Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/list.ackyshine.com/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Cheki huyu jamaa anachomfanyia huyu mrembo kanisani

Featured Image
Jamaa kaenda kanisani akakaa karibu na mrembo. Wakati mahubiri yakiendlea jamaa akaanza kuingiza vocal: Jamaa: dada mi nakupenda saana Dem: Kaka naomba umsikilize mchungaji Jamaa: nipe nafasi uwe msimamizi wa serikali ya moyo wangu… Dem: niache… Jamaa: kweli nakupenda mpnz Dem: (kwa sauti kubwa) nmesema NIACHEEEE!! Watu wote kanisani wakageuka… Jamaa kaona noma na ili atulize msala Jamaa: sikuachi hadi ukiri YESU kuwa Bwana na mwokozi wa Maisha yako.
AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Josephine Nduta (Guest) on April 14, 2017

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Fikiri (Guest) on April 9, 2017

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Patrick Akech (Guest) on April 4, 2017

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

Elizabeth Mtei (Guest) on March 17, 2017

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

David Chacha (Guest) on March 5, 2017

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Mwafirika (Guest) on February 26, 2017

πŸ˜… Nilihitaji hii!

Janet Sumari (Guest) on January 31, 2017

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Dorothy Majaliwa (Guest) on January 17, 2017

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Isaac Kiptoo (Guest) on January 10, 2017

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Rehema (Guest) on January 4, 2017

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

Alice Mrema (Guest) on December 26, 2016

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

Zubeida (Guest) on December 22, 2016

😁 Kicheko bora ya siku!

Binti (Guest) on December 13, 2016

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Ann Wambui (Guest) on November 20, 2016

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Philip Nyaga (Guest) on October 28, 2016

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Nora Kidata (Guest) on October 12, 2016

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

Josephine Nduta (Guest) on October 7, 2016

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Elijah Mutua (Guest) on September 28, 2016

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Alice Wanjiru (Guest) on September 10, 2016

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

Raphael Okoth (Guest) on August 21, 2016

πŸ˜‚πŸ€£

David Sokoine (Guest) on August 15, 2016

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Paul Kamau (Guest) on June 25, 2016

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Mtumwa (Guest) on June 21, 2016

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

John Mwangi (Guest) on June 11, 2016

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Selemani (Guest) on May 6, 2016

πŸ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

Jane Malecela (Guest) on May 6, 2016

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

John Lissu (Guest) on May 3, 2016

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Patrick Kidata (Guest) on April 27, 2016

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Fredrick Mutiso (Guest) on April 10, 2016

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

Nahida (Guest) on March 8, 2016

πŸ˜† Bado nacheka!

Agnes Njeri (Guest) on February 17, 2016

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Nicholas Wanjohi (Guest) on February 3, 2016

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

Rahma (Guest) on January 11, 2016

πŸ˜‚ Kali sana!

Samuel Omondi (Guest) on December 26, 2015

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Betty Cheruiyot (Guest) on December 21, 2015

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

John Lissu (Guest) on December 9, 2015

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

Grace Mushi (Guest) on December 7, 2015

😁 Hii ni dhahabu!

John Mushi (Guest) on December 2, 2015

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Alice Mrema (Guest) on November 21, 2015

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Janet Wambura (Guest) on November 12, 2015

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

Janet Mbithe (Guest) on November 11, 2015

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

Grace Minja (Guest) on October 25, 2015

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

Bernard Oduor (Guest) on October 12, 2015

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

David Kawawa (Guest) on September 25, 2015

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

Margaret Mahiga (Guest) on September 23, 2015

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Martin Otieno (Guest) on September 11, 2015

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Mwanajuma (Guest) on July 15, 2015

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Baraka (Guest) on June 24, 2015

πŸ˜… Bado nacheka!

Sarah Karani (Guest) on June 12, 2015

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

Yahya (Guest) on May 24, 2015

Asante Ackyshine

Miriam Mchome (Guest) on May 12, 2015

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

Robert Ndunguru (Guest) on May 11, 2015

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

Lucy Mushi (Guest) on May 10, 2015

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Joyce Mussa (Guest) on April 27, 2015

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

Lydia Mzindakaya (Guest) on April 14, 2015

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

John Lissu (Guest) on April 9, 2015

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

Related Posts

Soma huyu mtoto anachosema sasa, Ndoto za watoto bwana! Kazi ipo!

Soma huyu mtoto anachosema sasa, Ndoto za watoto bwana! Kazi ipo!

Mwalimu aliingia darasani na kuwauliza wanafunzi juu ya ndoto zao za baadae... Read More

Huyu Jamaa ubahili umezidi kwa hiki anachomwambia huyu dada

Huyu Jamaa ubahili umezidi kwa hiki anachomwambia huyu dada

Kama ni ubahili hapa umezidi

mdadaΒ Bby naomba hela nimpeleke mdogo wangu ... Read More

Status za Whatsapp za Wazungu na Wabongo

Status za Whatsapp za Wazungu na Wabongo

STATUS ZA WAZUNGU kwenye Whatsapp vere vere kliaaa…
πŸ‘‰sick
πŸ‘‰at movie
Β... Read More

Walevi wana Mambo! Angalia wanachokisema

Walevi wana Mambo! Angalia wanachokisema

WALEVI WAWILI KATIKA MAZUNGUMZO YAO

MLEVI 1Β hivi rafiki ... Read More

Mcheki Chizi na daktari

Mcheki Chizi na daktari

Tafakari na ujumbe huuuu!!!…

DAKTARI :- Unajisikiaje?

CHIZI:-Kila siku naota nyani ... Read More

Njia nne za kufikisha Habari kwa haraka

Njia nne za kufikisha Habari kwa haraka

Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana

..unaenda kuoga, unakumbuka k... Read More

Angalia nilivyomkomoa huyu dogo

Angalia nilivyomkomoa huyu dogo

Kuna mtoto wa jirani ananibore sana kila nkimtuma kitu dukani lazima aonje,

... Read More
Kapresha kakiamua kuja kanakujaga tuu, cheki kilichompata huyu mme wa mtu mpenda michepuko

Kapresha kakiamua kuja kanakujaga tuu, cheki kilichompata huyu mme wa mtu mpenda michepuko

Kimchepuko chako kinakuandikia meseji kama hii…

…Samahani baby kama unavyojua nimeokoka... Read More

Wachaga kweli kiboko: Mcheki huyu mchaga na mbuzi!!!

Wachaga kweli kiboko: Mcheki huyu mchaga na mbuzi!!!

Mchaga alinunua mbuzi akamwambia mpishi Nyama nusu ipike pilau na ingine itie kwenye friza. Kich... Read More

Mchaga mmoja kamtoa mke wake out mambo yakawa hivi

Mchaga mmoja kamtoa mke wake out mambo yakawa hivi

*Mchaga mmoja kamtoa mke wake out.*

*mchaga* : _chips yai bei gani?_

*mhudumu*: _elfu... Read More

Mume alichomjibu mchepuko wa mke wake

Mume alichomjibu mchepuko wa mke wake

😎 Jamaa kamuaga mkewe anaenda semina Songea kwa wiki nzima kumbe kahamia kwa demu nyu... Read More

Askari na yeye kumbe muoga, cheki anachomjibu afande

Askari na yeye kumbe muoga, cheki anachomjibu afande

Askari wametumwa nyumba iliyokuwa kuna ugomvi wakafika wakatakiwa kuripoti ... Read More

πŸ“– Explore More Articles