Hapana, hii si kweli! Vijana wanaoamini kwamba wana uwezo wa kufikiri baada ya kuvuta bangi kwa sababu inawapa hisia ya kuzoea mihemko ya kusikia vizuri au kufahamu kwa haraka. Lakini ni kawaida kwamba uvutaji wa bangi unaathiri shule, kazi na shughuli nyingine kinyume na matarajio ya mafanikio. Siku zote vijana wavutaji bangi wanapoteza ari shuleni au mafunzoni. Wanashindwa kuweka malengo ya maisha yao ya baadaye.
Je, ni kweli kwamba kuvuta bangi kunaongeza akili na uwezo wa kufikiri?
Date: April 17, 2022
Author: SW - Melkisedeck Shine
Comments
Please log in or register to leave a comment or reply.
Related Posts
Vidokezo vya Kujenga Ukaribu na Msichana Wako
-
Anza kwa kujenga urafiki mzuri Kabla ya kuwa na uhusiano wa kimapenzi, ni muhimu kujeng... Read More
Je, ngono/kufanya mapenzi ni jambo la faragha au unajisikia huru kuzungumzia kuhusu hilo?
Jambo la faragha kabisa ni ngono au kufanya mapenzi. Kila mtu ana hisia tofauti kuhusu suala hili... Read More
Je, Ni Sahihi Kutumia Dawa za Kuzuia Mimba?
Je, Ni Sahihi Kutumia Dawa za Kuzuia Mimba? πΌπ
Tunaelewa kwamba vijana wetu ni kikun... Read More
Njia za Kupata Msichana Mzuri wa Kuwa Naye Maisha Yote
Njia za Kupata Msichana Mzuri wa Kuwa Naye Maisha Yote
Kila mwanamume anataka kupata msich... Read More
Ualbino unarithiwa vipi?
Watoto wengi wanaozaliwa na ualbino, wazazi wao wana rangi
ya ngozi, nywele na macho inayafa...
Read More
Watu wanaoishi na ulemavu wanapewa huduma za upasuaji hasa wakati wa kujifungua?
Upasuaji unafanyika kwa wanawake wote ambao wamegundulika
kuwa na tatizo la kujifungua kwa n...
Read More
Je, inawezekana kujisikia huru kuelezea tamaa zako za ngono/kufanya mapenzi kwa mwenza wako?
Karibu kwenye makala hii kuhusu swali la iwapo inawezekana kujisikia huru kuelezea tamaa zako za ... Read More
Jinsi ya Kuepuka Kujihusisha na Ngono Kwa Shinikizo la Wenzako
Jinsi ya Kuepuka Kujihusisha na Ngono Kwa Shinikizo la Wenzako
Habari kijana! Leo tunajadi... Read More
Je, watu wanaoishi na ualbino wanafanana wote?
Hapana. Albino wote hawafanani, wanatofautiana kufuatana na
kiasi cha melanini walicho nacho...
Read More
Je, kuna njia salama ya kutoa mimba?
Hatari inategemea na mazingira ambapo mimba inatolewa. Kama ni hospitalini na i inatolewa na mtaa... Read More
Je, madhara gani yatawapata wasichana na wavulana wanaojamiiana kwa kutumia sehemu ya haja kubwa?
Jinsi ya Kukabiliana na Hisia za Hatia Baada ya Kufanya Ngono
Jinsi ya Kukabiliana na Hisia za Hatia Baada ya Kufanya Ngono
Karibu vijana wapendwa! Leo,... Read More
No comments yet. Be the first to share your thoughts!