Ndiyo, magonjwa ya zinaa yanaweza kuenea, hata ukitoa uume kabla ya kumwaga mbegu. Mwenye magonjwa ya zinaa mara nyingi ana michubuko midogo au vidonda sehemu za siri na wadudu wabaya wanaweza kutoka na kuingia mwilini kwa urahisi. Hivyo, maambukizi ya magonjwa ya zinaa yanaweza kutokea hata kabla ya kumwaga mbegu.
Je, magonjwa ya zinaa yanaweza kuenea ukitoa uume kabla ya kumwaga mbegu?
Date: April 17, 2022
Author: SW - Melkisedeck Shine
Comments
Please log in or register to leave a comment or reply.
Related Posts
Jinsi ya Kuonyesha Utambulisho Wako kwa Msichana
Jinsi ya Kuonyesha Utambulisho Wako kwa Msichana
Kuonyesha utambulisho wako kwa msichana n... Read More
Je, kuna umuhimu wa kuelewa na kuheshimu dini na imani za mwenza wako kuhusu ngono/kufanya mapenzi?
Je, kuna umuhimu wa kuelewa na kuheshimu dini na imani za mwenza wako kuhusu ngono/kufanya mapenz... Read More
Je, Ni Lazima Kufanya Ngono Kwa Sababu ya Marafiki au Shinikizo za Kisiasa?
Je, ni lazima kufanya ngono kwa sababu ya marafiki au shinikizo za kisiasa? π€
Ndugu vij... Read More
Je, kuna umuhimu wa kufanya mazoezi ya kuboresha nguvu na stamina wakati wa ngono/kufanya mapenzi?
Je, kuna umuhimu wa kufanya mazoezi ya kuboresha nguvu na stamina wakati wa ngono/kufanya mapenzi... Read More
Je, kuna dawa zozote za kutibu magonjwa ya zinaa?
Magonjwa mengi ya zinaa yana dawa za kutibu, kwa mfano: kisonono, kaswende, klamdia, kankroidi au... Read More
Je, Tanzania kuna Albino wangapi?
Idadi kamili ya Albino Tanzania haijulikani kwani hakuna
aliyewahesabu. Inakisiwa kufuatana ...
Read More
Mama mwenye virusi vya UKIMWI na UKIMWI, anaweza kuzaa mtoto?
Na anaweza kumwambukiza mtoto aliye tumboni au wakati wa kumnyonyesha?
Ndiyo, mama mwenye vi...
Read More
Albino anaathirikaje na unyanyapaa na ubaguzi katika jamii?
Watu wengi huwaona Albino kama watu tofauti na watu wengine
na kuwakwepa, wanaweza hata kuba...
Read More
Je, nitaweza kupata virusi vya UKIMWI na UKIMWI nikijamiiana na msichana au mvulana wa umri mdogo sana?
Ndiyo, utaweza kuvipata virusi vya UKIMWI. Uwezekano wa kuambukizwa hautegemei umri wa mpenzi wak... Read More
Je, watu wanapendelea kutumia muda mwingi katika mchezo wa hatua wakati wa ngono/kufanya mapenzi?
Habari yako rafiki, leo tutajadili kuhusu swali linaloulizwa sana kuhusu watu kwa nini wanapendel... Read More
Kwa nini nao watu wanaishi kwenye ndoa wanapata maambukizi ya virusi vya UKIMWI na UKIMWI?
Kuna sababu kuu mbili i kwa wana ndoa kupata maambukizi i ya Virusi vya UKIMWI na UKIMWI.
Kw...
Read More
Je, kwa nini inatokea kuzaa mtoto mlemavu?
Kuna aina mbalimbali za ulemavu na kuna sababu mbalimbali za kuzaa mtoto mlemavu. Ulemavu wa mtot... Read More
No comments yet. Be the first to share your thoughts!