Katika miezi sita ya mwanzo baada ya kujifungua, mwanamke anayenyonyesha mtoto anapata kinga ya mimba kwa asilimia kubwa. Lakini i i inabidi mama anyonyeshe mtoto kwa kipindi kirefu (muda wote mtoto awe ananyonya maziwa ya mama tu na anyonye kila anapohitaji) na vilevile mama awe hajaanza kupata hedhi yake. Kama mama ameanza kupata hedhi yake au kama anampa mtoto chakula kingine, anaweza kupata mimba tena. Kwa hivyo, anashauriwa kutumia njia za kupanga uzazi i i ili kuzuia mimba za mfululizo.
Mama anayenyonyesha mtoto anaweza kupata mimba?
Date: April 16, 2022
Author: SW - Melkisedeck Shine
Comments
Please log in or register to leave a comment or reply.
Related Posts
Jinsi ya Kuonyesha Mapenzi kwa Msichana Wako
Leo tutazungumzia juu ya jinsi ya kuonyesha mapenzi kwa msichana wako. Ingawa kuna njia nyingi to... Read More
Je, mwanamke ambaye ana hedhi kila mwezi, inawezekana kuwa mgumba?
Ndiyo, i inawezekana kwamba mwanamke anayepata hedhi yake kila mwezi akawa mgumba. Na vilevile i ... Read More
Nifanyeje Kupata Msaada wa Kisaikolojia Kuhusu Masuala ya Ngono?
๐Nifanyeje Kupata Msaada wa Kisaikolojia Kuhusu Masuala ya Ngono? ๐
Habari kijana! L... Read More
Jinsi ya Kuanzisha Mazungumzo ya Kwanza kuhusu Ngono na Mpenzi Wangu
Jinsi ya Kuanzisha Mazungumzo ya Kwanza kuhusu Ngono na Mpenzi Wangu ๐ผ
Karibu sana kwen... Read More
Je, Albino abadili/ageuze nywele rangi (die) au avae nywele bandia (wigi)?
Suala hili litatagemea na kila mtu anavyopendelea. Baadhi ya
watu hupendelea kuacha nywele z...
Read More
Je, nitaweza kupata virusi vya UKIMWI na UKIMWI nikijamiiana na msichana au mvulana wa umri mdogo sana?
Ndiyo, utaweza kuvipata virusi vya UKIMWI. Uwezekano wa kuambukizwa hautegemei umri wa mpenzi wak... Read More
Mapenzi salama ni yapi?
Mapenzi salama ni yale yanayofanyika bila wasiwasi wa kupata mimba zisizotarajiwa, magonjwa ya zi... Read More
Je, ukinywa pombe unaongeza damu?
Si kweli.
Pombe haiongezi damu, vitamini wala nguvu. Ukweli ni kwamba unywaji po... Read More
Mimi ni msichana Albino ninaogopa kuwa na rafiki mwanaume kwa kuhofia kuwa anataka tu kujamiiana na mimi na halafu aniache
Wakati mwingine kuwa na muonekano tofauti na watu wengine
huvuta udadisi. Na hasa tukikumbuk...
Read More
Kwa nini mara nyingine uume hausimami?
Hatua gani zichukuliwe dhidi ya wanaowakeketa au kuwachezea unyago Albino juani?
Swali hili linaonyesha mambo mawili ambayo ni mabaya. Jambo
la kwanza ni ukeketaji ambao ni ...
Read More
Njia za Kujenga Uwezo wa Kusamehe na Msichana katika Uhusiano
Njia za Kujenga Uwezo wa Kusamehe na Msichana katika Uhusiano
Uhusiano ni kitu kizuri sana... Read More
No comments yet. Be the first to share your thoughts!