Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/list.ackyshine.com/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Majitoleo kwa Bikira Maria

Featured Image

(Sala iliyotungwa na Mtk. Aloisi)
Bibi yangu mtukufu Maria, nakuwekea amana ya roho yangu na mwili wangu, nikikuomba uipokee amana yangu, kuitunzia ulinzi mwema ulinzi bora, ninakuaminia na kila neno langu, matumaini na kitulizo na kisongo chote, na masumbuko na uzima na ukomo wa uzima wangu: nitakayo ndiyo unifanyizie kwa maombezi na stahili zako, ili mambo yangu yote yapate kuongoka, yakiwa na kufuata mapenzi yako, pamoja na mapenzi ya Mwanao. Amina.

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Moses Mwita (Guest) on March 20, 2017

πŸ™πŸ’– Mungu wetu asifiwe

Anna Mahiga (Guest) on February 20, 2017

Mungu ana mpango kwa ajili yako, muamini

Jackson Makori (Guest) on February 15, 2017

πŸ™βœ¨β€οΈ Neema za Mungu zikufunike

Monica Adhiambo (Guest) on February 14, 2017

Wacha imani yako iwe kubwa kuliko hofu yako

Stephen Malecela (Guest) on January 27, 2017

Rehema hushinda hukumu

Mary Kendi (Guest) on November 3, 2016

Endelea kuwa na imani!

Sharon Kibiru (Guest) on September 11, 2016

πŸ™πŸŒŸ Neema za Mungu zisikose

Agnes Sumaye (Guest) on August 27, 2016

Wakati wa Mungu ni kamilifu

Michael Mboya (Guest) on June 15, 2016

Bwana yuko karibu na wote wanaomwita

Elizabeth Mrope (Guest) on June 3, 2016

Upendo wa Mungu na rehema zake havikosei kamwe

Mary Mrope (Guest) on April 22, 2016

Nguvu hutoka kwa Bwana

Wilson Ombati (Guest) on April 12, 2016

Sifa kwa Bwana!

Leila (Guest) on April 1, 2016

πŸ™πŸ™πŸ™

Isaac Kiptoo (Guest) on March 15, 2016

Mwamini Bwana kwa moyo wako wote, na usitegemee ufahamu wako mwenyewe

Grace Mushi (Guest) on March 4, 2016

πŸ™βœ¨ Mungu atupe nguvu

James Kawawa (Guest) on February 19, 2016

Dumu katika Bwana.

George Tenga (Guest) on February 13, 2016

Neema ya Mungu inatosha kwako

Raphael Okoth (Guest) on January 4, 2016

Amina

George Wanjala (Guest) on December 1, 2015

πŸ™βœ¨πŸ’– Mungu atajibu maombi yako

Joseph Kiwanga (Guest) on October 6, 2015

Wacha nuru yako iangaze mbele ya wengine

Joseph Mallya (Guest) on April 14, 2015

πŸ™βœ¨ Mungu atakuinua

Daniel Obura (Guest) on April 13, 2015

πŸ™πŸŒŸ Mbarikiwe sana

Joyce Mussa (Guest) on April 10, 2015

Tumaini ni nanga ya roho

Related Posts

Rozari ya Malaika Mkuu Mikaeli

Rozari ya Malaika Mkuu Mikaeli

Rozari ya Malaika Mkuu Mikaeli ni sala nzuri sana ya kumheshimu huyu Malaika Mkuu pamoja na makun... Read More

SALA MBELE YA SAKRAMENTI KUU I

SALA MBELE YA SAKRAMENTI KUU I

Utukuzwe ee Bwana wangu Yesu Kristo./ Uliagua kifo chako./ Katika karamu ya mwisho ulitumia mkate... Read More

LITANIA YA BIKIRA MARIA MAMA WA MATESO

LITANIA YA BIKIRA MARIA MAMA WA MATESO

Bwana utuhurumie Bwana utuhurumie
Kristo utuhurumie Bwana utuhurumie
Bwana utuhurumie B... Read More

LITANIA YA KUWAOMBEA MAPADRE WOTE 1

LITANIA YA KUWAOMBEA MAPADRE WOTE 1

Kwa ajili ya Baba Mtakatifu wetu ..(N); Bwana, umpe moyo wako wa uchungaji ... Read More

SALA YA UHAI KWA MT. YOSEFU

SALA YA UHAI KWA MT. YOSEFU

(Sala hii inafaa sana kwa ajili ya kutetea uhai wa watoto wachanga wakiwa tumboni mwa mama za... Read More

Sala fupi ya Asubuhi

Sala fupi ya Asubuhi

Tuusifu Utatu Mtakatifu wa Mungu Mwenyezi, Baba, Mwana na Roho Mtakatifu, milele na milele, Amina... Read More

Sala kwa wenye kuzimia

Sala kwa wenye kuzimia

Ee Yesu mwenye huruma, mpenda roho za watu, nakuomba kwa ajili ya kuzimia kwa Moyo wako Mtakatifu... Read More

Sala ya Asubuhi ya kila siku

Sala ya Asubuhi ya kila siku

Kwa jina la Baba….. Ee Baba yetu Mungu mkuu,umenilinda usiku huu. Nakushukuru kwa moyo, ee Baba,M... Read More
Matendo ya Rozari Takatifu: Mchanganuo kwa siku zote za Saba za Juma

Matendo ya Rozari Takatifu: Mchanganuo kwa siku zote za Saba za Juma

MATENDO YA FURAHA (Jumatatu na Jumamosi)