Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/list.ackyshine.com/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Angalia nilichokifanya Jana kumkomoa x-wangu

Featured Image

Mwenzenu nilikatiwa umeme jana basi leo si nikaamua kwenda kununua luku ya 10,000. Kufika njiani nikatamani fursana nikaingia kijisupermarket mara sindo nakutana na ex wangu! Mshenzi yule kaniona mimi sijui alikua na mpango wa kununua vocha ya jero eti kabadili kanunua vocha ya buku tano ilimradi nione maisha yake safi tangu tuachane. Mambo ya kijinga spendi kudadeky nimetoa buku kumi nikanunua mipampers nami nijifanye nimeowa nina mtoto halafu huyoo nikashika njia yangu.

Sasa washkaji zangu tafadhalini mwenye mtoto au shida ya pampers naomba anunue kwangu maana leo nalala tena kiza πŸ™†β€β™‚

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Benjamin Kibicho (Guest) on July 2, 2017

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

John Lissu (Guest) on June 15, 2017

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Carol Nyakio (Guest) on June 14, 2017

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Kevin Maina (Guest) on June 9, 2017

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

Victor Malima (Guest) on May 21, 2017

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Christopher Oloo (Guest) on May 20, 2017

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

James Mduma (Guest) on May 19, 2017

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Amir (Guest) on May 10, 2017

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

Emily Chepngeno (Guest) on May 4, 2017

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Samuel Omondi (Guest) on April 30, 2017

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

John Mushi (Guest) on April 13, 2017

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Michael Onyango (Guest) on March 21, 2017

😊🀣πŸ”₯

Mwagonda (Guest) on March 14, 2017

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Moses Kipkemboi (Guest) on March 11, 2017

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Charles Mchome (Guest) on January 31, 2017

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Vincent Mwangangi (Guest) on January 16, 2017

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Mustafa (Guest) on October 16, 2016

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Thomas Mwakalindile (Guest) on October 14, 2016

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Anna Malela (Guest) on October 13, 2016

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

Miriam Mchome (Guest) on October 6, 2016

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

Betty Cheruiyot (Guest) on September 5, 2016

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

Baraka (Guest) on September 3, 2016

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Anna Kibwana (Guest) on August 21, 2016

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Isaac Kiptoo (Guest) on August 6, 2016

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

John Lissu (Guest) on July 21, 2016

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

Ann Awino (Guest) on June 19, 2016

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

Rose Lowassa (Guest) on June 12, 2016

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

Peter Mbise (Guest) on June 3, 2016

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Agnes Lowassa (Guest) on May 30, 2016

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜ŠπŸ˜†

Elizabeth Mrema (Guest) on April 13, 2016

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Abdillah (Guest) on March 27, 2016

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Mjaka (Guest) on February 28, 2016

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Lydia Mahiga (Guest) on February 16, 2016

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

John Lissu (Guest) on January 7, 2016

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Richard Mulwa (Guest) on December 17, 2015

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Mary Kidata (Guest) on December 1, 2015

🀣 Sikutarajia hiyo!

Ann Wambui (Guest) on December 1, 2015

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Moses Mwita (Guest) on November 13, 2015

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Anna Mchome (Guest) on November 9, 2015

πŸ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

Abdillah (Guest) on November 6, 2015

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

Nancy Kawawa (Guest) on October 31, 2015

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Moses Kipkemboi (Guest) on October 10, 2015

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Dorothy Majaliwa (Guest) on September 14, 2015

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

Mwanakhamis (Guest) on August 29, 2015

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Maida (Guest) on August 26, 2015

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

Victor Sokoine (Guest) on August 25, 2015

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

Bakari (Guest) on August 7, 2015

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Kassim (Guest) on August 4, 2015

Hii kichekesho inastahili tuzo! πŸ†

Mary Mrope (Guest) on July 24, 2015

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

Paul Kamau (Guest) on June 23, 2015

🀣 Ninaituma sasa hivi!

Kenneth Murithi (Guest) on June 10, 2015

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

Joseph Kawawa (Guest) on May 24, 2015

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

Mariam Kawawa (Guest) on May 11, 2015

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Jane Muthui (Guest) on May 9, 2015

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£

Mwanaidha (Guest) on April 13, 2015

πŸ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

Joyce Mussa (Guest) on April 8, 2015

πŸ˜‚πŸ€£

Related Posts

Upendo wa kweli ni nini?

Upendo wa kweli ni nini?

*Upendo wa kweli ni nini?*
*πŸ‘‰Upendo wa kweli ni pale mwanaume anapomfumania mwanamke wake... Read More

Hii bahati mbaya hii haifai kusema Samahani

Hii bahati mbaya hii haifai kusema Samahani

(KIFO NI NIN)
KIFO ni pale unapokosea text na kumtumia

... Read More
Hapo sasa akili itakuja

Hapo sasa akili itakuja

Pale unapo gundua kuwa yule ulie mtukana kwenye bajaji ndio boss anaeenda kukufanyia inte... Read More

Soma alichokisema mlevi baada ya kukuta watu wakimpiga mwizi

Soma alichokisema mlevi baada ya kukuta watu wakimpiga mwizi

Mlevi mmoja aliona wananchi wakipiga mwizi akawaambia "mwacheni msimpige, hii tabia yenu ya kupi... Read More

Mambao ya saluni ni shida, cheki kilichotokea kwa huyu

Mambao ya saluni ni shida, cheki kilichotokea kwa huyu

DADA alienda Salon wakati anasukwa akaingia
MKAKA mtanashati,
DADA akaamua kujaribu bah... Read More

Cheki huyu jamaa anachomfanyia huyu mrembo kanisani

Cheki huyu jamaa anachomfanyia huyu mrembo kanisani

Jamaa kaenda kanisani akakaa karibu na mrembo. Wakati mahubiri yakiendlea jamaa akaanza kuingiza voc... Read More
Angalia hawa wadada walivyoumbuliwa, Huyu kasuku jeuri kweli

Angalia hawa wadada walivyoumbuliwa, Huyu kasuku jeuri kweli

Kasuku alisimama mlango wa kuingia supermarket wakapita wanawake watatu akasema nyeupe, nyekundu, ki... Read More
Kwa nini vitu vunavyoanza na "K" ni vitamu sana?

Kwa nini vitu vunavyoanza na "K" ni vitamu sana?

Zuzu kaniuliza, "Anko, unajua vitu vinavyoanzia na K ni vitamu sana." Nikashtuka, "Astaghafilulah we... Read More
Maajabu ya wananchi wa Tanzania, Je, wajua hili?

Maajabu ya wananchi wa Tanzania, Je, wajua hili?

JE WAJUA TANZANIA NI NCHI PEKEE AMBAYO WATU WANAPOANZA KUCHAT huanza kwa kiingereza 'morning' na... Read More

Jee wajua! Maajabu ya whatsapp..

Jee wajua! Maajabu ya whatsapp..

JE WAJUA?

Je wajua kwamba kuku wa kwenye Whatsapp anamzidi tembo ukubwa? πŸ“πŸ‘‰πŸ½πŸ... Read More

Simu ilivyozua utata

Simu ilivyozua utata

Mama alichukuwa simu akampa mwanawe. Mama..Mpigie babako mwambie chakula tayari. (Mtoto akachukuw... Read More

Cheki huyu jamaa alivyoumbuka akiwa ndani ya dala dala baada ya kupokea simu ya mkewe

Cheki huyu jamaa alivyoumbuka akiwa ndani ya dala dala baada ya kupokea simu ya mkewe

Jamaa kapokea simu kutoka kwa mke wake ndani ya daladala

jamaa: hellow hellow ( jamaa ak... Read More

πŸ“– Explore More Articles
🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About