Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/list.ackyshine.com/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Mjini shule. Soma hii

Featured Image

Kuna mdada nilimkopesha pesa kwa ahadi kuwa baada ya wiki moja atanirejeshea pesa zangu.

Baada ya wiki moja nampigia simu hapokei simu zangu, nimempigia zaidi ya mara kumi (10) bila ya mafanikio!

Kila nikimpigia simu hajibu simu zangu, nikahamua kumwandikia message kwa WhatsApp…!

_Hello Mamu, Nakupigia simu sio kukudai pesa zangu, ila nataka kukwambia kuwa hapa Ubungo Plaza kuna wadada wawili walikuwa wanapigana kumgombea Mumeo (Baba Nang'oto). Ilikuwa vuta nikuvute na mumeo alikuwa kasimama tu anawaangalia akitabasamu. Baada ugomvi kwisha akaondoka na mmoja wao na kumwacha yule mwingine akitukana matusi kama ana akili nzuri._

β€”
_*Kisha nikaituma ile message*_

Baada ya dakika kama mbili hivi, akanipigia simu nami wala sikupokea simu yake… Akapiga tena na tena kama mara ishirini hivi wala sikupokea.

*Akatuma message akiniuliza…*

_Hao wanawake unawajuwa, …mume wangu na huyo mwanamke wameelekea wapi, wewe unawajuwa hao wanawake waliopigana, yaani hapa nimechanganyikiwa kwa kweli…!_

Nikaisoma message yake wala sikuijibu, nikamchunia kimyaaa…!

Akanipigia tena simu mara tano, sikupokea simu zake, kimyaaa…! Akaniandikia message nyingine….

*…Nakupigia jamani pokea simu basi nina pesa zako nataka nikupe… Naomba basi tukutane mjini unihadithie vizuri…!*

Nami nikamjibu…

_Nitumie hizo pesa kwenye Namba yangu ya Mpesa, ili nipitie sheli kujaza mafuta nije mjini kukupitia nikupeleke mahala walipo…!_

Baada ya dakika 2 message ikaingia, kuangalia balance yangu ya Mpesa, nikakuta kaingiza pesa zangu zote ninazo mdai…!

Nikazima simu nikajilalia zangu kimyaaa…. Kama sio mie!

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Elizabeth Malima (Guest) on July 18, 2024

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

Lydia Mzindakaya (Guest) on July 15, 2024

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

Elizabeth Mtei (Guest) on June 24, 2024

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

Janet Sumaye (Guest) on May 25, 2024

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Tabitha Okumu (Guest) on May 25, 2024

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Khadija (Guest) on April 14, 2024

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

Mary Kidata (Guest) on March 22, 2024

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

Hellen Nduta (Guest) on March 8, 2024

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

Victor Sokoine (Guest) on February 23, 2024

πŸ˜‚πŸ˜†

Shani (Guest) on February 16, 2024

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

Fikiri (Guest) on December 29, 2023

πŸ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

Abubakar (Guest) on December 11, 2023

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Patrick Akech (Guest) on December 3, 2023

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Shukuru (Guest) on November 27, 2023

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Joseph Kiwanga (Guest) on November 17, 2023

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

Lydia Mahiga (Guest) on November 13, 2023

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Alice Mwikali (Guest) on September 24, 2023

πŸ˜‚πŸ˜…

Elizabeth Mtei (Guest) on September 22, 2023

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Jackson Makori (Guest) on September 7, 2023

πŸ˜‚πŸ˜‚

David Chacha (Guest) on August 31, 2023

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Elijah Mutua (Guest) on August 31, 2023

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

John Lissu (Guest) on August 23, 2023

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

Anna Mahiga (Guest) on August 10, 2023

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

Lucy Wangui (Guest) on July 24, 2023

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

Bernard Oduor (Guest) on July 21, 2023

Hizi jokes ni za kipekee sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Joseph Kitine (Guest) on July 13, 2023

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

Fredrick Mutiso (Guest) on June 26, 2023

😁 Kicheko bora ya siku!

Sarah Achieng (Guest) on June 22, 2023

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

Hawa (Guest) on June 8, 2023

πŸ˜… Bado nacheka!

Jane Muthoni (Guest) on April 14, 2023

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Joseph Kitine (Guest) on April 14, 2023

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Mariam (Guest) on February 19, 2023

🀣 Sikutarajia hiyo!

Joy Wacera (Guest) on February 2, 2023

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

Ann Awino (Guest) on January 31, 2023

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

Guest (Guest) on July 31, 2025

Nice nimependa hadi raha duh! Mko pw san

John Kamande (Guest) on January 24, 2023

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Nicholas Wanjohi (Guest) on January 14, 2023

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Bahati (Guest) on December 25, 2022

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Mary Mrope (Guest) on November 18, 2022

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Daniel Obura (Guest) on November 11, 2022

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

Charles Wafula (Guest) on October 29, 2022

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Paul Ndomba (Guest) on October 28, 2022

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

Khalifa (Guest) on October 14, 2022

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Stephen Amollo (Guest) on October 11, 2022

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Arifa (Guest) on July 9, 2022

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

Violet Mumo (Guest) on July 5, 2022

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

David Nyerere (Guest) on June 25, 2022

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Kijakazi (Guest) on June 14, 2022

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

Anna Sumari (Guest) on May 29, 2022

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

Susan Wangari (Guest) on May 17, 2022

🀣 Ninaituma sasa hivi!

Francis Njeru (Guest) on April 26, 2022

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

Esther Nyambura (Guest) on April 13, 2022

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

Ramadhan (Guest) on April 8, 2022

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Patrick Akech (Guest) on February 24, 2022

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Sarah Mbise (Guest) on February 8, 2022

🀣πŸ”₯😊

Frank Sokoine (Guest) on January 24, 2022

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

Charles Mrope (Guest) on January 24, 2022

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

John Lissu (Guest) on January 6, 2022

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Kenneth Murithi (Guest) on December 27, 2021

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Faith Kariuki (Guest) on October 31, 2021

🀣 Hii imewaka moto!

Related Posts

Dunia ina mambo, soma hii

Dunia ina mambo, soma hii

Dunia ina mambo

Kuna mama mmoja kavamia bank uchi cha kushangaza hakuna anae kumbuka uso... Read More

Angalia anachojibu huyu babu. Wazee wengine bwana

Angalia anachojibu huyu babu. Wazee wengine bwana

Babu: Mjukuu wangu ngoja nikusimulie hadithi ya mimi babu yako kwenye vita ya kagera
Mjukuu:... Read More

Cheki huyu kiherehere alivyojibiwa

Cheki huyu kiherehere alivyojibiwa

Za asubuhi?

Nzur sjui huko?

Huku kwema tuu

VP si ulimaliza chuo ww?

Ndio ... Read More

Baada ya kunitumia SMS usiku ikawa hivi….

Baada ya kunitumia SMS usiku ikawa hivi….

Jana usiku kuna Jirani yangu..kanitumia text "mambo vipi?"…halafu tunakaa nae mtaa mmoja nikao... Read More

Hii bahati mbaya hii haifai kusema Samahani

Hii bahati mbaya hii haifai kusema Samahani

(KIFO NI NIN)
KIFO ni pale unapokosea text na kumtumia

... Read More
Ujinga wa ndoto ndio huu

Ujinga wa ndoto ndio huu

πŸ‘‰Ujinga wa ndoto ndiyo huu
β€’β€’Utaota umeokota dolla ukiamka empty…
β€’β€’Utaota... Read More

Ni wazo tuu!

Ni wazo tuu!

Siyo watu wote wanaokuuliza kwamba watoto hawajambo,wanakuuliza kwa nia nzuri,wengine wanaulizia ... Read More

Haya mawazo ya huyu Mtu kuhusu Shetani ni kiboko

Haya mawazo ya huyu Mtu kuhusu Shetani ni kiboko

Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana

..unaenda kuoga, unakumbuka k... Read More

Kilichotokea baada ya kumdanganya mchungaji wangu

Kilichotokea baada ya kumdanganya mchungaji wangu

Jumapili baada ya kutoka KANISANI, Pastor akaona simu yangu niliyonunua LAKI 5,akaniuliza hiyo s... Read More

Dogo alivyomchomea dada wa kazi kwa mama yake kuhusu baba

Dogo alivyomchomea dada wa kazi kwa mama yake kuhusu baba

Dogo: mama hivi malaika si wanapaa? Mama: ndiyo wanapaa, kwanini umeniuliza hivyo? Dogo: nimesikia b... Read More
Kweli tamaa ni mbaya, mke wa mtu kaponzwa na tamaa, ndio basi tena

Kweli tamaa ni mbaya, mke wa mtu kaponzwa na tamaa, ndio basi tena

Jamaa kaenda kwa mke wa rafiki yake:
JAMAA: Shem nakupenda!
MKE: Hebu... Read More

Baada ya kuumizwa kimapenzi haya ndiyo maneno

Baada ya kuumizwa kimapenzi haya ndiyo maneno

Mkishaumizwa ndo utasikia, Moyo sukuma damu sio mengine. wakati mnapenda mlizani moyo ul... Read More

πŸ“– Explore More Articles