Msichana anaweza kupata mimba akijamii ana mara moja tu. Inategemea na mzunguko wa hedhi. Kama ndani ya tumbo la msichana lipo yai pevu ambalo ni tayari kwa kurutubishwa, na siku i ileile msichana anajamii ana na mvulana anaweza kupata mimba. Isitoshe, anaweza kupata mimba hata kama ni mara ya kwanza ya kujamii ana.
Msichana akijamiiana mara moja tu anaweza akapata mimba?
Date: April 16, 2022
Author: SW - Melkisedeck Shine
Comments
Please log in or register to leave a comment or reply.
Related Posts
Haki za uzazi ni zipi?
Je, kuna mambo mazuri na mabaya kuhusu ngono/kufanya mapenzi?
Je, kuna mambo mazuri na mabaya kuhusu ngono/kufanya mapenzi? Ndio, kuna mambo mengi sana ambayo ... Read More
Kwa nini Albino wanatengwa katika masuala ya mapenzi na wale watu ambao siyo Albino?
Watu huogopa kujaribu vitu au mambo ambayo hawajayazoea
au yale ambayo yapo tofauti. Jinsi u...
Read More
Je, watu wanapendelea ngono/kufanya mapenzi ya asubuhi au jioni?
Habari wapenzi wa blogu yetu! Leo, tutazungumzia suala la ngono na wakati bora wa kufanya mapenzi... Read More
Kufikia mshindo au kufika kileleni kwa mwanamke na mwanamme wakati wa kufanya mapenzi
Je, mwanamke anaweza kufikia mshindo?
Ndiyo, mwanamke anaweza kufikia mshindo wakati wa kuj... Read More
Njia za Kupunguza Mvutano katika Uhusiano wako na Msichana
Katika uhusiano wowote, mvutano ni jambo ambalo huwezi kuliepuka. Hata kama mna furaha nyingi pam... Read More
Kwa nini uume unasimama mara nyingine wakati wa kuamka asubuhi?
Jinsi ya Kuepuka Kuingiliwa na Maswala ya Ngono katika Uhusiano
Jinsi ya Kuepuka Kuingiliwa na Maswala ya Ngono katika Uhusiano
Karibu kwenye makala hii a... Read More
Tofauti ya VVU na UKIMWI
Je, kuna umuhimu wa kujadili matakwa na matarajio yako ya ngono/kufanya mapenzi na mwenza wako?
Kama wapenzi, kujadili matakwa na matarajio yako ya ngono/kufanya mapenzi na mwenza wako ni jambo... Read More
Je, kama mwanamke na mwanaume wanapata watoto wa jinsia moja tu, ni kosa la nani?
Hakuna mwenye kosa, kwa sababu jinsia ya mtoto i inategemea na bahati na hamna uwezekano wa kupan... Read More
Wanawake wanaweza kulewa haraka kuliko wanaume?
Wasichana na wanawake wanaweza kulewa kwa ujumla.
Mara nyingi, hulewa pombe haraka kuliko wa...
Read More
No comments yet. Be the first to share your thoughts!