Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/list.ackyshine.com/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Je, Uvutaji wa sigara unafurahisha na kuchangamsha?

Featured Image

Ndiyo, lakini ni mwanzo tu na kwa muda mfupi; hii ni kwa
sababu mwanzoni nikotini iliyomo katika sigara inasababisha
damu kumiminika kwa wingi kupita kwenye ubongo wako. Hivyo,
husababisha msisimko na kukufanya ujisikie raha. Nikotini
pia inasababisha misuli mwilini kujichua na hivyo kukufanya
ujisikie mchangamfu.

Baada ya muda utajisikia kinyume na ulivyojisikia mwanzoni.
Kama utavuta zaidi na zaidi damu na oksijeni kidogo vitatiririka
mwilini na kwenye ubongo. Hii itakufanya ujisikie mchovu na
mwenye huzuni.

Kwa bahati mbaya baadhi ya matangazo ya biashara au
marafiki watakushawishi kwamba, uvutaji wa sigara ni safi, poa
na hukufanya kujisikia mkubwa. Lakini hawaongelei madhara
mabaya kiafya yatokanayo na uvutaji wa sigara na ugumu wa
kuacha uvutaji huo pale utakapoizoea.

Nikotini mara nyingi
huitwa kianzisho. Hii inamaanisha kwamba wakati mwingine
vijana wanaanza kuvuta sigara na kisha kuhamia kwenye
utumiaji wa dawa za kulevya. Hata hivyo uvutaji ni gharama.

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

No comments yet. Be the first to share your thoughts!

Related Posts

Je, kuna madhara kama mtu akikaa muda mrefu bila kufanya mapenzi?

Je, kuna madhara kama mtu akikaa muda mrefu bila kufanya mapenzi?

Ukweli ni kwamba hakuna madhara yoyote ya kiafya ukikaa muda mrefu bila kujamii ana. Hakuna madha... Read More

Je, watu wanaamini nini katika kuongeza mchezo wa hisia wakati wa ngono/kufanya mapenzi?

Je, watu wanaamini nini katika kuongeza mchezo wa hisia wakati wa ngono/kufanya mapenzi?

Je, watu wanaamini nini katika kuongeza mchezo wa hisia wakati wa ngono/kufanya mapenzi? Kufanya ... Read More

Kwa nini watu wanaamini kuwa Albino hawana maambukizo ya Virusi vya UKIMWI (VVU)?

Kwa nini watu wanaamini kuwa Albino hawana maambukizo ya Virusi vya UKIMWI (VVU)?

Imani hiyo si kweli kabisa. Inawezekana ni kupotoshwa kwa
makusudi wa ukweli kuhusu jambo hi... Read More

Je, nini imani ya watu katika kuzungumza waziwazi juu ya ngono/kufanya mapenzi na kutokuwa na aibu?

Je, nini imani ya watu katika kuzungumza waziwazi juu ya ngono/kufanya mapenzi na kutokuwa na aibu?

Habari rafiki yangu! Leo tutaongea kuhusu umuhimu wa kuzungumza waziwazi juu ya ngono na kufanya ... Read More

Nifanyeje Kuzungumzia Suala la Ngono na Wazazi?

Nifanyeje Kuzungumzia Suala la Ngono na Wazazi?

Nifanyeje Kuzungumzia Suala la Ngono na Wazazi? πŸ€”

Karibu kwenye makala hii ambapo tutaj... Read More

Je, kwa nini watu waanzao kutumia dawa za kulevya hupenda kuendelea kuzitumia?

Je, kwa nini watu waanzao kutumia dawa za kulevya hupenda kuendelea kuzitumia?

Hii ndio hasa sababu kwa nini dawa za kulevya ni hatari! Mara unapozizoea unakuwa na ugumu wa kue... Read More

Nifanyeje Kukabiliana na Hisia za Kubaguliwa Kuhusiana na Ngono?

Nifanyeje Kukabiliana na Hisia za Kubaguliwa Kuhusiana na Ngono?

Nifanyeje Kukabiliana na Hisia za Kubaguliwa Kuhusiana na Ngono? 🌟

Habari rafiki! Leo t... Read More

Je, mwanamke ambaye ana hedhi kila mwezi, inawezekana kuwa mgumba?

Je, mwanamke ambaye ana hedhi kila mwezi, inawezekana kuwa mgumba?

Ndiyo, i inawezekana kwamba mwanamke anayepata hedhi yake kila mwezi akawa mgumba. Na vilevile i ... Read More

Nikitumia nyembe kali au sindano pamoja na mtu mwenye Virusi vya UKIMWI ninaweza kupata Virusi vya UKIMWI na UKIMWI?

Nikitumia nyembe kali au sindano pamoja na mtu mwenye Virusi vya UKIMWI ninaweza kupata Virusi vya UKIMWI na UKIMWI?

Ndiyo, unaweza kuambukizwa ukitumia nyembe kali au sindano kwa kuchangia pamoja na mtu mwenye vir... Read More

Magonjwa ya zinaa yanavyoenea

Magonjwa ya zinaa yanavyoenea

Magonjwa ya zinaa husababishwa na vijidudu vya magonjwa na huambukizwa kwa kukutana kimwili na mt... Read More

Je, kama mwanamke na mwanaume wanapata watoto wa jinsia moja tu, ni kosa la nani?

Je, kama mwanamke na mwanaume wanapata watoto wa jinsia moja tu, ni kosa la nani?

Hakuna mwenye kosa, kwa sababu jinsia ya mtoto i inategemea na bahati na hamna uwezekano wa kupan... Read More

Jinsi ya Kuwa na Mawasiliano Mzuri na Msichana

Jinsi ya Kuwa na Mawasiliano Mzuri na Msichana

Leo tutazungumzia jinsi ya kuwa na mawasiliano mzuri na msichana. Kwa sababu ya tofauti za kijins... Read More

πŸ“– Explore More Articles
🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About