Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/list.ackyshine.com/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Kali za leo: Misemo ya kuchekesha na kuvunja mbavu

Featured Image

1. Ati wee ni m-black mpaka ukiingia kwa dinga(gari), dirisha zinakuwa tinted!

2. Kwenu kuchafu mpaka mende zinatema mate.

3. Vile wewe mfupi, ukipiga picha ya passport inatokea full.

4. Ati(house) yenu ina gate lakini hakuna fence.

5. Baba alienda ku buy ngombe akaona ikikojoa akasema sitaki hiyo imetoboka.

6.Wee mblack mpaka ukikutana na mzungu afternoon anakusalimia: Good evening.

7. Mko wengi kwa house mpaka kuna rush hours na kukinyesha kunakuwa na jam.

8. Paka yenu noma mpaka ikishika panya inaomba chumvi, fork na pilipili.

9. We ni mrefu mpaka ukikunywa maziwa inafika kwa tumbo ikiwa mgando.

10.Wewe ni mweusi ukikanyanga makaa unawacha footprint nyeusi.

11. Kwenyu mkikunywa maji mnaitisha toothpick

12. We ni mbishi hadi ulikataa kuzaliwa uchi

13. Kwenu kuna insecurity ikifika usiku hadi geti mnaingiza ndani

14. Kwenu ni wengi sana hadi mmeweka round about ndani.

15. Wewe ni mlafi hadi maji uliyochemshia mayai unayafanya supu.

16. We ni mjinga sana hadi blood test ulifeli.

17. Una chogo refu hadi ukigeuka haraka unaweza kuliona.

18. Una kichwa kikubwa hadi ukiingia kwenye daladala konda anakwambia "abiria usiingie na mizigo, tunaweka juu kwenye carrier

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Monica Nyalandu (Guest) on December 25, 2020

πŸ˜† Kali sana!

Thomas Mwakalindile (Guest) on December 21, 2020

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

John Lissu (Guest) on October 29, 2020

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Catherine Mkumbo (Guest) on October 14, 2020

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

Jane Muthoni (Guest) on October 5, 2020

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Dorothy Majaliwa (Guest) on September 23, 2020

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Raphael Okoth (Guest) on August 31, 2020

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

John Kamande (Guest) on August 9, 2020

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Majid (Guest) on July 28, 2020

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

Samson Mahiga (Guest) on July 24, 2020

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Kassim (Guest) on July 20, 2020

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Mercy Atieno (Guest) on July 4, 2020

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

Jane Muthoni (Guest) on June 29, 2020

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Francis Mtangi (Guest) on June 27, 2020

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Charles Mboje (Guest) on June 12, 2020

πŸ˜‚πŸ˜‚

Nassor (Guest) on June 6, 2020

πŸ˜† Hiyo punchline!

Elizabeth Malima (Guest) on April 15, 2020

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

Moses Kipkemboi (Guest) on April 10, 2020

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Edward Lowassa (Guest) on April 4, 2020

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Agnes Lowassa (Guest) on March 20, 2020

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Monica Nyalandu (Guest) on March 13, 2020

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

Monica Nyalandu (Guest) on February 9, 2020

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

Monica Adhiambo (Guest) on January 25, 2020

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Farida (Guest) on January 25, 2020

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Anna Mchome (Guest) on January 5, 2020

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Ruth Kibona (Guest) on December 31, 2019

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

Victor Kamau (Guest) on December 8, 2019

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

Abdillah (Guest) on November 30, 2019

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

Mary Kendi (Guest) on November 29, 2019

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Richard Mulwa (Guest) on November 16, 2019

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

Peter Tibaijuka (Guest) on November 15, 2019

πŸ˜‚πŸ‘Œ

Joy Wacera (Guest) on November 2, 2019

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

Moses Kipkemboi (Guest) on October 4, 2019

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

Mariam Hassan (Guest) on September 25, 2019

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

David Nyerere (Guest) on August 31, 2019

🀣 Ninaituma sasa hivi!

Esther Nyambura (Guest) on August 24, 2019

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Joseph Njoroge (Guest) on July 9, 2019

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

Peter Mwambui (Guest) on July 8, 2019

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Rose Waithera (Guest) on July 4, 2019

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

Hassan (Guest) on July 1, 2019

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

Patrick Kidata (Guest) on June 4, 2019

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†

Mwanaisha (Guest) on April 1, 2019

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Henry Mollel (Guest) on April 1, 2019

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

Janet Wambura (Guest) on January 21, 2019

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

Grace Njuguna (Guest) on January 14, 2019

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Joyce Nkya (Guest) on January 6, 2019

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Elijah Mutua (Guest) on December 27, 2018

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Diana Mallya (Guest) on December 18, 2018

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

George Mallya (Guest) on November 26, 2018

🀣πŸ”₯😊

Samson Tibaijuka (Guest) on November 19, 2018

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

Joseph Kiwanga (Guest) on October 22, 2018

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

Fatuma (Guest) on September 30, 2018

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Alice Jebet (Guest) on September 26, 2018

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

Chiku (Guest) on September 16, 2018

😁 Hii ni dhahabu!

Khadija (Guest) on September 12, 2018

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

Josephine Nduta (Guest) on September 7, 2018

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Ibrahim (Guest) on August 31, 2018

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

Edith Cherotich (Guest) on August 28, 2018

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Josephine Nduta (Guest) on August 26, 2018

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Mwajabu (Guest) on August 20, 2018

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Related Posts

Lugha za namba ni noma

Lugha za namba ni noma

Leo kuna mdogo wangu nimemtumia meseji nimemuomba aniazime chaja yake ya simu. AkanijibuΒ Read More

Mkwe kazua mpya, Hii dunia ina mambo sana

Mkwe kazua mpya, Hii dunia ina mambo sana

Mama mkwe alimuuliza mkwewe "binti" samahani mbona mtoto hajafanana na mwanangu kabisa?

Bin... Read More

SMS Mafua ndiyo hii

SMS Mafua ndiyo hii

JE UMESHAWAHI KUONA SMS MAFUA?
Cheki hii hapa……..


"Mabo dugu yagu mziba? Bwa... Read More

Angalia huyu msichana alichonifanyia

Angalia huyu msichana alichonifanyia

Kuna siku nilichalala kipesa nikaamua kuomba dem wangu aniazime 10,000/= akanipa.
Baada ya s... Read More

Punguzeni pombe. Cheki kilichompata huyu

Punguzeni pombe. Cheki kilichompata huyu

Jamani punguzeni pombe,kuna jirani yangu amerudi amelewa sasa nachungulia dirishani naona anagong... Read More

Alichofanya mke baada ya mme wake kupenda kumchunga sana

Alichofanya mke baada ya mme wake kupenda kumchunga sana

Alifanya hivi;
Siku ya kwanza

MUME: Halooo vipi mke wangu salama weye... Read More

Angalia huyu mgeni anachokifanya, wageni wengine ni hatari

Angalia huyu mgeni anachokifanya, wageni wengine ni hatari

Hata kama ni Mgeni this is too much. Mwenyeji: Karibu mgeni karibu ukae,utapenda chai au soda? Mgeni... Read More
Wanawake wa leo mbele ya hela. Hii ni hatari

Wanawake wa leo mbele ya hela. Hii ni hatari

MDADA: Baby nikwambie kitu
MKAKA: Yeah Baby Uko huru nambie
MDADA: nilikua naomba hela ... Read More

Biashara ambayo imefeli

Biashara ambayo imefeli

*TEACHER*: _nielezee biashara ambayo imefeli kutokana na uzembe
*STUDENT*: Changudoa akipata... Read More

Angalia hawa kina mama, ni shida..!

Angalia hawa kina mama, ni shida..!

Mama mdaku alishangaa kila siku mchungaji anaingia nyumba ya jirani yake ambaye hana mume, akawa... Read More

Tofauti ya mchaga na mhaya wakipata kazi

Tofauti ya mchaga na mhaya wakipata kazi

Mchaga hata apate kazi bank bado atasema yupoΒ kibaruani.

Acha sasa mha... Read More

Gari na mke nini muhimu?

Gari na mke nini muhimu?

GARI YA MILIONI 50
UNALAZA NJE…
mke wa laki sita
unalala nae ndani….
BANG... Read More

πŸ“– Explore More Articles
🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About