Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/list.ackyshine.com/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Padri Akimbia wakati wa kuungamisha, chanzo ni hiki

Featured Image

Padri alikuwa amekaa katika confession booth kanisani
peke yake.
Mara kukaingia jamaa mmoja akapiga magoti upande wa
pili, akafanya ishara ya msalaba kisha akaanza kuungama
{confess}
"Padri nimekuja kuungama dhambi zangu, leo nimefanya
dhambi kubwa sana."
Padri, "Endelea…"

"Bosi wangu aliniita nyumbani kwake, akaniambia
amegundua nimeiba shilingi millioni 100 kazini. Akasema
nisipozitoa atanipeleka polisi, sa kwa ukweli mi naogopa
kufungwa.
Nikatazama huku na huku nikagundua tuko wawili peke
yetu,nikatoa bastola nikamuua….. Yesu atanisamehe?"

Padri: "Utasamehewa."
"Basi wakati nataka kuondoka nikasikia mlango
unafunguliwa kutazama, Loh! Mke wa bosi, alipoona
kilichotokea akasema anapiga polisi simu.
Kutazama huku na huku nikagundua tuko wawili peke
yetu, nikamuua na yeye pia… Yesu atanisamehe hilo?"
Padri: "Utasamehewa."

Nikatoka nje, nikawasha gari niondoke, lakini mlinzi
akakataa kunifungulia, ati amesikia mlio wa
bastola. Nikaona ataniletea kizuizi huyu.
Nikatazama huku na huku nikagundua tuko wawili peke
yetu, nikamuua….. Yesu atanisamehe?"
Padri:"Utasamehewa."

"Nikajifungulia geti mwenyewe nikaenda
nyumbani, wakati napanga kuja kuungama mtoto wa bosi
akabisha hodi, nikawaza mambo gani tena, akasema alirudi
nyumbani na kukuta yaliyotokea akanionesha diary ya
babake, inayoonesha nilikuwa na appointment naye
wakati nilipomuua. Nikamuuliza nani mwingine anayejua?
Akasema ameanzia kwangu kisha anaenda polisi.

Nikatazama huku na huku nikakuta tuko wawili peke
yetu, nikamuua….. Yesu atanisamehe na hilo?"

Kimyaa….
"Padri yesu atanisamehe?"
kimya….

Jamaa akatazama kwenye confession booth padri
hayupo, lakini kwenye kona moja akaona kabati la nguo
za mapadri linatikisika. Kufungua akaona padri kajificha ndani anatetemeka huku akitokwa na jasho.

Jamaa, "Sasa baba mbona umekimbia?"
Padri kwa taabu akajibu, "Nilitazama huku na huku
nikagundua tuko wawili peke yetu……."

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Rose Kiwanga (Guest) on December 1, 2021

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Elijah Mutua (Guest) on November 24, 2021

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Agnes Lowassa (Guest) on November 18, 2021

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Mwanaidi (Guest) on November 17, 2021

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

Zakia (Guest) on November 10, 2021

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Paul Ndomba (Guest) on November 4, 2021

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

Christopher Oloo (Guest) on November 4, 2021

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Peter Mugendi (Guest) on October 28, 2021

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Peter Tibaijuka (Guest) on September 24, 2021

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Warda (Guest) on September 20, 2021

🀣 Ninaituma sasa hivi!

Sarah Mbise (Guest) on September 18, 2021

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

James Kimani (Guest) on September 12, 2021

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

Majid (Guest) on August 7, 2021

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

Joseph Kawawa (Guest) on July 24, 2021

😊🀣πŸ”₯

Amani (Guest) on July 20, 2021

πŸ˜† Kali sana!

Victor Sokoine (Guest) on June 17, 2021

🀣πŸ”₯😊

Stephen Mushi (Guest) on May 25, 2021

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜ŠπŸ˜†

Dorothy Nkya (Guest) on May 23, 2021

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

George Wanjala (Guest) on May 1, 2021

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Lucy Kimotho (Guest) on April 27, 2021

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Andrew Odhiambo (Guest) on April 22, 2021

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Alice Wanjiru (Guest) on March 19, 2021

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

Alice Mrema (Guest) on March 17, 2021

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

Nora Kidata (Guest) on January 21, 2021

πŸ˜… Bado ninacheka!

Ann Awino (Guest) on January 13, 2021

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

Rose Amukowa (Guest) on January 10, 2021

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Zubeida (Guest) on January 9, 2021

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Vincent Mwangangi (Guest) on January 4, 2021

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

Nyota (Guest) on January 3, 2021

πŸ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

Mgeni (Guest) on December 14, 2020

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Rose Amukowa (Guest) on November 25, 2020

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Tabitha Okumu (Guest) on November 15, 2020

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

Dorothy Mwakalindile (Guest) on October 10, 2020

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

Zubeida (Guest) on September 23, 2020

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Alice Mwikali (Guest) on September 17, 2020

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

Alice Mrema (Guest) on September 16, 2020

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

Diana Mumbua (Guest) on August 30, 2020

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

Joyce Aoko (Guest) on August 9, 2020

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

Grace Njuguna (Guest) on August 6, 2020

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

Victor Kimario (Guest) on August 6, 2020

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Kazija (Guest) on July 12, 2020

πŸ˜… Nilihitaji hii!

Nancy Akumu (Guest) on June 13, 2020

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Raphael Okoth (Guest) on June 12, 2020

Hii kichekesho inastahili tuzo! πŸ†

Rabia (Guest) on May 18, 2020

πŸ˜† Hiyo punchline!

Samuel Omondi (Guest) on May 10, 2020

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Hellen Nduta (Guest) on May 7, 2020

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

Frank Macha (Guest) on May 5, 2020

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Jacob Kiplangat (Guest) on April 11, 2020

Asante Ackyshine

Mchawi (Guest) on April 3, 2020

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Shamim (Guest) on February 21, 2020

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Raphael Okoth (Guest) on February 13, 2020

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

Mwalimu (Guest) on January 19, 2020

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

Chris Okello (Guest) on January 19, 2020

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

Catherine Naliaka (Guest) on December 27, 2019

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Dorothy Majaliwa (Guest) on November 28, 2019

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

Masika (Guest) on November 14, 2019

πŸ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

Binti (Guest) on November 3, 2019

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Vincent Mwangangi (Guest) on October 12, 2019

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

Janet Sumaye (Guest) on September 22, 2019

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Edward Chepkoech (Guest) on September 4, 2019

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

Related Posts

Mambo ya mke na mume haya, chezea mchepuko!?

Mambo ya mke na mume haya, chezea mchepuko!?

Mume akamwambia mke wake:
"Funga macho yako tufanye maombi"
Akaanza k... Read More

Jinsi Mapenzi yanavyoweza kukupa stress

Jinsi Mapenzi yanavyoweza kukupa stress

Mapenzi ni balaa

Mapenzi ujue yanawez kukupa stress adi mama ako akikuuliz what's wrongπŸ€”... Read More

Kilichotokea baada ya mzungu na mbongo kukaa siti moja, bongo wasanii wengi

Kilichotokea baada ya mzungu na mbongo kukaa siti moja, bongo wasanii wengi

Mzungu akamdharau sana Mbongo nakujiona anajua kila kitu duniani!, Akamwambia Mbongo waulizane maswa... Read More
Mbele ya hela binti usharobaro achia mbali

Mbele ya hela binti usharobaro achia mbali

Boy:- hallow
Dem:- hellow
Boy:- ivi jina lako nani vile
Dem:- am miss precious A. ... Read More

Faida 3 za uvutaji wa sigara

Faida 3 za uvutaji wa sigara

Ni hizi

1. Mvuta sigara hazeeki
2. Mvuta sigara haumwi na mbwa
3. Mvuta sigara ny... Read More

Simu ilivyozua utata

Simu ilivyozua utata

Mama alichukuwa simu akampa mwanawe. Mama..Mpigie babako mwambie chakula tayari. (Mtoto akachukuw... Read More

Lugha za namba ni noma

Lugha za namba ni noma

Leo kuna mdogo wangu nimemtumia meseji nimemuomba aniazime chaja yake ya simu. AkanijibuΒ Read More

Duh! Angalia alichokula huyu mwizi! Wizi mwingine bwana!

Duh! Angalia alichokula huyu mwizi! Wizi mwingine bwana!

Baada ya mwizi kuvunja mlango huko Tarime, akaingia kwenye stoo akaona vinyama kwenye bakuli vik... Read More

Kilichotokea baada ya kumdanganya mchungaji wangu

Kilichotokea baada ya kumdanganya mchungaji wangu

Jumapili baada ya kutoka KANISANI, Pastor akaona simu yangu niliyonunua LAKI 5,akaniuliza hiyo s... Read More

Cheki jamaa alivyoumbuka baada ya kuhudhuria semina isiyomuhusu

Cheki jamaa alivyoumbuka baada ya kuhudhuria semina isiyomuhusu

Jamaa kavamia semina ya wasomi iliyokua inafanyika maeneo ya ubungo plaza bas wakaanza kujitambul... Read More

Soma alichojibiwa huyu mzee baada ya kudai kutaka kumsikiliza Nyerere

Soma alichojibiwa huyu mzee baada ya kudai kutaka kumsikiliza Nyerere

Mzee: Dereva ongeza sauti tumsikilize Mwalimu Nyerere!!

Dereva: ungemsikiliza mwalimu wa... Read More

Tabia za Kimama kwa wanaume

Tabia za Kimama kwa wanaume

1, mwanaume kuoga haraka haraka ili uwahi kuangalia igizo, huo ni UMAMA..πŸ˜‚

2, mwanaume k... Read More

πŸ“– Explore More Articles
🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About