Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/list.ackyshine.com/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Mvua zazua kasheshe! Soma hii..

Featured Image

Baba- : Halloo mke wangu.. yaani ni shida sitaweza kurudi nyumban, daraja limevunjika na kutoka morogoro kurudi dar haiwezekani
MAMA:- Mme wangu morogoro ulienda bila kuniaga! ?
BABA:- Ilikuwa ni ghafla sana mke wangu sikuweza kukwambia
MAMA:- kha! Sasa watoto nani atawaangalia
BABA:- Unasemaje! We uko wapi kwan
MAMA:- Niko bagamoyo na daraja limeondolewa na maji sitaweza kurudi.
BABA:- Unasemaje we mwanamke.. nakwambia nikukute nyumban ndani ya dk 15
Baada ya dk 15 Baba kafika nyumban.
MAMA:- Haya umefkaje kutoka morogoro?
BABA:- Nimepewa lift na helkopta ya Mbowe..

Kama umeipenda shea na rfiki zakooo…..

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Mchawi (Guest) on July 15, 2024

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

Guest (Guest) on January 12, 2026

Weni noma sana

Guest (Guest) on November 30, 2025

RAIRAT

Guest (Guest) on December 28, 2025

vichekesho ni noma Africa nzima

Guest (Guest) on September 5, 2025

Jaman we nom

Guest (Guest) on August 22, 2025

newsit

Guest (Guest) on August 18, 2025

nzuri

Victor Mwalimu (Guest) on July 1, 2024

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Rahim (Guest) on June 16, 2024

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

Charles Mboje (Guest) on June 1, 2024

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Muslima (Guest) on May 27, 2024

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

Anna Mchome (Guest) on May 5, 2024

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

Agnes Lowassa (Guest) on April 21, 2024

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Robert Okello (Guest) on April 3, 2024

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Michael Onyango (Guest) on March 13, 2024

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

James Kawawa (Guest) on March 4, 2024

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

John Lissu (Guest) on March 3, 2024

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Anna Mchome (Guest) on March 2, 2024

😊🀣πŸ”₯

Irene Akoth (Guest) on February 29, 2024

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Anna Mchome (Guest) on February 20, 2024

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Amani (Guest) on February 10, 2024

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Catherine Mkumbo (Guest) on February 9, 2024

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

Patrick Akech (Guest) on January 21, 2024

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

Stephen Mushi (Guest) on January 13, 2024

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

David Nyerere (Guest) on January 8, 2024

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Victor Kamau (Guest) on December 16, 2023

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

Zawadi (Guest) on November 29, 2023

πŸ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

Victor Kamau (Guest) on November 27, 2023

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

Josephine Nekesa (Guest) on November 27, 2023

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Jacob Kiplangat (Guest) on October 17, 2023

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

Alex Nyamweya (Guest) on September 9, 2023

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

Joseph Kitine (Guest) on September 7, 2023

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Michael Onyango (Guest) on August 23, 2023

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Azima (Guest) on August 18, 2023

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Sumaya (Guest) on August 4, 2023

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Stephen Mushi (Guest) on July 19, 2023

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Stephen Mushi (Guest) on July 7, 2023

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Jafari (Guest) on June 27, 2023

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

Stephen Kikwete (Guest) on June 17, 2023

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Joyce Mussa (Guest) on May 30, 2023

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

Catherine Naliaka (Guest) on April 22, 2023

πŸ€£πŸ˜„πŸ˜Š

Zuhura (Guest) on April 1, 2023

πŸ˜† Bado nacheka!

Ruth Wanjiku (Guest) on March 29, 2023

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Salma (Guest) on February 27, 2023

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Charles Mboje (Guest) on February 25, 2023

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

Anna Kibwana (Guest) on February 19, 2023

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

Robert Ndunguru (Guest) on February 17, 2023

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

Mariam Hassan (Guest) on February 12, 2023

πŸ˜† Ninakufa hapa!

Raphael Okoth (Guest) on February 10, 2023

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Irene Akoth (Guest) on February 4, 2023

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

Diana Mallya (Guest) on January 28, 2023

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Esther Nyambura (Guest) on January 26, 2023

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

Simon Kiprono (Guest) on January 25, 2023

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Muslima (Guest) on January 23, 2023

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Maimuna (Guest) on January 22, 2023

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Rose Mwinuka (Guest) on December 25, 2022

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

Shamsa (Guest) on December 17, 2022

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Fatuma (Guest) on November 9, 2022

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Mtumwa (Guest) on October 15, 2022

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

Peter Mbise (Guest) on September 30, 2022

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

Related Posts

Cheki huyu kiherehere alivyojibiwa

Cheki huyu kiherehere alivyojibiwa

Za asubuhi?

Nzur sjui huko?

Huku kwema tuu

VP si ulimaliza chuo ww?

Ndio ... Read More

Eti kupooza chai kwa kizungu inaitwaje?

Eti kupooza chai kwa kizungu inaitwaje?

Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana

..unaenda kuoga, unakumbuka k... Read More

Mcheki Chizi na daktari

Mcheki Chizi na daktari

Tafakari na ujumbe huuuu!!!…

DAKTARI :- Unajisikiaje?

CHIZI:-Kila siku naota nyani ... Read More

Bongo usanii mwingi!!!

Bongo usanii mwingi!!!

BONGO USANII UMEZIDI DAAH!!

…yani nakupeleka dinner unakula sana vipaja vya kuku na chips... Read More

Huyu mwanamke ni noma cheki alichomwambia mme wake baada ya kumnunulia nguo za ndani

Huyu mwanamke ni noma cheki alichomwambia mme wake baada ya kumnunulia nguo za ndani

Mume kaingia duka la nguo na kamnunulia mke wake chupi dazeni moja zote za rangi nyeusi, akaenda ... Read More

Angalia huyu ticha wa Hesabu alichofanyiwa

Angalia huyu ticha wa Hesabu alichofanyiwa

Looku Looku* πŸ‘€πŸ‘€

*Ama Kweli Mkuki Kwa Nguruwe kwa Binadamu Mchungu Skia Hii….!!*

... Read More
Usichokijua kuhusu sungura, panya na jamii yao

Usichokijua kuhusu sungura, panya na jamii yao

JE WAJUA?

Sungura, panya na Jamii zao huwa na mwendo wa kukimbia na kuruka muda wote na umr... Read More

Omba omba sio barabarani tuu

Omba omba sio barabarani tuu

Boy:- baby ivi nikifa utakuja msibani?

Girl:-ntakuja ukinitumia n... Read More

Hii sasa kali kweli kweli! wazazi wanachofanya pale binti yao anapochelewa kuolewa

Hii sasa kali kweli kweli! wazazi wanachofanya pale binti yao anapochelewa kuolewa

Wazazi wengine wanaandikaΒ MBWA​MKALIΒ kwenye geti lao kama binti wao ana mia... Read More

Baada ya kuumizwa kimapenzi haya ndiyo maneno

Baada ya kuumizwa kimapenzi haya ndiyo maneno

Mkishaumizwa ndo utasikia, Moyo sukuma damu sio mengine. wakati mnapenda mlizani moyo ul... Read More

Alichokifanya jamaa baada ya kuokota wallet yenye pesa za kumwaga

Alichokifanya jamaa baada ya kuokota wallet yenye pesa za kumwaga

Jamaa aliokota wallet, alipofika nyumbani akapiga simu kwenye radio station "Naitwa John nimepiga s... Read More
Angalia huyu demu alivyo mbulula

Angalia huyu demu alivyo mbulula

Jamaa aliamua kumtoa demu wake out kwaajili ya chakula cha usiku kufika hotelini wakakaa mezani mhud... Read More