Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/list.ackyshine.com/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Kuweka nia njema

Featured Image

Kumheshimu Mungu wangu, Namtolea roho yangu, Nifanye kazi nipumzike, Amri zake tu nishike, Wazo neno tendo lote, Namtolea Mungu pote, Roho, mwili chote changu, pendo na uzima wangu, Mungu wangu nitampenda, Wala dhambi sitatenda, Jina lako nasifia, Utakalo hutimia, Kwa utii navumilia, Teso na matata pia, Nipe Bwana neema zako, Niongezee sifa yako, Amina.

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Grace Mligo (Guest) on May 29, 2024

Neema ya Mungu inatosha kwako

Grace Wairimu (Guest) on March 22, 2024

Hauko peke yako; Mungu yuko nawe

Jane Malecela (Guest) on February 26, 2024

Kuna tumaini kwa ajili ya siku zijazo, maana Mungu anajua mipango aliyokupangia

Edwin Ndambuki (Guest) on September 29, 2023

Rehema zake hudumu milele

Stephen Kikwete (Guest) on August 5, 2023

Mwamini Bwana kwa moyo wako wote, na usitegemee ufahamu wako mwenyewe

Grace Njuguna (Guest) on April 21, 2023

Hadithi yako haijaisha; Mungu bado anaandika

Hellen Nduta (Guest) on February 11, 2023

πŸ™πŸ’–βœ¨ Neema yako ni ya kutosha

Jackson Makori (Guest) on January 22, 2023

πŸ™πŸŒŸ Mungu akujalie amani

Paul Kamau (Guest) on October 19, 2022

Upendo wa Mungu na rehema zake havikosei kamwe

Bernard Oduor (Guest) on October 6, 2022

Imani ni kuwa na uhakika wa kile tunachotarajia na kujua kwa hakika kile ambacho hatuoni

Mary Njeri (Guest) on July 15, 2022

Hata chembe ya haradali ya imani inaweza kusogeza milima

Dorothy Nkya (Guest) on June 21, 2022

πŸ™πŸŒŸβ€οΈ Nakuombea heri

Elizabeth Mtei (Guest) on March 6, 2022

Tumeokolewa kwa rehema zake, si kwa matendo yetu

Catherine Naliaka (Guest) on January 8, 2022

πŸ™πŸ™πŸ™

Ruth Mtangi (Guest) on November 6, 2021

πŸ™πŸŒŸ Mungu alete amani

James Kimani (Guest) on October 29, 2021

πŸ™β€οΈ Mungu akubariki

Monica Adhiambo (Guest) on October 19, 2021

Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi

Betty Kimaro (Guest) on August 27, 2021

Mungu ana mpango kwa ajili yako, muamini

Christopher Oloo (Guest) on July 11, 2021

πŸ™πŸ’–πŸ’« Mungu ni mwema

Grace Mligo (Guest) on June 10, 2021

Mungu ni mwema, wakati wote!

Benjamin Kibicho (Guest) on May 18, 2021

Mwamini Bwana; anajua njia

Joseph Mallya (Guest) on March 18, 2021

Katika imani, yote yanawezekana

Moses Mwita (Guest) on March 13, 2021

Tumaini ni nanga ya roho

Nancy Komba (Guest) on March 8, 2021

Sifa kwa Bwana!

Diana Mallya (Guest) on March 3, 2021

Endelea kuwa na imani!

Janet Sumaye (Guest) on March 1, 2021

Katika uwepo wake, kuna ukamilifu wa furaha

Rose Waithera (Guest) on February 7, 2021

Mungu akubariki!

George Wanjala (Guest) on November 19, 2020

Katika rehema zake, Mungu husamehe na kurejesha

David Chacha (Guest) on November 12, 2020

πŸ™πŸŒŸ Mbarikiwe sana

George Mallya (Guest) on October 16, 2020

πŸ™β€οΈπŸ’– Bwana akujalie baraka

Stephen Mushi (Guest) on September 18, 2020

πŸ™πŸ’– Asante kwa neema zako Mungu

Anna Malela (Guest) on August 22, 2020

Neema na amani iwe nawe.

Anthony Kariuki (Guest) on June 3, 2020

Bwana yuko karibu na wote wanaomwita

Fredrick Mutiso (Guest) on March 18, 2020

Anaponya mioyo iliyovunjika na kufunga majeraha yao

Andrew Mchome (Guest) on February 25, 2020

πŸ™β€οΈπŸ’– Baraka za Mungu ziwe nawe

Josephine Nduta (Guest) on January 7, 2020

πŸ™βœ¨β€οΈ Neema za Mungu zikufunike

Jane Muthui (Guest) on January 5, 2020

Dumu katika Bwana.

Jackson Makori (Guest) on December 28, 2019

πŸ™πŸŒŸ Namuomba Mungu akupiganie

Elizabeth Mrema (Guest) on December 8, 2019

πŸ™πŸ’– Nakusihi Mungu

John Lissu (Guest) on November 30, 2019

Katika udhaifu wetu, rehema za Mungu zinatupa nguvu

Peter Mbise (Guest) on August 5, 2019

πŸ™πŸ’–πŸ™ Mungu akufunike na upendo

David Chacha (Guest) on July 4, 2019

Nguvu hutoka kwa Bwana

Andrew Odhiambo (Guest) on July 2, 2019

πŸ™β€οΈ Mungu ni mkombozi

Lydia Mutheu (Guest) on June 16, 2019

πŸ™β€οΈβœ¨ Mungu akujalie furaha

Betty Cheruiyot (Guest) on May 18, 2019

πŸ™βœ¨ Mungu atakuinua

Edith Cherotich (Guest) on April 18, 2019

Mwamini katika mpango wake.

James Kimani (Guest) on February 27, 2019

Wacha imani yako iwe kubwa kuliko hofu yako

Miriam Mchome (Guest) on January 22, 2019

πŸ™βœ¨ Mungu asikie maombi yetu

Alex Nakitare (Guest) on January 7, 2019

πŸ™β€οΈ Mungu ni mlinzi wetu

Mercy Atieno (Guest) on November 24, 2018

Endelea kuamini, hata ikiwa ni vigumu kuona njia

Kenneth Murithi (Guest) on November 11, 2018

πŸ™πŸ’– Nakushukuru Mungu

Joseph Kiwanga (Guest) on October 22, 2018

πŸ™πŸ™πŸ™

Samson Mahiga (Guest) on September 16, 2018

Nakuombea πŸ™

Frank Sokoine (Guest) on July 27, 2018

Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi

Samson Mahiga (Guest) on July 2, 2018

Katika giza, nuru yake inaangaza zaidi

Andrew Odhiambo (Guest) on April 22, 2018

πŸ™β€οΈπŸ’– Tumshukuru Mungu kwa yote

Alice Jebet (Guest) on January 19, 2018

Amina

Patrick Kidata (Guest) on October 4, 2017

πŸ™βœ¨ Neema ya Mungu iwe nawe

Patrick Akech (Guest) on September 24, 2017

Rehema zake ni ukumbusho wa daima wa upendo wake

Victor Sokoine (Guest) on July 28, 2017

πŸ™β€οΈπŸŒŸ Asante Mungu kwa uhai

Related Posts

Sala ya Kuombea Hali njema ya hewa na mvua

Sala ya Kuombea Hali njema ya hewa na mvua

Ee Mungu Mwenyezi wa milele, mpaji wa mema yote, unayetusamehe na kutulinda. Utujalie sisi tunaok... Read More

ROSARI YA BIKIRA MARIA MAMA WA MSAADA WA DAIMA

ROSARI YA BIKIRA MARIA MAMA WA MSAADA WA DAIMA

Namna ya kusali Rozari kwa Bikira Maria Mama wa Msaada wa Daima

(Tumia rosari ya kawaida... Read More

Rozari ya Malaika Mkuu Mikaeli

Rozari ya Malaika Mkuu Mikaeli

Rozari ya Malaika Mkuu Mikaeli ni sala nzuri sana ya kumheshimu huyu Malaika Mkuu pamoja na makun... Read More

SALA YA KUANGUKA MIGUUNI PA BWANA YESU KATIKA EKARISTI

SALA YA KUANGUKA MIGUUNI PA BWANA YESU KATIKA EKARISTI

Ee Yesu Mfungwa wa Upendo wa Mungu,/ ninapofikiri Upendo wako na jinsi ulivyojitolea kwa ajili ya... Read More

SALA MBELE YA KITI CHA ENZI CHA MUNGU

SALA MBELE YA KITI CHA ENZI CHA MUNGU

Sali Atukuzwe 7 kwa heshima ya Malaika 7 wateule ujipatie neema ya kuepa dhambi mbaya saba na kut... Read More

AMRI ZA KANISA

AMRI ZA KANISA

1. HUDHURIA MISA TAKATIFU DOMINIKA NA SIKUKUU ZILZOAMRIWA

2. FUNGA SIKU YA JUMATANO YA MAJI... Read More

Novena ya Noeli

Novena ya Noeli

Novena ya Noeli (maarufu kama novena ya Mt. Andrea)

Husaliwa kuanzia tar 30 Nov hadi usiku ... Read More

SALA ZA IBADA KWA BIKIRA MARIA WA MATESO

SALA ZA IBADA KWA BIKIRA MARIA WA MATESO

ROZARI YA MATESO SABA YA BIKIRA MARIA

Tumia Rozari ya Mateso Saba ya Bikira Maria iliyo ... Read More

SALA KWA MTAKATIFU MIKAELI MALAIKA MKUU

SALA KWA MTAKATIFU MIKAELI MALAIKA MKUU

Mtakatifu Mikaeli Malaika Mkuu, utulinde katika vita, uwe kinga yetu katika maovu na maoteo ya sh... Read More

SALA MUHIMU ZA MKRISTO ZA KILA SIKU ASUBUHI

SALA MUHIMU ZA MKRISTO ZA KILA SIKU ASUBUHI

SALA YA ASUBUHI

Tuusifu Utatu Mtakatifu wa Mungu Mwenyezi, Baba, Mwana na Roho Mtakatifu,... Read More

SALA YA UHAI KWA MT. YOSEFU

SALA YA UHAI KWA MT. YOSEFU

(Sala hii inafaa sana kwa ajili ya kutetea uhai wa watoto wachanga wakiwa tumboni mwa mama za... Read More

SALA YA MATUMAINI

SALA YA MATUMAINI

Mungu wangu,

natumaini kwako nitapewa kwa njia ya Yesu Kristu,

neema zako duniani na ... Read More

πŸ“– Explore More Articles
🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About