Katika miezi sita ya mwanzo baada ya kujifungua, mwanamke anayenyonyesha mtoto anapata kinga ya mimba kwa asilimia kubwa. Lakini i i inabidi mama anyonyeshe mtoto kwa kipindi kirefu (muda wote mtoto awe ananyonya maziwa ya mama tu na anyonye kila anapohitaji) na vilevile mama awe hajaanza kupata hedhi yake. Kama mama ameanza kupata hedhi yake au kama anampa mtoto chakula kingine, anaweza kupata mimba tena. Kwa hivyo, anashauriwa kutumia njia za kupanga uzazi i i ili kuzuia mimba za mfululizo.
Mama anayenyonyesha mtoto anaweza kupata mimba?
Date: April 16, 2022
Author: SW - Melkisedeck Shine
Comments
Please log in or register to leave a comment or reply.
Related Posts
Je, kuna madhara gani ya kunywa pombe kwa vijana hasa kijana Albino?
Athari za pombe kwa mtu anayeishi na ualbino ni sawa na zile
zinazowapata watu wengine.
Read More
Vidokezo vya Kuwa na Tarehe ya Kimapenzi na Msichana
Kama wewe ni miongoni mwa wanaume wanaotaka kuwa na tarehe ya kimapenzi na msichana, kuna vidokez... Read More
Njia za Kujenga Ushawishi na Msichana katika Uhusiano
Leo tutazungumzia njia za kujenga ushawishi na msichana katika uhusiano. Kujenga ushawishi kunama... Read More
Vidokezo vya Kuwa na Uvumilivu katika Uhusiano wako na Msichana
Kuwa na uhusiano mzuri na msichana ni jambo ambalo kila mwanaume anataka. Hata hivyo, wakati mwin... Read More
Vidokezo vya Kuonyesha Shukrani kwa Msichana Wako
Hivi karibuni, wanaume wengi wamekuwa wakikosa jinsi ya kuonyesha shukrani kwa msichana wao. Hata... Read More
Je, kuna umuhimu kuweka mazingira ya kimapenzi kabla ya kufanya ngono/kufanya mapenzi?
Je, kuna umuhimu wa kuweka mazingira ya kimapenzi kabla ya kufanya ngono au kufanya mapenzi? Ndio... Read More
Watu wanaoua Albino wanapata faida gani?
Hakuna uchunguzi wa kisayansi ambao umeonyesha faida
yoyote inayopatikana kwa kuua Albino.
Njia za Kujenga Uvumilivu na Msichana katika Changamoto za Maisha
Njia za Kujenga Uvumilivu na Msichana katika Changamoto za Maisha
Hakuna ubishi kwamba mai... Read More
Je, watu wanasemaje kuhusu kutumia manjonjo na manukato wakati wa ngono/kufanya mapenzi?
Kutumia manjonjo na manukato wakati wa ngono/kufanya mapenzi ni mada ambayo ina debate kubwa. Wap... Read More
Je, mtu anaweza kuzuia kupata mimba baada yakujamiiana bila kinga (kufanya ngono zembe) kwa mfano amebakwa?
Kama umebakwa au kulazimishwa kujamiiana unaweza kupata
huduma katika hospitali, kituo cha a...
Read More
Jinsi ya Kuwa na Siku ya Kumbukumbu ya Kipekee na Msichana
Kumbukumbu zetu ni muhimu sana katika maisha yetu. Siku ya kumbukumbu ni siku muhimu sana kwa sab... Read More
Je, ni muhimu kuzungumzia kuhusu upendeleo wako wa ngono/kufanya mapenzi kabla ya kuingia katika uhusiano?
Je, ni muhimu kuzungumzia upendeleo wako wa ngono kabla ya kuingia katika uhusiano? Jibu ni ndio!... Read More
No comments yet. Be the first to share your thoughts!