Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/list.ackyshine.com/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Sala ya Saa Tisa

Featured Image

✝⌚✝

Sala ya saa tisaπŸ™πŸΎ

Kwa jina la Baba na la Mwana na la Roho Mtakatifu. A mina

Yesu, ulikufa, lakini chanzo cha uhai kilitoka kwa ajili ya watu, na bahari ya huruma ilifunguka kwa ajili ya ulimwengu mzima. Ee chemchemi ya Uhai, huruma ya Mungu isiyo na mwisho, ikafunika ulimwengu mzima na ukajimwaga mwenyewe juu yetu.

❣✝❣

✝Ee Damu na Maji, yaliyotoka moyoni mwa Yesu kama chemchemi ya Huruma kwetu. Nakutumainia.

(Mara tatu)

πŸ›β£πŸ›

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Charles Mboje (Guest) on July 10, 2024

πŸ™β€οΈπŸ’– Tumshukuru Mungu kwa yote

Joyce Mussa (Guest) on June 27, 2024

Tumeokolewa kwa rehema zake, si kwa matendo yetu

Bernard Oduor (Guest) on April 27, 2024

Upendo wa Mungu haukosei kamwe.

Mariam Hassan (Guest) on January 2, 2024

Katika udhaifu wetu, rehema za Mungu zinatupa nguvu

Josephine Nduta (Guest) on December 19, 2023

Mungu ni kimbilio letu na nguvu zetu, siku zote tayari kusaidia wakati wa shida

Alex Nakitare (Guest) on September 30, 2023

πŸ™πŸŒŸ Namuomba Mungu akupiganie

Lucy Kimotho (Guest) on July 21, 2023

Mwamini Bwana; anajua njia

Elizabeth Mrope (Guest) on July 10, 2023

πŸ™β€οΈ Mungu ni mkombozi

David Kawawa (Guest) on April 15, 2023

Mungu ni mwaminifu; hatakuacha kamwe wala hatakupungukia

Brian Karanja (Guest) on March 20, 2023

Rehema za Mungu ni kubwa kuliko kosa lolote

Joyce Aoko (Guest) on February 19, 2023

πŸ™βœ¨ Mungu atupe nguvu

Mariam Hassan (Guest) on September 30, 2022

Imani inakua imara zaidi wakati wa majaribu

Peter Mugendi (Guest) on August 25, 2022

πŸ™πŸ’–πŸ’« Mungu ni mwema

Lucy Wangui (Guest) on August 16, 2022

Kwa Mungu, yote yanawezekana

Peter Tibaijuka (Guest) on July 27, 2022

Mwamini katika mpango wake.

Peter Tibaijuka (Guest) on June 30, 2022

Endelea kuwa na imani!

Frank Sokoine (Guest) on June 30, 2022

Nakuombea πŸ™

Margaret Anyango (Guest) on June 20, 2022

Tumaini ni nanga ya roho

Nora Lowassa (Guest) on February 18, 2022

Katika imani, yote yanawezekana

Alex Nyamweya (Guest) on January 27, 2022

πŸ™πŸŒŸ Mungu alete amani

Henry Sokoine (Guest) on November 20, 2021

Rehema zake ni ukumbusho wa daima wa upendo wake

Frank Sokoine (Guest) on November 4, 2021

πŸ™πŸŒŸβ€οΈ Nakuombea heri

Andrew Mahiga (Guest) on October 16, 2021

πŸ™πŸ’– Nakusihi Mungu

Charles Mchome (Guest) on October 16, 2021

Mungu ana mpango kwa ajili yako, muamini

Francis Mtangi (Guest) on July 27, 2021

Rehema zake hudumu milele

Michael Mboya (Guest) on June 19, 2021

Kupitia Kristo, tunapokea rehema za Mungu kwa wingi

Anna Sumari (Guest) on March 29, 2021

πŸ™βœ¨ Neema ya Mungu iwe nawe

Dorothy Mwakalindile (Guest) on November 30, 2020

πŸ™βœ¨β€οΈ Neema za Mungu zikufunike

Susan Wangari (Guest) on September 24, 2020

πŸ™β€οΈβœ¨ Asante Mungu kwa kila kitu

Grace Minja (Guest) on July 21, 2020

πŸ™β€οΈ Mungu ni mlinzi wetu

Nancy Akumu (Guest) on June 22, 2020

Tembea kwa imani, si kwa kuona

Lydia Mahiga (Guest) on May 1, 2020

Neema na amani iwe nawe.

Janet Mwikali (Guest) on April 24, 2020

Wakati wa Mungu ni kamilifu

Rose Lowassa (Guest) on March 15, 2020

Katika rehema zake, Mungu husamehe na kurejesha

Esther Cheruiyot (Guest) on March 2, 2020

πŸ™πŸŒŸ Mbarikiwe sana

Betty Akinyi (Guest) on January 29, 2020

Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi

George Wanjala (Guest) on October 6, 2019

πŸ™β€οΈ Mungu ni mwaminifu

Sarah Achieng (Guest) on August 8, 2019

Bwana yuko karibu na wote wanaomwita

Nancy Kawawa (Guest) on July 14, 2019

πŸ™βœ¨β€οΈ Tumwombe Mungu kila siku

Stephen Amollo (Guest) on July 10, 2019

Wacha nuru yako iangaze mbele ya wengine

Janet Wambura (Guest) on June 28, 2019

πŸ™πŸŒŸ Neema za Mungu zisikose

Rose Mwinuka (Guest) on May 19, 2019

Nguvu hutoka kwa Bwana

Dorothy Majaliwa (Guest) on May 5, 2019

πŸ™βœ¨ Mungu atakuinua

Patrick Kidata (Guest) on April 21, 2019

πŸ™πŸ’– Asante kwa neema zako Mungu

Grace Mushi (Guest) on April 5, 2019

πŸ™πŸ’– Nakushukuru Mungu

Stephen Amollo (Guest) on March 14, 2019

Katika giza, nuru yake inaangaza zaidi

Alice Jebet (Guest) on January 16, 2019

πŸ™β€οΈβœ¨ Mungu akujalie furaha

Francis Mtangi (Guest) on January 11, 2019

Dumu katika Bwana.

Sharon Kibiru (Guest) on December 18, 2018

πŸ™β€οΈ Mungu akubariki

Joy Wacera (Guest) on October 10, 2018

πŸ™β€οΈπŸ’– Baraka za Mungu ziwe nawe

Violet Mumo (Guest) on September 9, 2018

πŸ™πŸ™πŸ™

Francis Mtangi (Guest) on July 28, 2018

πŸ™πŸ’–βœ¨ Neema yako ni ya kutosha

Rose Waithera (Guest) on June 30, 2018

Mungu akubariki!

Dorothy Mwakalindile (Guest) on June 26, 2018

Hadithi yako haijaisha; Mungu bado anaandika

Andrew Mchome (Guest) on June 2, 2018

Ahadi za Mungu ni za kweli daima

George Ndungu (Guest) on April 9, 2018

πŸ™πŸ’–πŸ™ Mungu akufunike na upendo

James Mduma (Guest) on January 26, 2018

Imani ni kuwa na uhakika wa kile tunachotarajia na kujua kwa hakika kile ambacho hatuoni

Linda Karimi (Guest) on December 27, 2017

Anaponya mioyo iliyovunjika na kufunga majeraha yao

Grace Mushi (Guest) on December 20, 2017

Katika uwepo wake, kuna ukamilifu wa furaha

Jane Muthoni (Guest) on September 30, 2017

Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi

Related Posts

Majitoleo ya asubuhi kwa Bikira Maria

Majitoleo ya asubuhi kwa Bikira Maria

Ee Yesu, kupitia mikono safi ya Bikira Maria, na kwa maungano na sadaka yako kuu, ninakutolea sal... Read More

SALA YA KUMWABUDU BWANA YESU KATIKA SAKRAMENTI TAKATIFU

SALA YA KUMWABUDU BWANA YESU KATIKA SAKRAMENTI TAKATIFU

Ee Yesu Kristu,/ Bwana wangu na Mungu wangu/ ambaye ninasadiki kuwa upo hapa/ katika Sakramenti T... Read More

Sala kwa wenye kuzimia

Sala kwa wenye kuzimia

Ee Yesu mwenye huruma, mpenda roho za watu, nakuomba kwa ajili ya kuzimia kwa Moyo wako Mtakatifu... Read More

SALA YA JIONI

SALA YA JIONI

TUNAKUSHUKURU, EE MUNGU KWA MAPAJI YOTE ULIYOTUJALIA LEO AMINA


BABA YETU…………β... Read More

SALA YA MTAKATIFU INYASI

SALA YA MTAKATIFU INYASI

Roho ya Kristo unitakase
Mwili wa Kristo uniokoe
Damu ya Kristo unifurahishe
Maji ... Read More

Novena ya Noeli

Novena ya Noeli

Novena ya Noeli (maarufu kama novena ya Mt. Andrea)

Husaliwa kuanzia tar 30 Nov hadi usiku ... Read More

NOVENA KWA AJILI YA KUJIANDAA KWA SIKUKUU YA MOYO MTAKATIFU WA YESU

NOVENA KWA AJILI YA KUJIANDAA KWA SIKUKUU YA MOYO MTAKATIFU WA YESU

Inaweza kusemwa wakati wowote katika mwaka. Kwa ajili ya kujiandaa kwa Sikukuu ya Moyo Mtakatifu ... Read More

SALA YA KUMWOMBA MTAKATIFU TERESIA WA MTOTO YESU

SALA YA KUMWOMBA MTAKATIFU TERESIA WA MTOTO YESU

Ee Mtakatifu Teresia wa mtoto Yesu, ulistahili kuitwa Msimamizi wa misioni katoliki za dunia yote... Read More

Malkia wa Mbingu

Malkia wa Mbingu

Malkia wa mbingu, furahi, aleluya. Kwani uliyestahili kumchukua, Aleluya. Amefufuka alivyosema, A... Read More

ROZARI YA MOYO MTAKATIFU WA YESU

ROZARI YA MOYO MTAKATIFU WA YESU

Tumia tasbihi ya kawaida yenye chembe ndogo 53.

Kwenye Msalaba Sali:

... Read More
SALA YA NOVENA KWA MOYO MTAKATIFU WA YESU

SALA YA NOVENA KWA MOYO MTAKATIFU WA YESU

Ee Moyo Mtakatifu sana wa Yesu, chemchemi ya kila baraka, ninakuabudu, ninakupenda, na kwa majuto... Read More

SALA KWA MAMA WA UCHUNGU KUOMBA NEEMA YA PEKEE

SALA KWA MAMA WA UCHUNGU KUOMBA NEEMA YA PEKEE

Ee Mama mbarikiwa na Bikira mwenye uchungu, Malkia wa Mashahidi, uliyesimama chini ya msalaba na ... Read More

πŸ“– Explore More Articles
🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About