Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/list.ackyshine.com/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Darasa lolote lile halikosi watu kama hawa

Featured Image

Darasa lolote lile (hasa vyuoni) lazima liwe na wanafunzi wafuatao:
1. Mrembo wa darasa.
2. Playboy/playgirl. Hawezi kutembea na msichana/mvulana mmoja mara mbili.
3. Group ya marafiki watatu. Kila mara wako pamoja.
4. Mtu mwenye maswali ya kuudhi/kukera.
5. Msongolist kimeo. Huyu huwa anasoma sana bt hana bahati ya kufanya vizuri. Yani msuli tembo, bt matokeo sisimizi.

6. Mlafi. Huyu huwa hakatai offer.
7. Mtoro wa kudumu. Haji darasani hata km hana sababu.
8. Mchelewaji wa kudumu. Anakuja kipindi kiko katikati au kinakaribia kuisha.
9. Miss/Mr.Misifa. kila mara ataeleza the way nyumbani kwao walivyo matajiri.
10. Less talkative bt kiwembe. Jamaa mkimya bt unakuta ametembea na karibu wasichana 15 hapo class.
11. Handsome boy ambaye hana mpango na wanawake.
12.Chips addicted. Hawa wanaweza kula chips asubuhi mchana na jioni. Jumatatu hadi jumatatu.
13. Back benchers. Hawa huwa watundu sana na ni watu wa jokes. Huwa hawajibu swali, but wanasubiri wakati wa kushangilia waongeze bezi.
14. Wambea. Hawapitwi na kitu darasani na washazoea kufeli.
15. Mchungaji/Mtumishi wa Mungu,
16. Waimbaji/Wasanii,
17.Walevi
18.Mabishoo.
19. Team popo. Hawa wewe na hela wasiwe na hela wanakesha club,
20.Mwenye aibu kusimama mbele za watu. Wakati wa Presentation anakimbilia kusimama nyuma ya wenzie,
21. Viherehere. Hawa mara nyingi hutokea kupendwa sana na waalimu.
22. Wanaosoma ili kushindana kwny GPA.
23. Kupe. Huyu boom likitoka atawaganda wenzie hadi ziishe, halafu yeye anaanza kula zake alone.
24. Wise man/woman. Huyu huwa ni mtu anayeaminika na kila mtu darasani. Hutumika sn kushauri pale mambo yanapoenda mrama. Mara nyingi huwa ni mtu mzima.
25.mpenda supu" yeye hata ya nyani atakunywa tu.
26.Fix man. Huyu atakuomba jero, akafuatilie dili la milioni kumi town, kumbe hana hela ya chai.
27. Photocopy machine. Huyu ukimuonesha majibu kwny mtihani anaweza kucopy hadi jina lako.
πŸ’₯Usposema wewe uko namba ngapi mwngine atakusemaπŸ˜œπŸ˜œπŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

John Lissu (Guest) on May 30, 2024

🀣πŸ”₯😊

Rukia (Guest) on May 26, 2024

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

Peter Mugendi (Guest) on April 22, 2024

😊🀣πŸ”₯

Samuel Were (Guest) on April 20, 2024

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Josephine Nekesa (Guest) on March 31, 2024

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Moses Kipkemboi (Guest) on March 22, 2024

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

Joyce Aoko (Guest) on March 12, 2024

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

Simon Kiprono (Guest) on February 24, 2024

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Peter Mugendi (Guest) on February 19, 2024

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Francis Mrope (Guest) on January 28, 2024

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Diana Mallya (Guest) on December 31, 2023

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Janet Sumari (Guest) on November 26, 2023

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Elizabeth Malima (Guest) on November 16, 2023

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Ndoto (Guest) on November 6, 2023

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Violet Mumo (Guest) on November 5, 2023

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

Elizabeth Mtei (Guest) on October 30, 2023

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

Ahmed (Guest) on October 16, 2023

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

Robert Ndunguru (Guest) on October 3, 2023

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

Irene Akoth (Guest) on October 3, 2023

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Nicholas Wanjohi (Guest) on July 23, 2023

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Michael Mboya (Guest) on July 6, 2023

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Monica Adhiambo (Guest) on June 19, 2023

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Stephen Mushi (Guest) on June 14, 2023

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Sarah Achieng (Guest) on June 14, 2023

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Hekima (Guest) on June 2, 2023

🀣 Ninaituma sasa hivi!

Monica Lissu (Guest) on May 21, 2023

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

Sumaya (Guest) on May 16, 2023

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Saidi (Guest) on May 1, 2023

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Mwanahawa (Guest) on May 1, 2023

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Mwalimu (Guest) on April 29, 2023

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

George Mallya (Guest) on April 28, 2023

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Michael Mboya (Guest) on April 17, 2023

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

Francis Mrope (Guest) on April 13, 2023

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

George Ndungu (Guest) on April 5, 2023

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Safiya (Guest) on April 2, 2023

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Jackson Makori (Guest) on March 26, 2023

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Brian Karanja (Guest) on March 21, 2023

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

Joseph Kiwanga (Guest) on March 17, 2023

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Peter Mugendi (Guest) on February 18, 2023

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Andrew Mahiga (Guest) on January 24, 2023

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Esther Nyambura (Guest) on January 17, 2023

πŸ˜‚πŸ‘Œ

Mariam Kawawa (Guest) on December 23, 2022

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Sarah Mbise (Guest) on November 27, 2022

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

Samson Mahiga (Guest) on October 7, 2022

πŸ˜… Bado nacheka!

Frank Sokoine (Guest) on October 7, 2022

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Lucy Wangui (Guest) on October 6, 2022

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Frank Sokoine (Guest) on September 14, 2022

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Shamsa (Guest) on September 11, 2022

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

Fadhila (Guest) on September 6, 2022

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Francis Njeru (Guest) on August 17, 2022

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

Henry Mollel (Guest) on August 9, 2022

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Catherine Mkumbo (Guest) on July 28, 2022

Hii kichekesho inastahili tuzo! πŸ†

Kenneth Murithi (Guest) on July 26, 2022

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

Mashaka (Guest) on June 4, 2022

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

Daniel Obura (Guest) on May 22, 2022

😁 Kicheko bora ya siku!

Joyce Nkya (Guest) on May 5, 2022

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Michael Mboya (Guest) on April 28, 2022

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

Frank Macha (Guest) on April 27, 2022

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

Jacob Kiplangat (Guest) on April 16, 2022

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Henry Mollel (Guest) on April 6, 2022

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Related Posts

Jambo la kufanya kama binti alikuachaga zamani na sahizi anakutaka

Jambo la kufanya kama binti alikuachaga zamani na sahizi anakutaka

Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana

..unaenda kuoga, unakumbuka k... Read More

Huu mchezo hautaki makeup

Huu mchezo hautaki makeup

Mama mwenye nyumba anajipodoa anashinda saloon kujipodoa lakini house girl hata mafuta us... Read More

Angalia kilichotokea baada ya dogo kupewa ada na kuitumia kubeti

Angalia kilichotokea baada ya dogo kupewa ada na kuitumia kubeti

Dogo kampigia simu baba yake;
DOGO: Baba katika zile shilingi laki mbili ulizonipa
nika... Read More

Angalia hawa machizi walichokisema baada ya kuona ndege angani

Angalia hawa machizi walichokisema baada ya kuona ndege angani

Machizi wamekaa sehemu mara ghafla ikapita ndege angani.
Chizi wa kwanza... Read More

Kilichonitokea leo baada ya kuona nungunungu

Kilichonitokea leo baada ya kuona nungunungu

Baada ya kukaa mda mlefu sijamuona nungu'nungu leo nikakuna nae nikajisikia furaha sana,

ni... Read More

Mipango ya mke na mume ya pasaka

Mipango ya mke na mume ya pasaka

Mke: Unampango gani na pasaka hii mmewangu..
Mume: Nitafanya kama yesu..
Mke: Unamaanis... Read More

Nilichokifanya leo

Nilichokifanya leo

Leo nmemlipa konda nauli, akasahau kunishusha kituoni. Na mimi nkakaa KIMYAAA kumkomoa…..

... Read More
Alichokifanya jamaa baada ya kuokota wallet yenye pesa za kumwaga

Alichokifanya jamaa baada ya kuokota wallet yenye pesa za kumwaga

Jamaa aliokota wallet, alipofika nyumbani akapiga simu kwenye radio station "Naitwa John nimepiga s... Read More
Madhara ya kwenda baa na mke ndo kama haya

Madhara ya kwenda baa na mke ndo kama haya

Jamaa alienda Bar na mke wake wa ndoa wakakaa kwenye viti, wakati wanasubiri vinywaji akapita bin... Read More

Maisha ya Pwani ni Shidaaaaah

Maisha ya Pwani ni Shidaaaaah

πŸ˜†πŸ˜† πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Jamaa kagombana na mkewe, akasusa kula🍽🍨 kurudi kazini ka... Read More

Soma hii, kama wewe ndio mzazi wa huyu msichana ungefanyaje?

Soma hii, kama wewe ndio mzazi wa huyu msichana ungefanyaje?

Wewe ni mza... Read More

Tofauti ya mke na mchepuko!!!

Tofauti ya mke na mchepuko!!!

MKE NA MCHEPUKO.

Mke ni kama Tv na Mchepuko ni kama Simu.
Nyumbani unaangalia Tv lakin... Read More

πŸ“– Explore More Articles