Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/list.ackyshine.com/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Kanuni ya imani

Featured Image

Nasadiki kwa Mungu, Baba Mwenyezi,/ mwumba mbingu na dunia./ Na kwa Yesu Kristu, Mwanaye wa pekee, Bwana wetu;/ aliyetungwa kwa Roho Mtakatifu,/ akazaliwa na Bikira Maria,/ akateswa kwa mamlaka ya Ponsyo Pilato,/ akasulubiwa, akafa, akazikwa,/ akashukia kuzimu;/ siku ya tatu akafufuka katika wafu;/ akapaa mbinguni;/ amekaa kuume kwa Mungu Baba Mwenyezi;/ toka huko atakuja kuwahukumu wazima na wafu. Nasadiki kwa Roho Mtakatifu,/ Kanisa takatifu katoliki,/ ushirika wa Watakatifu,/ maondoleo ya dhambi,/ ufufuko wa miili,/ uzima wa milele. Amina.

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Elijah Mutua (Guest) on August 19, 2017

πŸ™πŸ’– Nakusihi Mungu

Jane Malecela (Guest) on July 24, 2017

Katika udhaifu wetu, rehema za Mungu zinatupa nguvu

Susan Wangari (Guest) on July 2, 2017

πŸ™β€οΈβœ¨ Asante Mungu kwa kila kitu

Ruth Kibona (Guest) on June 23, 2017

Anaponya mioyo iliyovunjika na kufunga majeraha yao

Raphael Okoth (Guest) on June 21, 2017

πŸ™β€οΈπŸŒŸ Asante Mungu kwa uhai

Carol Nyakio (Guest) on April 14, 2017

Nguvu hutoka kwa Bwana

Elizabeth Mrema (Guest) on April 2, 2017

Sifa kwa Bwana!

Charles Mrope (Guest) on March 9, 2017

πŸ™πŸ™πŸ™

Robert Okello (Guest) on November 3, 2016

πŸ™βœ¨β€οΈ Neema za Mungu zikufunike

Patrick Kidata (Guest) on October 22, 2016

Tembea kwa imani, si kwa kuona

George Tenga (Guest) on October 20, 2016

πŸ™πŸ’–πŸ’« Mungu ni mwema

Margaret Mahiga (Guest) on August 23, 2016

Imani inaweza kusogeza milima

Victor Mwalimu (Guest) on June 28, 2016

πŸ™β€οΈπŸ’– Bwana akujalie baraka

Rose Amukowa (Guest) on April 1, 2016

Neema ya Mungu inatosha kwako

Joseph Kawawa (Guest) on March 5, 2016

πŸ™πŸ™πŸ™

Chris Okello (Guest) on January 3, 2016

πŸ™πŸŒŸ Mbarikiwe sana

Rose Waithera (Guest) on October 23, 2015

Baraka kwako na familia yako.

Elizabeth Mtei (Guest) on September 26, 2015

Kuna tumaini kwa ajili ya siku zijazo, maana Mungu anajua mipango aliyokupangia

Andrew Mahiga (Guest) on August 23, 2015

πŸ™β€οΈ Mungu akubariki

Dorothy Mwakalindile (Guest) on July 18, 2015

Imani inakua imara zaidi wakati wa majaribu

Elizabeth Mrope (Guest) on July 7, 2015

Katika rehema zake, Mungu husamehe na kurejesha

Anthony Kariuki (Guest) on July 2, 2015

Mungu akubariki!

Diana Mumbua (Guest) on June 22, 2015

πŸ™β€οΈ Mungu ni mlinzi wetu

Related Posts

SALA YA KUTUBU

SALA YA KUTUBU

Mungu wangu ninatubu sana, niliyokosa kwako, kwani ndiwe mwema, ndiwe mwenye kupendeza, wachukiz... Read More

SALA KWA MT. YOSEFU KUOMBA KUFAHAMU WITO WAKO

SALA KWA MT. YOSEFU KUOMBA KUFAHAMU WITO WAKO

Ee uliye Mkuu, Mt. Yosefu, uliyatii kabisa maongozi ya Roho Mt. Unijalie neema ya kufahamu aina y... Read More

Sala ya Medali ya Mwujiza

Sala ya Medali ya Mwujiza

Ee Bikira Maria uliyekingiwa dhambi ya asili, utuombee sisi wenye kukimbilia kwako, uwaombee na w... Read More

Kuweka nia njema

Kuweka nia njema

Kumheshimu Mungu wangu, Namtolea roho yangu, Nifanye kazi nipumzike, Amri zake tu nishike, Wazo n... Read More

SALA KWA MALAIKA WAKO MLINZI

SALA KWA MALAIKA WAKO MLINZI

Malaika wa Mungu Mlinzi wangu mpenzi,
Ambaye upendo wake unanifanya niwepo hapa,
Uwe na... Read More

Malkia wa Mbingu

Malkia wa Mbingu

Malkia wa mbingu, furahi, aleluya. Kwani uliyestahili kumchukua, Aleluya. Amefufuka alivyosema, A... Read More

Sala ya kuomba Kifo chema

Sala ya kuomba Kifo chema

Enyi Yesu na Maria na Yosefu,

nawatolea Moyo, na roho, na uzima wangu.

Enyi Yesu na M... Read More

Sala ya Saa Tisa

Sala ya Saa Tisa

✝⌚✝

Sala ya saa tisaπŸ™πŸΎ

Kwa jina la Baba na la Mwana na la Roho Mtakatifu.... Read More

ATUKUZWE BABA

ATUKUZWE BABA

Atukuzwe Baba
na Mwana
na Roho Mtakatifu
Kama mwanzo
na sasa,
na siku zo... Read More

Matendo ya Rozari Takatifu: Mchanganuo kwa siku zote za Saba za Juma

Matendo ya Rozari Takatifu: Mchanganuo kwa siku zote za Saba za Juma

MATENDO YA FURAHA (Jumatatu na Jumamosi)