Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/list.ackyshine.com/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

SALA KWA BIKIRA MARIA KATIKA UKIWA WAKE

Featured Image

Nakusikitikia sana Mama Mtakatifu Maria kwa sababu ya ukiwa wako mkuu. Uchungu wako ulikuwa mkubwa sana ulipotazama mateso na kifo cha Mwana wako mpenzi. Muda ule uliweza kutuliz kidogo kwa sababu ya kumwona angali hai. Lakini je, baada ya kufa na kumzika? Sasa wewe ni mkiwa mkubwa mno! Uh, ukiwa wa pekee, uniombee mimi ninayempoteza mara nyingi kwa dhambi zangu. Unijalie nisimpoteze tena Yesu wangu kwa ubaya wa uvivu wangu, bali nimtumikie kiaminifu duniani hapa ili nimwone na kumfurahia milele mbinguni. Amina.

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Rose Amukowa (Guest) on November 19, 2017

πŸ™πŸŒŸβ€οΈ Nakuombea heri

Dorothy Nkya (Guest) on November 16, 2017

Rehema zake ni ukumbusho wa daima wa upendo wake

David Chacha (Guest) on November 4, 2017

Katika udhaifu wetu, rehema za Mungu zinatupa nguvu

David Nyerere (Guest) on October 7, 2017

πŸ™β€οΈ Mungu ni mkombozi

Charles Wafula (Guest) on October 7, 2017

πŸ™β€οΈ Mungu ni mwaminifu

Tabitha Okumu (Guest) on September 24, 2017

πŸ™βœ¨ Mungu asikie maombi yetu

Edith Cherotich (Guest) on September 2, 2017

Amina

Lydia Mahiga (Guest) on August 26, 2017

πŸ™βœ¨ Mungu atupe nguvu

George Mallya (Guest) on August 5, 2017

Katika giza, nuru yake inaangaza zaidi

Vincent Mwangangi (Guest) on May 10, 2017

Hadithi yako haijaisha; Mungu bado anaandika

Elijah Mutua (Guest) on May 1, 2017

Neema ya Mungu inatosha kwako

Ruth Wanjiku (Guest) on March 29, 2017

Mwamini katika mpango wake.

Elizabeth Mrema (Guest) on March 22, 2017

Tembea kwa imani, si kwa kuona

Monica Adhiambo (Guest) on March 6, 2017

Katika imani, yote yanawezekana

Frank Sokoine (Guest) on March 5, 2017

Kuna tumaini kwa ajili ya siku zijazo, maana Mungu anajua mipango aliyokupangia

Linda Karimi (Guest) on December 13, 2016

Wacha nuru yako iangaze mbele ya wengine

Nora Lowassa (Guest) on December 7, 2016

πŸ™β€οΈπŸ’– Tumshukuru Mungu kwa yote

Brian Karanja (Guest) on September 16, 2016

πŸ™β€οΈπŸ’– Bwana akujalie baraka

Charles Wafula (Guest) on July 19, 2016

πŸ™πŸ’– Asante kwa neema zako Mungu

Lucy Kimotho (Guest) on May 31, 2016

Katika uwepo wake, kuna ukamilifu wa furaha

Moses Mwita (Guest) on January 25, 2016

Wakati wa Mungu ni kamilifu

Peter Tibaijuka (Guest) on August 18, 2015

Katika rehema zake, Mungu husamehe na kurejesha

Anna Mahiga (Guest) on April 6, 2015

Kupitia Kristo, tunapokea rehema za Mungu kwa wingi

Related Posts

ROSARI YA BIKIRA MARIA MAMA WA MSAADA WA DAIMA

ROSARI YA BIKIRA MARIA MAMA WA MSAADA WA DAIMA

Namna ya kusali Rozari kwa Bikira Maria Mama wa Msaada wa Daima

(Tumia rosari ya kawaida... Read More

SALA YA JIONI

SALA YA JIONI

TUNAKUSHUKURU, EE MUNGU KWA MAPAJI YOTE ULIYOTUJALIA LEO AMINA


BABA YETU…………β... Read More

SALA YA KUMWOMBA MT. YOSEFU MSAADA (SALA KUU KWA MTAKATIFU YOSEFU)

SALA YA KUMWOMBA MT. YOSEFU MSAADA (SALA KUU KWA MTAKATIFU YOSEFU)

Ee Mt. Yosefu mwenye heri, tunakimbilia kwako katika masumbuko yetu, na kisha omba shime ya Mchum... Read More

Kanuni ya imani

Kanuni ya imani

Nasadiki kwa Mungu, Baba Mwenyezi,/ mwumba mbingu na dunia./ Na kwa Yesu Kristu, Mwanaye wa pekee... Read More

SALA MBELE YA SAKRAMENTI KUU II

SALA MBELE YA SAKRAMENTI KUU II

Yesu, Mungu wangu mpenzi,/ upo hapa katika Altare mbele yangu;/ na mimi napiga magoti mbele yako.... Read More

ROZARI, MATENDO NA LITANI YA MAMA BIKIRA MARIA

ROZARI, MATENDO NA LITANI YA MAMA BIKIRA MARIA

Read More
SALA KWA MTAKATIFU YUDA TADEI

SALA KWA MTAKATIFU YUDA TADEI

Mtakatifu Yuda Tadei,/ Mtume Mtakatifu,/ mtumishi mwaminifu na rafiki wa Yes... Read More

Sala za kuheshimu Damu Takatifu ya Yesu

Sala za kuheshimu Damu Takatifu ya Yesu

Tusali kila siku sala hizi, angalau kwa mwezi wa saba (Julai) kila mwaka, mwezi wa kuhesh... Read More

SALA MUHIMU ZA MKRISTO ZA KILA SIKU ASUBUHI

SALA MUHIMU ZA MKRISTO ZA KILA SIKU ASUBUHI

SALA YA ASUBUHI

Tuusifu Utatu Mtakatifu wa Mungu Mwenyezi, Baba, Mwana na Roho Mtakatifu,... Read More

SALA KWA MT. YOSEFU KWA WASIO NA AJIRA WAPATE AJIRA

SALA KWA MT. YOSEFU KWA WASIO NA AJIRA WAPATE AJIRA

Ee Mt. Yosefu, tunakuomba kwa ajili ya wale asio na ajira, kwa ajili ya wale wanaotaka kujipatia ... Read More

Sala kwa wenye kuzimia

Sala kwa wenye kuzimia

Ee Yesu mwenye huruma, mpenda roho za watu, nakuomba kwa ajili ya kuzimia kwa Moyo wako Mtakatifu... Read More

Novena ya Noeli

Novena ya Noeli

Novena ya Noeli (maarufu kama novena ya Mt. Andrea)

Husaliwa kuanzia tar 30 Nov hadi usiku ... Read More

πŸ“– Explore More Articles
🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About