa ya mchepuko inakujia ghafla na kuamua kuipiga ile no tena kwa mara nyingine inakuwa haipatikani.

Siku hiyo hiyo usiku ukiwa umelala chumba kimoja na mkeo meseji inaingia tena kwenye cm yako kwa ile namba iliyokupigia mchana ikikuomba umpigie kwa mida ule na kusisitiza kuwa ana hamu ya kukufahamu. kila ukimtumia meseji ya kumdanganya upo sehemu mbaya hasikii anakubipu mara nyingi. Uzalendo unakushinda, unamuangalia pembeni mkeo kalala fofofo kajifunika shuka hadi usoni. Unaamua kuondoka kwa kunyata mpaka sebuleni kwenda kuipiga Ile namba kwa lengo la Kumwambia kesho mkutane. Ile unafika sebuleni na kuanza kuipiga ile cm ndipo unakutana na sauti hii:-Β MUME WANGU ACHA MCHEPUKO, NILIKUWA NAKUPIMA TU RUDI TU CHUMBANI TULALEΒ πŸ˜‹πŸ˜‹πŸ˜‹πŸ˜‹πŸ˜‹πŸ˜‹πŸ˜‹πŸ˜‹ Hapo ndo utajua kwann bata hata ale kokoto anaharisha πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Monica Adhiambo (Guest) on July 19, 2024

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Violet Mumo (Guest) on June 15, 2024

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Hekima (Guest) on May 19, 2024

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Esther Cheruiyot (Guest) on April 29, 2024

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

Elijah Mutua (Guest) on April 27, 2024

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Edward Lowassa (Guest) on April 23, 2024

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Mwanajuma (Guest) on April 7, 2024

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

Nora Lowassa (Guest) on March 25, 2024

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

Edith Cherotich (Guest) on March 21, 2024

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

Alice Mwikali (Guest) on March 8, 2024

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

Lydia Mzindakaya (Guest) on January 3, 2024

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Charles Wafula (Guest) on December 12, 2023

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

John Kamande (Guest) on December 2, 2023

πŸ˜‚πŸ˜†

Ramadhan (Guest) on December 1, 2023

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Edward Chepkoech (Guest) on November 25, 2023

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Nora Kidata (Guest) on November 20, 2023

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Michael Onyango (Guest) on November 18, 2023

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

Edward Chepkoech (Guest) on November 14, 2023

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Margaret Mahiga (Guest) on October 15, 2023

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Henry Mollel (Guest) on October 15, 2023

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

Hawa (Guest) on September 19, 2023

πŸ˜… Bado ninacheka!

Mary Kidata (Guest) on September 18, 2023

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Nancy Kawawa (Guest) on September 17, 2023

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

Paul Kamau (Guest) on August 17, 2023

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Monica Adhiambo (Guest) on July 25, 2023

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

Saidi (Guest) on July 22, 2023

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Alice Mrema (Guest) on July 14, 2023

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Zubeida (Guest) on July 12, 2023

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Husna (Guest) on June 30, 2023

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Grace Minja (Guest) on June 14, 2023

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

Anna Sumari (Guest) on June 1, 2023

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

Alice Mrema (Guest) on May 30, 2023

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

Alice Wanjiru (Guest) on May 25, 2023

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Joseph Kitine (Guest) on April 25, 2023

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

Stephen Kangethe (Guest) on April 19, 2023

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

Betty Kimaro (Guest) on March 31, 2023

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Joseph Njoroge (Guest) on February 27, 2023

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Jane Malecela (Guest) on February 18, 2023

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Sarah Karani (Guest) on February 17, 2023

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Moses Kipkemboi (Guest) on February 3, 2023

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Edwin Ndambuki (Guest) on January 13, 2023

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Ann Wambui (Guest) on January 3, 2023

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Mariam Kawawa (Guest) on December 28, 2022

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

James Kawawa (Guest) on December 22, 2022

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

Joyce Nkya (Guest) on December 8, 2022

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

Nasra (Guest) on December 2, 2022

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

Mwafirika (Guest) on November 15, 2022

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Tambwe (Guest) on November 6, 2022

🀣 Ninaituma sasa hivi!

Charles Mboje (Guest) on October 19, 2022

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Charles Wafula (Guest) on August 9, 2022

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Lydia Wanyama (Guest) on August 4, 2022

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

Peter Mwambui (Guest) on July 9, 2022

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Joseph Njoroge (Guest) on May 25, 2022

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

Anna Mahiga (Guest) on May 24, 2022

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

Charles Mrope (Guest) on May 10, 2022

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Nora Kidata (Guest) on May 6, 2022

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

Edward Lowassa (Guest) on April 16, 2022

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Nancy Komba (Guest) on April 11, 2022

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Mary Njeri (Guest) on April 5, 2022

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Anna Sumari (Guest) on April 3, 2022

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

Related Posts

Kilichotokea baada ya mzungu na mbongo kukaa siti moja, bongo wasanii wengi

Kilichotokea baada ya mzungu na mbongo kukaa siti moja, bongo wasanii wengi

Mzungu akamdharau sana Mbongo nakujiona anajua kila kitu duniani!, Akamwambia Mbongo waulizane maswa... Read More
Cheki huyu mtoto anachosema

Cheki huyu mtoto anachosema

sijui hili toto langu nilipeleke wapi, Leo limetoka shule eti nikaliuliza BIBILIA kwa kingereza i... Read More

Cheki jamaa alivyoumbuka baada ya kuhudhuria semina isiyomuhusu

Cheki jamaa alivyoumbuka baada ya kuhudhuria semina isiyomuhusu

Jamaa kavamia semina ya wasomi iliyokua inafanyika maeneo ya ubungo plaza bas wakaanza kujitambul... Read More

Aina mojawapo ya watoto ambao ni hasara kuwa nao

Aina mojawapo ya watoto ambao ni hasara kuwa nao

Alipelekwa Hospitali na baba yake, baada ya vipimo Doctor akawa anamuandikia dawa, baba yake akatoka... Read More
Kilichotokea nikiiwa namsaidia mtoto home work

Kilichotokea nikiiwa namsaidia mtoto home work

Kusaidia Mtoto wa Nursery Homework ni Ngumu. Unamuuliza "Nina Pipi Tano, nikiwagawia Wat... Read More

Baada ya walevi wawili kuokota kioo hiki ndicho kilifuata

Baada ya walevi wawili kuokota kioo hiki ndicho kilifuata

Angalia kilichotokea Walevi wawili waliokota kioo, mlevi wa 1 akaangalia muda mrefu kisha akasema "... Read More
Google, Facebook, WhatsApp, Internet na Umeme nani zaidi?

Google, Facebook, WhatsApp, Internet na Umeme nani zaidi?

Google alisema : mimi nina kila kitu

Facebook ikasema : mimi najua watu wote

Wha... Read More

Cheki kilichotokea stesheni ya treni, mambo mengine ukipaniki inakula kwako kama huyu jamaa

Cheki kilichotokea stesheni ya treni, mambo mengine ukipaniki inakula kwako kama huyu jamaa

Jamaa Wawili Walifika Stesheni, wakakuta Treni ndo kwanza inaondoka. Wakaanza Kuikimbiza. Mmoja a... Read More

Sababu ya girlfriend πŸ‘§ kuniblock

Sababu ya girlfriend πŸ‘§ kuniblock

Nimeblockiwa bila kosa X Girlfriend From no where kanitext eti Hi; Vp na huko kwenu mvua... Read More

Sifa 10 za mwanaume ambaye kila binti anayetaka aolewe angependa aolewe naye!!

Sifa 10 za mwanaume ambaye kila binti anayetaka aolewe angependa aolewe naye!!

1. Awe na pesa nyingi

2.Siyo lazima awe mzuri wa sura

3. Ajenge ukweni

4.Awe mp... Read More

Amri za chuo

Amri za chuo

Ndio hizi sasa

1.Hicho ndicho chuo chako usiwe na chuo kingine ila hicho.
2.Usilitaje ... Read More

Alichojibu dalali baada ya kufumwa na mke wa mtu ndani ya nyumba ya kupanga

Alichojibu dalali baada ya kufumwa na mke wa mtu ndani ya nyumba ya kupanga

Dalali aliwatafutia jamaa chumba Buguruni karibu na reli, nyumba nzuri sana. Jamaa na mkewe wakahami... Read More
πŸ“– Explore More Articles