Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/list.ackyshine.com/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Majitoleo ya asubuhi kwa Bikira Maria

Featured Image

Ee Yesu, kupitia mikono safi ya Bikira Maria, na kwa maungano na sadaka yako kuu, ninakutolea sala, matendo, kazi, masumbuko, na furaha zangu zote za siku hii ya leo, kwa ajili ya nia za Moyo wako Mtakatifu, Ee Yesu ufalme wako utufikie!

Baba Yetu….
Salamu Maria, …..
Nasadiki …….
Amri za Mungu ……
Amri za Kanisa ……

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

John Mwangi (Guest) on January 11, 2018

Rehema hushinda hukumu

Nora Lowassa (Guest) on November 7, 2017

Bwana yuko karibu na wote wanaomwita

John Malisa (Guest) on September 8, 2017

Baraka kwako na familia yako.

Lucy Mushi (Guest) on July 20, 2017

πŸ™β€οΈβœ¨ Mungu akujalie furaha

Patrick Kidata (Guest) on April 21, 2017

πŸ™πŸŒŸβ€οΈ Nakuombea heri

Sharon Kibiru (Guest) on April 18, 2017

Wacha imani yako iwe kubwa kuliko hofu yako

Stephen Kangethe (Guest) on March 3, 2017

Imani inakua imara zaidi wakati wa majaribu

Grace Wairimu (Guest) on February 12, 2017

πŸ™πŸ’–πŸ’« Mungu ni mwema

Edith Cherotich (Guest) on December 11, 2016

πŸ™β€οΈ Mungu ni mkombozi

Peter Mwambui (Guest) on November 24, 2016

πŸ™βœ¨πŸ’– Mungu atajibu maombi yako

Catherine Naliaka (Guest) on November 16, 2016

Rehema zake hudumu milele

Simon Kiprono (Guest) on November 9, 2016

Mungu ana mpango kwa ajili yako, muamini

Lucy Mahiga (Guest) on October 14, 2016

Kwa Mungu, yote yanawezekana

Nicholas Wanjohi (Guest) on September 28, 2016

Mwamini katika mpango wake.

Susan Wangari (Guest) on June 5, 2016

Kupitia Kristo, tunapokea rehema za Mungu kwa wingi

Robert Okello (Guest) on April 27, 2016

Katika udhaifu wetu, rehema za Mungu zinatupa nguvu

Jane Malecela (Guest) on April 1, 2016

Wacha nuru yako iangaze mbele ya wengine

Tabitha Okumu (Guest) on March 31, 2016

πŸ™πŸŒŸ Mungu alete amani

John Mushi (Guest) on December 24, 2015

Rehema za Mungu ni kubwa kuliko kosa lolote

Edith Cherotich (Guest) on November 14, 2015

Katika uwepo wake, kuna ukamilifu wa furaha

Francis Njeru (Guest) on November 2, 2015

Kuna tumaini kwa ajili ya siku zijazo, maana Mungu anajua mipango aliyokupangia

Nora Lowassa (Guest) on June 1, 2015

Katika giza, nuru yake inaangaza zaidi

Martin Otieno (Guest) on May 18, 2015

πŸ™β€οΈβœ¨ Asante Mungu kwa kila kitu

Related Posts

SALA MUHIMU ZA MKRISTO ZA KILA SIKU ASUBUHI

SALA MUHIMU ZA MKRISTO ZA KILA SIKU ASUBUHI

SALA YA ASUBUHI

Tuusifu Utatu Mtakatifu wa Mungu Mwenyezi, Baba, Mwana na Roho Mtakatifu,... Read More

ROZARI YA MATESO SABA YA BIKIRA MARIA

ROZARI YA MATESO SABA YA BIKIRA MARIA

Tumia Rozari ya Mateso Saba ya Bikira Maria iliyo na mafungu 7 yaani mateso 7 yenye Salamu Maria... Read More

LITANIA YA BIKIRA MARIA MAMA WA MATESO

LITANIA YA BIKIRA MARIA MAMA WA MATESO

Bwana utuhurumie Bwana utuhurumie
Kristo utuhurumie Bwana utuhurumie
Bwana utuhurumie B... Read More

ATUKUZWE BABA

ATUKUZWE BABA

Atukuzwe Baba
na Mwana
na Roho Mtakatifu
Kama mwanzo
na sasa,
na siku zo... Read More

SALA YA KUMWOMBA MTAKATIFU TERESIA WA MTOTO YESU

SALA YA KUMWOMBA MTAKATIFU TERESIA WA MTOTO YESU

Ee Mtakatifu Teresia wa mtoto Yesu, ulistahili kuitwa Msimamizi wa misioni katoliki za dunia yote... Read More

SALA KWA MT. YOSEFU KWA WASIO NA AJIRA WAPATE AJIRA

SALA KWA MT. YOSEFU KWA WASIO NA AJIRA WAPATE AJIRA

Ee Mt. Yosefu, tunakuomba kwa ajili ya wale asio na ajira, kwa ajili ya wale wanaotaka kujipatia ... Read More

SALA KWA MAMA WA UCHUNGU KUOMBA NEEMA YA PEKEE

SALA KWA MAMA WA UCHUNGU KUOMBA NEEMA YA PEKEE

Ee Mama mbarikiwa na Bikira mwenye uchungu, Malkia wa Mashahidi, uliyesimama chini ya msalaba na ... Read More

Novena ya Noeli

Novena ya Noeli

Novena ya Noeli (maarufu kama novena ya Mt. Andrea)

Husaliwa kuanzia tar 30 Nov hadi usiku ... Read More

LITANIA YA KUWAOMBEA MAPADRE WOTE 1

LITANIA YA KUWAOMBEA MAPADRE WOTE 1

Kwa ajili ya Baba Mtakatifu wetu ..(N); Bwana, umpe moyo wako wa uchungaji ... Read More

Majitoleo kwa Bikira Maria

Majitoleo kwa Bikira Maria

(Sala iliyotungwa na Mtk. Aloisi)
Bibi yangu mtukufu Maria, nakuwekea amana ya roho yangu na... Read More

SALA KWA MTAKATIFU MIKAELI MALAIKA MKUU

SALA KWA MTAKATIFU MIKAELI MALAIKA MKUU

Mtakatifu Mikaeli Malaika Mkuu, utulinde katika vita, uwe kinga yetu katika maovu na maoteo ya sh... Read More

SALA KWA MTAKATIFU YUDA TADEI

SALA KWA MTAKATIFU YUDA TADEI

Mtakatifu Yuda Tadei,/ Mtume Mtakatifu,/ mtumishi mwaminifu na rafiki wa Yes... Read More

πŸ“– Explore More Articles
🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About