Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/list.ackyshine.com/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Mke alichomfanyia mme wake kabla ya kwenda safari, Chezea mawaifu walokole wewe!

Featured Image
JAMAA alimuaga mke wake mlokole kuwa anaenda semina ya siku tatu, kumbe anakwenda kwa bi mdogo. Mke akamwambia mumewe; "Tupige magoti tusali", Wakapiga magoti…: MKE: Eee baba msaidie mume wangu afike salama safari yake. MUME: Emen… MKE: Mpe nguvu katika yote atakayoyafanya huko. MUME: Emen… MKE: Akitaka kufanya uasherati ashindwe. MUME: Kimya… MKE: Akifanya uasherati apatwe na janga baya kwa uwezo wako bwana. MUME: …….!! MKE: Yaani akifanya uasherati afie hukohuko kwa mateso makali. MUME: Maombi gani sasa hayo!!?. Haya basi siendi semina ufurahi wewe. Chezea mawaifu walokole wewe!
AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Mercy Atieno (Guest) on March 30, 2017

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Tabitha Okumu (Guest) on March 9, 2017

πŸ˜† Kali sana!

Grace Mushi (Guest) on February 18, 2017

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

Patrick Akech (Guest) on February 13, 2017

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Jane Muthoni (Guest) on February 7, 2017

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

Margaret Mahiga (Guest) on January 10, 2017

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

Mary Sokoine (Guest) on January 8, 2017

😊🀣πŸ”₯

Mwachumu (Guest) on December 30, 2016

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

Nassar (Guest) on December 23, 2016

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

Amina (Guest) on December 7, 2016

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

Alice Mwikali (Guest) on December 7, 2016

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

Isaac Kiptoo (Guest) on October 21, 2016

🀣πŸ”₯😊

Anthony Kariuki (Guest) on October 15, 2016

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

Jacob Kiplangat (Guest) on October 10, 2016

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Hawa (Guest) on October 2, 2016

🀣 Hii imewaka moto!

Sekela (Guest) on September 14, 2016

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

Grace Njuguna (Guest) on August 16, 2016

Hizi jokes ni za kipekee sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Stephen Amollo (Guest) on July 26, 2016

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

Joseph Njoroge (Guest) on July 25, 2016

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

Janet Mwikali (Guest) on July 25, 2016

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Athumani (Guest) on July 20, 2016

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Grace Mushi (Guest) on July 18, 2016

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

Issack (Guest) on July 11, 2016

πŸ˜„ Kali sana!

Nora Kidata (Guest) on June 22, 2016

πŸ˜‚πŸ˜…

Aziza (Guest) on June 17, 2016

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Raha (Guest) on May 20, 2016

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Sharifa (Guest) on May 11, 2016

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Tabitha Okumu (Guest) on May 3, 2016

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

George Ndungu (Guest) on April 23, 2016

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

Alice Wanjiru (Guest) on April 20, 2016

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Asha (Guest) on April 18, 2016

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Michael Mboya (Guest) on April 14, 2016

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Janet Mbithe (Guest) on April 2, 2016

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Elizabeth Mrope (Guest) on January 31, 2016

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Jackson Makori (Guest) on January 30, 2016

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Kenneth Murithi (Guest) on January 12, 2016

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

Andrew Mahiga (Guest) on January 4, 2016

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

Brian Karanja (Guest) on December 22, 2015

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Patrick Kidata (Guest) on November 14, 2015

πŸ˜… Nilihitaji hii!

Yahya (Guest) on October 20, 2015

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Michael Mboya (Guest) on September 26, 2015

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

Francis Njeru (Guest) on September 22, 2015

πŸ€£πŸ˜„πŸ˜Š

Rose Amukowa (Guest) on September 13, 2015

Hii kichekesho inastahili tuzo! πŸ†

Hekima (Guest) on September 12, 2015

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

Stephen Malecela (Guest) on August 10, 2015

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Stephen Mushi (Guest) on August 1, 2015

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

Frank Sokoine (Guest) on July 12, 2015

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

Frank Sokoine (Guest) on June 14, 2015

🀣 Sikutarajia hiyo!

Thomas Mwakalindile (Guest) on May 26, 2015

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

Warda (Guest) on May 21, 2015

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

Vincent Mwangangi (Guest) on May 2, 2015

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

Tabitha Okumu (Guest) on April 30, 2015

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Mazrui (Guest) on April 25, 2015

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Agnes Sumaye (Guest) on April 21, 2015

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

Nassor (Guest) on April 10, 2015

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Mary Kendi (Guest) on April 1, 2015

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Related Posts

Huyu mchaga kazidi sasa, angalia anavyomfanya huyu mbuzi

Huyu mchaga kazidi sasa, angalia anavyomfanya huyu mbuzi

Mchaga alinunua mbuzi akamwambia mpishi Nyama nusu ipike pilau na ingine itie kwenye friza. Kichwa f... Read More
Usichokijua kuhusu sungura, panya na jamii yao

Usichokijua kuhusu sungura, panya na jamii yao

JE WAJUA?

Sungura, panya na Jamii zao huwa na mwendo wa kukimbia na kuruka muda wote na umr... Read More

Duh! Huyu kazidi sasa

Duh! Huyu kazidi sasa

Kuna jamaa kapita hapa kaniuliza et mbona umekunja sura nikamjibu nataka niweke kwenye begiπŸ˜‚π... Read More

Angalia kilichojiri katika semina ya wanandoa kuhusu upendo

Angalia kilichojiri katika semina ya wanandoa kuhusu upendo

Kulikuwa na semina ya wanawake kuhusu namna ya kuishi kwa upendo katika ndoa.
Mwalimu aliwau... Read More

Kama simu yako ina wifi

Kama simu yako ina wifi

Kama simu yako ina Wi-fi ujue uko na mke wa mtuΒ πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ™ŒπŸ... Read More

Angalia alichokifanya huyu sharobaro kanisani

Angalia alichokifanya huyu sharobaro kanisani

Huu usharobaro mwingine uchizi. Jamaa kamzimia demu kanisani, mara ukafika mda wa kutoa sadaka, eti ... Read More
Hii sasa kali kweli kweli! wazazi wanachofanya pale binti yao anapochelewa kuolewa

Hii sasa kali kweli kweli! wazazi wanachofanya pale binti yao anapochelewa kuolewa

Wazazi wengine wanaandikaΒ MBWA​MKALIΒ kwenye geti lao kama binti wao ana mia... Read More

Alichokifanya jamaa baada ya kuokota wallet yenye pesa za kumwaga

Alichokifanya jamaa baada ya kuokota wallet yenye pesa za kumwaga

Jamaa aliokota wallet, alipofika nyumbani akapiga simu kwenye radio station "Naitwa John nimepiga s... Read More
Huyu mwanamke ni noma cheki alichomwambia mme wake baada ya kumnunulia nguo za ndani

Huyu mwanamke ni noma cheki alichomwambia mme wake baada ya kumnunulia nguo za ndani

Mume kaingia duka la nguo na kamnunulia mke wake chupi dazeni moja zote za rangi nyeusi, akaenda ... Read More

Maajabu ya wananchi wa Tanzania, Je, wajua hili?

Maajabu ya wananchi wa Tanzania, Je, wajua hili?

JE WAJUA TANZANIA NI NCHI PEKEE AMBAYO WATU WANAPOANZA KUCHAT huanza kwa kiingereza 'morning' na... Read More

Angalia huyu bibi alichotufanyia kwenye gari

Angalia huyu bibi alichotufanyia kwenye gari

​tulikua kwenye gari kibao ad wengne mlangon likasmimama kituo kimoja kulikua kuna bibi anataka... Read More

Cheki hiki kibabu kulivyowaacha watu hoi wakati mchungaji anafungisha ndoa

Cheki hiki kibabu kulivyowaacha watu hoi wakati mchungaji anafungisha ndoa

Mchungaji Kauliza:Β Yeyote mwenye pingamizi la haki kwa ndoa hii asimame na aje... Read More

πŸ“– Explore More Articles
🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About