Hapana, hii si kweli! Vijana wanaoamini kwamba wana uwezo wa kufikiri baada ya kuvuta bangi kwa sababu inawapa hisia ya kuzoea mihemko ya kusikia vizuri au kufahamu kwa haraka. Lakini ni kawaida kwamba uvutaji wa bangi unaathiri shule, kazi na shughuli nyingine kinyume na matarajio ya mafanikio. Siku zote vijana wavutaji bangi wanapoteza ari shuleni au mafunzoni. Wanashindwa kuweka malengo ya maisha yao ya baadaye.
Je, ni kweli kwamba kuvuta bangi kunaongeza akili na uwezo wa kufikiri?
Date: April 17, 2022
Author: SW - Melkisedeck Shine
Comments
Please log in or register to leave a comment or reply.
Related Posts
Matatizo yanayotokana na ujauzito katika umri mdogo
Wataalamu wanashauri kwamba msichana anastahili kuanza kubeba mimba kuanzia umri wa miaka 18 hadi... Read More
Je, madhara gani yatawapata wasichana na wavulana wanaojamiiana kwa kutumia sehemu ya haja kubwa?
Jinsi ya kumfanya mpenzi au rafiki yako asiwe na mwingine
Jambo la muhimu ni kuwasiliana kwa karibu i ili kuelewa mawazo na matatizo ya rafiki yako. Hakiki... Read More
Watu wanaoishi na ulemavu wanapewa huduma za upasuaji hasa wakati wa kujifungua?
Upasuaji unafanyika kwa wanawake wote ambao wamegundulika
kuwa na tatizo la kujifungua kwa n...
Read More
Je, nikioga mara baada ya kujamiiana, nitaweza kuwatoa wadudu wa ugonjwa wa zinaa na nisiambukizwe?
Hapana, huwezi kuwatoa wadudu wa magonjwa ya zinaa kwa njia ya kuoga baada ya kujamiiana. Wadudu ... Read More
Je, Ni Vipi Kuepuka Kufanya Ngono Kwa Shinikizo la Kutaka Kupendwa?
Je, Ni Vipi Kuepuka Kufanya Ngono Kwa Shinikizo la Kutaka Kupendwa? π€
Kuna wakati maish... Read More
Je, serikali imechukua hatua gani kudhibiti hali hii ya mauaji ya Albino? Tutaishi vipi?
Kifungu cha 14 cha Katiba ya Tanzania kinaeleza kwa ufasaha
kuwa: βKila mtu ana haki ya ku...
Read More
Je, Ni Lazima Kufanya Ngono Kama Ishara ya Mapenzi?
Je, ni lazima kufanya ngono kama ishara ya mapenzi?π€
Haya, wapendwa vijana, hebu tuanze... Read More
Je, Ni Vipi naweza Kupata Msaada au Elimu kuhusu Ngono?
Je, ni vipi naweza kupata msaada au elimu kuhusu ngono? π€π
Wewe kama kijana mzuri na... Read More
Je, Ni Lazima Kufanya Ngono Kwa Sababu ya Marafiki au Shinikizo za Kisiasa?
Je, ni lazima kufanya ngono kwa sababu ya marafiki au shinikizo za kisiasa? π€
Ndugu vij... Read More
Je, kuna njia salama ya kutoa mimba?
Hatari inategemea na mazingira ambapo mimba inatolewa. Kama ni hospitalini na i inatolewa na mtaa... Read More
Vidokezo vya Kuonyesha Shukrani kwa Msichana Wako
Hivi karibuni, wanaume wengi wamekuwa wakikosa jinsi ya kuonyesha shukrani kwa msichana wao. Hata... Read More
No comments yet. Be the first to share your thoughts!