Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/list.ackyshine.com/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Tofauti ya mke na mchepuko!!!

Featured Image

MKE NA MCHEPUKO.

Mke ni kama Tv na Mchepuko ni kama Simu.
Nyumbani unaangalia Tv lakini ukitoka unatoka na simu.

Mara chache unafurahia Tv lakini Muda mrefu unacheza na simu yako.

Tv ni bure kwa maisha yako yote, lakini Simu kama hujalipia hupati huduma.

Tv ni kubwa nzito na wakati wote ni ya zamani. Lakini simu ni nzuri, nyembamba, na ni rahisi kubeba.

Gharama za huduma za tv ni ndogo sana, Lakini gharama za huduma za Simu ni kubwa na pia ni lazima kuzitimiza.

Tv ina remote lakini Simu haina.

Kitu muhimu zaidi simu ina njia mbili za kuwasiliana unaongea na unasikiliza lakini Tv unalazimika kusikiliza hata kama hutaki au unataka.

Unaweza kununua Tv mara moja na ukatumia kwa kipindi kirefu lakini Simu mara zote unabadilisha inategemea na fasheni.

Ya mwisho na ya kuzingatia

Tv haina Virusi lakini Simu inayo.

KUWA MAKINI.

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Nassar (Guest) on July 19, 2024

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

Guest (Guest) on August 13, 2025

Simu inanoga sana na unaweza kuifanya utakavyo na uweza kubadilisha kila baada ya mda fulani ila tv shida tupu

Guest (Guest) on August 9, 2025

Simu kweli ina zaid ya virusi

Lucy Kimotho (Guest) on May 19, 2024

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

Benjamin Kibicho (Guest) on April 28, 2024

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

Irene Akoth (Guest) on April 28, 2024

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Rose Amukowa (Guest) on April 15, 2024

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Sekela (Guest) on March 24, 2024

πŸ˜† Kali sana!

Jackson Makori (Guest) on March 4, 2024

Hizi jokes ni za kipekee sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Peter Tibaijuka (Guest) on February 15, 2024

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Janet Sumaye (Guest) on February 9, 2024

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

Abdullah (Guest) on February 7, 2024

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Diana Mallya (Guest) on February 6, 2024

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

Victor Mwalimu (Guest) on January 25, 2024

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Henry Mollel (Guest) on January 22, 2024

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

Chris Okello (Guest) on January 1, 2024

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

Joseph Mallya (Guest) on November 28, 2023

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

James Kawawa (Guest) on November 3, 2023

😊🀣πŸ”₯

Michael Mboya (Guest) on October 6, 2023

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

Hellen Nduta (Guest) on September 21, 2023

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

Esther Nyambura (Guest) on August 15, 2023

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

David Ochieng (Guest) on August 15, 2023

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Edith Cherotich (Guest) on August 14, 2023

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

Samuel Were (Guest) on August 10, 2023

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

Joseph Kiwanga (Guest) on July 11, 2023

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Agnes Njeri (Guest) on July 10, 2023

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

David Musyoka (Guest) on June 27, 2023

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Martin Otieno (Guest) on June 23, 2023

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Stephen Kangethe (Guest) on May 31, 2023

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

Rose Mwinuka (Guest) on May 12, 2023

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Victor Kamau (Guest) on March 23, 2023

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Michael Mboya (Guest) on March 1, 2023

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Thomas Mwakalindile (Guest) on February 13, 2023

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Rose Kiwanga (Guest) on February 9, 2023

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

Mercy Atieno (Guest) on February 7, 2023

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Bernard Oduor (Guest) on February 4, 2023

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ˜†

Jane Malecela (Guest) on January 27, 2023

πŸ˜… Bado nacheka!

Charles Mboje (Guest) on January 25, 2023

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

Philip Nyaga (Guest) on January 14, 2023

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Betty Cheruiyot (Guest) on November 7, 2022

Hii ni ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Sarah Mbise (Guest) on October 31, 2022

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Thomas Mtaki (Guest) on October 14, 2022

πŸ˜‚πŸ€£

Joy Wacera (Guest) on October 14, 2022

🀣πŸ”₯😊

Rose Lowassa (Guest) on September 28, 2022

πŸ˜‚πŸ˜†

Janet Sumari (Guest) on August 16, 2022

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Ruth Wanjiku (Guest) on August 16, 2022

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

Abdullah (Guest) on July 19, 2022

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

Sumaya (Guest) on July 5, 2022

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Fatuma (Guest) on June 27, 2022

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

Selemani (Guest) on May 29, 2022

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

David Nyerere (Guest) on May 20, 2022

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

Edwin Ndambuki (Guest) on May 6, 2022

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

John Lissu (Guest) on May 1, 2022

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

Ramadhan (Guest) on April 2, 2022

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

Margaret Anyango (Guest) on March 15, 2022

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Diana Mumbua (Guest) on March 12, 2022

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Paul Ndomba (Guest) on March 10, 2022

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Edward Chepkoech (Guest) on March 9, 2022

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Chiku (Guest) on February 27, 2022

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

Edward Chepkoech (Guest) on February 1, 2022

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Related Posts

Raha ya kuoa kijijini

Raha ya kuoa kijijini

Kuoa vijijini raha sana Hata ukiulizwa unafanya kazi gani ukiwaambia mimi ni admin basi ... Read More

Ingekua wewe ndio baba au mama ungefanjaje?

Ingekua wewe ndio baba au mama ungefanjaje?

Baba na mama baada ya kurudi safari pamoja wakakuta BARUA iko mezani SEBULENI ikisema…. "Baba n... Read More

Hiki ndicho kifo mbele ya Mwanamke

Hiki ndicho kifo mbele ya Mwanamke

Hiki ndiyo kifo.

KIFO NI NINI..

Kifo ni pale girlfriend w... Read More

MAMBO KUMI YA KUFURAHISHA NA HUWEZI KUYAFANYA

MAMBO KUMI YA KUFURAHISHA NA HUWEZI KUYAFANYA

1. Huwezi kuosha Macho kwa Sabuni;
2. Huwezi kuhesabu Nywele zako;

3. Huwezi kupumua k... Read More

Huu ndio Umuhimu wa English katika mapenzi

Huu ndio Umuhimu wa English katika mapenzi

HUU NDO UMUHIMU WA ENGLISH KATIKA MAPENZI

jaribu kumwita mpenzi wako "my sweet potato" a... Read More

Duh! Angalia alichokula huyu mwizi! Wizi mwingine bwana!

Duh! Angalia alichokula huyu mwizi! Wizi mwingine bwana!

Baada ya mwizi kuvunja mlango huko Tarime, akaingia kwenye stoo akaona vinyama kwenye bakuli vik... Read More

Angalia huyu mwanamke mwenye wivu kwa mumewe alivyoumbuka, Mme wake kamuweza kweli

Angalia huyu mwanamke mwenye wivu kwa mumewe alivyoumbuka, Mme wake kamuweza kweli

WIVU HUU NI NOMA Mke: Hivi mume wangu una wanawake wangapi huko nje? Mume: Kama nywele za kichwa c... Read More
Jambo la kufanya ukitaka mwanaume akusaidie kazi jikoni

Jambo la kufanya ukitaka mwanaume akusaidie kazi jikoni

Fanya hivi

Ukitaka mwanaume akusaidie kazi jikoni mwambie "NAOMBA CM YAKO NIWASHE T... Read More

Mke alichomfanyia mme wake kabla ya kwenda safari, Chezea mawaifu walokole wewe!

Mke alichomfanyia mme wake kabla ya kwenda safari, Chezea mawaifu walokole wewe!

JAMAA alimuaga mke wake mlokole kuwa anaenda semina ya siku tatu, kumbe anakwenda kwa bi mdogo. Mke... Read More
Ex wangu kasema tukapime, cheki nilichifanya

Ex wangu kasema tukapime, cheki nilichifanya

Ex wangu leo kaupdate status yake ya watsap et

"NILIOTEMBEA NAO WOTE MKAPIME"

Sa... Read More

Angalia huyu jamaa anachomwambia mwizi baada ya kumuibia simu yake

Angalia huyu jamaa anachomwambia mwizi baada ya kumuibia simu yake

Foleni ndeeeeefu jamaa yupo kwenye daladala anaenda kazini kaona heri amuandikie boss wake msg k... Read More

Cheki kilichotokea stesheni ya treni, mambo mengine ukipaniki inakula kwako kama huyu jamaa

Cheki kilichotokea stesheni ya treni, mambo mengine ukipaniki inakula kwako kama huyu jamaa

Jamaa Wawili Walifika Stesheni, wakakuta Treni ndo kwanza inaondoka. Wakaanza Kuikimbiza. Mmoja a... Read More