Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/list.ackyshine.com/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Safari ni safari

Featured Image

FUNDISHO : SAFARI NI SAFARI

Maisha ni ya ajabu sana, wakati mwingine maisha ni mazuri na mwingine ni mabaya, katika maisha yetu tumeshapitia safari nyingi sana na za aina mbalimbali kwa nyakati mbalimbali. Lakin kiukweli kila safari ni safari tuu.

Japokua kila safari ina changamoto zake lakini mwisho wake ni ule ule , kila safari ina uzuri na upekee wake.

Vile vile kila safari ina ubaya wake, kwa mfano kila safari ina gharama yake kulingana na upekee wake.

Usiwe na wasiwasi na mashaka na aina ya safari ulionayo, jipe moyo utaimaliza na kupata ulichokitarajia. Haya ndio maisha na wote tunatakiwa tuyafurahie.

Ingawa kila mtu ana safari yake bado wote tunatakiwa tufurahie pamoja kwa safari tuliyo nayo. Hata Uwe Na safar ya aina gani wewe furahi tuu. Hii ni kwa sababu safari mwisho wake ni mmoja kwa wote burudani ni ile ile

Safari🍺 ni safari 🍺hata kama ni ya chupa au ya kopo mwisho wake πŸ’€πŸ’€

πŸ˜‹πŸ˜œπŸ˜œπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Ulijua ni nn??

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Zubeida (Guest) on May 14, 2017

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

Edward Chepkoech (Guest) on May 13, 2017

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Rose Amukowa (Guest) on April 27, 2017

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Mercy Atieno (Guest) on April 24, 2017

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Agnes Njeri (Guest) on April 9, 2017

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

Nancy Akumu (Guest) on March 27, 2017

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

Monica Adhiambo (Guest) on March 9, 2017

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

Linda Karimi (Guest) on February 18, 2017

πŸ˜… Bado nacheka!

Diana Mallya (Guest) on February 4, 2017

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

Victor Malima (Guest) on January 30, 2017

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

Charles Mboje (Guest) on January 19, 2017

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

Patrick Kidata (Guest) on January 1, 2017

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Tabitha Okumu (Guest) on December 3, 2016

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Mwanahawa (Guest) on November 27, 2016

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Elizabeth Mtei (Guest) on November 12, 2016

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Alice Mwikali (Guest) on October 19, 2016

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Robert Okello (Guest) on October 17, 2016

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

Elijah Mutua (Guest) on September 6, 2016

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

Patrick Akech (Guest) on August 24, 2016

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

Nancy Kawawa (Guest) on August 22, 2016

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Mustafa (Guest) on August 10, 2016

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Anna Kibwana (Guest) on August 2, 2016

🀣πŸ”₯😊

David Ochieng (Guest) on August 2, 2016

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

Monica Adhiambo (Guest) on July 16, 2016

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

Nora Lowassa (Guest) on July 12, 2016

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Monica Adhiambo (Guest) on June 25, 2016

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

Esther Nyambura (Guest) on June 20, 2016

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

Jacob Kiplangat (Guest) on May 24, 2016

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Dorothy Majaliwa (Guest) on May 15, 2016

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

Andrew Mchome (Guest) on May 11, 2016

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Ruth Kibona (Guest) on May 5, 2016

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

Nora Kidata (Guest) on April 19, 2016

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Vincent Mwangangi (Guest) on March 13, 2016

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

Edward Lowassa (Guest) on February 29, 2016

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Janet Wambura (Guest) on February 16, 2016

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Tabu (Guest) on January 31, 2016

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

George Tenga (Guest) on January 27, 2016

πŸ˜„ Kali sana!

Joseph Mallya (Guest) on January 22, 2016

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Isaac Kiptoo (Guest) on December 23, 2015

🀣 Sikutarajia hiyo!

Nassor (Guest) on December 19, 2015

πŸ˜† Kali sana!

Samson Mahiga (Guest) on December 1, 2015

πŸ˜‚πŸ˜†

Victor Mwalimu (Guest) on November 22, 2015

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Sarah Achieng (Guest) on November 3, 2015

Hii imenibamba sana! πŸ˜…πŸ€£

Violet Mumo (Guest) on October 6, 2015

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Peter Mugendi (Guest) on September 19, 2015

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Fikiri (Guest) on September 12, 2015

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Hawa (Guest) on September 8, 2015

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

Jane Muthoni (Guest) on September 3, 2015

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

Hekima (Guest) on August 30, 2015

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

Lydia Wanyama (Guest) on August 12, 2015

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Nchi (Guest) on August 8, 2015

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Carol Nyakio (Guest) on June 12, 2015

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Bernard Oduor (Guest) on May 28, 2015

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

Francis Njeru (Guest) on May 17, 2015

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Mary Mrope (Guest) on May 16, 2015

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Omar (Guest) on May 3, 2015

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Related Posts

Huu ndio mlolongo wa michepuko kuwahi kutokea kati ya mke, mume mwanafunzi na boss

Huu ndio mlolongo wa michepuko kuwahi kutokea kati ya mke, mume mwanafunzi na boss

BOSS anamwambia sekretari wake: Wiki hii tutaenda wote Serena Hotel kwenye ... Read More

Eti hili nalo ni kweli kwa dada yako?

Eti hili nalo ni kweli kwa dada yako?

Oya people hv kwa mfano Dada yako akisomea sheria ndo anaitwa sister in law? au... Read More

Google, Facebook, WhatsApp, Internet na Umeme nani zaidi?

Google, Facebook, WhatsApp, Internet na Umeme nani zaidi?

Google alisema : mimi nina kila kitu

Facebook ikasema : mimi najua watu wote

Wha... Read More

Kingereza sio mchezo, angalia huyu anavyojichanganya

Kingereza sio mchezo, angalia huyu anavyojichanganya

Jamaa fulani alikuwa ame2lia beach mzungu akapita akamuliza "Are u relax ? Jamaa akawa hamuelewi... Read More

Huyu mwanamke ni noma cheki alichomwambia mme wake baada ya kumnunulia nguo za ndani

Huyu mwanamke ni noma cheki alichomwambia mme wake baada ya kumnunulia nguo za ndani

Mume kaingia duka la nguo na kamnunulia mke wake chupi dazeni moja zote za rangi nyeusi, akaenda ... Read More

Jamaa amkomesha boss wake

Jamaa amkomesha boss wake

Kuna jamaa alifutwa kazi…

Ikawa kila siku anaenda nyumbani kwa boss wake na kunya mlango ... Read More

Jamaa anayependa kuwafanyia watu uhuni leo kapatikana na huyu mdada

Jamaa anayependa kuwafanyia watu uhuni leo kapatikana na huyu mdada

Mdada alienda super-market kununua
kuku, bahati mbaya kwenye frij
kulikuwa na kuku mmoj... Read More

Muda ambao unaweza kumzoea dingi

Muda ambao unaweza kumzoea dingi

Muda pekee ambao unaweza kumzoea DINGI ni pale unapomfundisha kutumia SMARTPHONE….

Wanaku... Read More

Tabia za wachepukaji

Tabia za wachepukaji

WACHEPUKAJI WENGI WANATABIA HIZI

1.Hachezi mbali na simu yake kila wakati.
2.Inbox na ... Read More

Angalia nilichomfanyia huyu dereva sasa

Angalia nilichomfanyia huyu dereva sasa

Tulikua kwa basi tunaelekea arusha,ile namcheki dereva kumbe ni best yangu na basi ilikua... Read More

Angalia nilivyoingizwa mjini na ujanja wangu wote

Angalia nilivyoingizwa mjini na ujanja wangu wote

Ndio nilikuwa nimeshuka kwenye basi la SAI BABA pale Ubungo, nina Begi kubwa Mgongoni na begi Dog... Read More

Wanaume wote ni waaminifu

Wanaume wote ni waaminifu

Hii ni kwa wanaume ila mwanamke anaweza kusoma na kujifunza kuwa wanaume wote ni waaminifu.

Read More
πŸ“– Explore More Articles
🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About