Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/list.ackyshine.com/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Kumbuka ee Bikira Mwenye Rehema

Featured Image

KUMBUKA

Kumbuka ee Bikira mwenye rehema, haijasikika kamwe kwamba ulimwacha mtu aliyekimbilia ulinzi wako, akiomba msaada wako, akitaka umwombe.

Nami kwa matumaini hayo, nakukimbilia ee mama, mkuu wa mabikira, ninakuja kwako, ninasimama mbele yako,Β  nikilalamika mimi mkosefu ewe mama wa neno la mungu, usiyakatae maneno yangu, mbali uyasikilize kwa wema na unitimizie Amina.

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

David Ochieng (Guest) on June 25, 2024

Wacha nuru yako iangaze mbele ya wengine

James Malima (Guest) on June 22, 2024

Mungu akubariki!

Josephine Nduta (Guest) on May 20, 2024

πŸ™β€οΈπŸŒŸ Asante Mungu kwa uhai

Irene Makena (Guest) on March 9, 2024

πŸ™πŸ™πŸ™

John Malisa (Guest) on March 3, 2024

πŸ™πŸ’–πŸ™ Mungu akufunike na upendo

George Ndungu (Guest) on February 20, 2024

πŸ™β€οΈ Mungu akubariki

Rose Mwinuka (Guest) on January 11, 2024

Hadithi yako haijaisha; Mungu bado anaandika

Daniel Obura (Guest) on January 8, 2024

πŸ™βœ¨β€οΈ Neema za Mungu zikufunike

John Mwangi (Guest) on October 31, 2023

Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi

Margaret Anyango (Guest) on August 20, 2023

πŸ™πŸŒŸ Mungu alete amani

Betty Akinyi (Guest) on August 14, 2023

Rehema hushinda hukumu

Nora Lowassa (Guest) on July 7, 2023

πŸ™πŸ’–πŸ’« Mungu ni mwema

Anthony Kariuki (Guest) on June 26, 2023

πŸ™βœ¨ Mungu atakuinua

Anna Kibwana (Guest) on June 25, 2023

πŸ™βœ¨ Mungu asikie maombi yetu

Joseph Njoroge (Guest) on June 17, 2023

πŸ™πŸ’–βœ¨ Neema yako ni ya kutosha

Francis Njeru (Guest) on June 12, 2023

Rehema za Mungu ni kubwa kuliko kosa lolote

David Kawawa (Guest) on March 31, 2023

πŸ™β€οΈ Mungu ni mwaminifu

Lucy Kimotho (Guest) on December 24, 2022

πŸ™β€οΈβœ¨ Mungu akujalie furaha

Ruth Mtangi (Guest) on November 19, 2022

Kuna tumaini kwa ajili ya siku zijazo, maana Mungu anajua mipango aliyokupangia

Betty Akinyi (Guest) on October 2, 2022

Rehema zake hudumu milele

Charles Mrope (Guest) on August 2, 2022

Amina

Elizabeth Malima (Guest) on July 30, 2022

Hauko peke yako; Mungu yuko nawe

Jackson Makori (Guest) on June 11, 2022

Katika uwepo wake, kuna ukamilifu wa furaha

James Malima (Guest) on June 4, 2022

Upendo wa Mungu na rehema zake havikosei kamwe

Alex Nyamweya (Guest) on April 13, 2022

Imani ni kuwa na uhakika wa kile tunachotarajia na kujua kwa hakika kile ambacho hatuoni

Benjamin Masanja (Guest) on February 24, 2022

Katika rehema zake, Mungu husamehe na kurejesha

Philip Nyaga (Guest) on November 20, 2021

Rehema zake ni ukumbusho wa daima wa upendo wake

Betty Cheruiyot (Guest) on October 22, 2021

Tumeokolewa kwa rehema zake, si kwa matendo yetu

Grace Minja (Guest) on October 20, 2021

Endelea kuwa na imani!

Elizabeth Mrope (Guest) on July 25, 2021

πŸ™πŸ’– Nakusihi Mungu

Moses Kipkemboi (Guest) on July 24, 2021

πŸ™β€οΈπŸ’– Bwana akujalie baraka

Rose Amukowa (Guest) on May 13, 2021

πŸ™πŸ’– Nakushukuru Mungu

Ann Wambui (Guest) on April 24, 2021

Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi

Grace Njuguna (Guest) on April 18, 2021

Mungu ana mpango kwa ajili yako, muamini

Miriam Mchome (Guest) on April 12, 2021

Neema ya Mungu inatosha kwako

Joseph Mallya (Guest) on January 16, 2021

Kupitia Kristo, tunapokea rehema za Mungu kwa wingi

Ruth Wanjiku (Guest) on January 3, 2021

πŸ™πŸŒŸβ€οΈ Nakuombea heri

Dorothy Majaliwa (Guest) on August 13, 2020

πŸ™β€οΈπŸ’– Baraka za Mungu ziwe nawe

Anna Mchome (Guest) on April 30, 2020

Neema na amani iwe nawe.

Monica Lissu (Guest) on April 24, 2020

Mungu ana kusudi hata katika maumivu yako

Anna Sumari (Guest) on April 9, 2020

πŸ™πŸŒŸ Mungu akujalie amani

Irene Makena (Guest) on December 23, 2019

Dumu katika Bwana.

Victor Mwalimu (Guest) on December 8, 2019

Katika udhaifu wetu, rehema za Mungu zinatupa nguvu

Vincent Mwangangi (Guest) on December 3, 2019

πŸ™β€οΈ Mungu ni mlinzi wetu

Simon Kiprono (Guest) on November 30, 2019

Kwa Mungu, yote yanawezekana

Andrew Mahiga (Guest) on October 6, 2019

Mwamini Bwana; anajua njia

Nancy Komba (Guest) on August 14, 2019

Hata chembe ya haradali ya imani inaweza kusogeza milima

Violet Mumo (Guest) on August 11, 2019

Nakuombea πŸ™

Stephen Amollo (Guest) on June 29, 2019

πŸ™βœ¨β€οΈ Tumwombe Mungu kila siku

Alice Jebet (Guest) on June 7, 2019

πŸ™πŸ’– Asante kwa neema zako Mungu

Andrew Mahiga (Guest) on March 14, 2019

πŸ™β€οΈβœ¨ Asante Mungu kwa kila kitu

Nora Lowassa (Guest) on March 6, 2019

Katika imani, yote yanawezekana

Peter Mwambui (Guest) on December 16, 2018

Imani inakua imara zaidi wakati wa majaribu

Violet Mumo (Guest) on November 8, 2018

Mwamini katika mpango wake.

Edward Chepkoech (Guest) on August 6, 2018

Ahadi za Mungu ni za kweli daima

Paul Ndomba (Guest) on April 8, 2018

Mungu ni mwema, wakati wote!

John Kamande (Guest) on February 24, 2018

Katika giza, nuru yake inaangaza zaidi

Joseph Kitine (Guest) on December 25, 2017

Wacha imani yako iwe kubwa kuliko hofu yako

Carol Nyakio (Guest) on October 23, 2017

Baraka kwako na familia yako.

Monica Adhiambo (Guest) on October 17, 2017

πŸ™πŸŒŸ Namuomba Mungu akupiganie

Related Posts

Majitoleo ya asubuhi kwa Bikira Maria

Majitoleo ya asubuhi kwa Bikira Maria

Ee Yesu, kupitia mikono safi ya Bikira Maria, na kwa maungano na sadaka yako kuu, ninakutolea sal... Read More

LITANIA YA KUWAOMBEA MAPADRE WOTE 1

LITANIA YA KUWAOMBEA MAPADRE WOTE 1

Kwa ajili ya Baba Mtakatifu wetu ..(N); Bwana, umpe moyo wako wa uchungaji ... Read More

SALA KWA BIKIRA MARIA KATIKA UKIWA WAKE

SALA KWA BIKIRA MARIA KATIKA UKIWA WAKE

Nakusikitikia sana Mama Mtakatifu Maria kwa sababu ya ukiwa wako mkuu. Uchungu wako ulikuwa mkubw... Read More

Kanuni ya imani

Kanuni ya imani

Nasadiki kwa Mungu, Baba Mwenyezi,/ mwumba mbingu na dunia./ Na kwa Yesu Kristu, Mwanaye wa pekee... Read More

LITANIA YA MOYO MTAKATIFU WA YESU

LITANIA YA MOYO MTAKATIFU WA YESU

Bwana utuhurumie Bwana utuhurumie
Kristo utuhurumie Kristo utuhurumie
Bwana utuhurumie ... Read More

SALA YA KUMWABUDU BWANA YESU KATIKA SAKRAMENTI TAKATIFU

SALA YA KUMWABUDU BWANA YESU KATIKA SAKRAMENTI TAKATIFU

Ee Yesu Kristu,/ Bwana wangu na Mungu wangu/ ambaye ninasadiki kuwa upo hapa/ katika Sakramenti T... Read More

Sala ya Asubuhi ya kila siku

Sala ya Asubuhi ya kila siku

Kwa jina la Baba….. Ee Baba yetu Mungu mkuu,umenilinda usiku huu. Nakushukuru kwa moyo, ee Baba,M... Read More
SALA YA BWANA: SALA YA BABA YETU

SALA YA BWANA: SALA YA BABA YETU

Baba yetu uliye mbinguni
Jina lako litukuzwe
Ufalme wako ufike
Utakalo lifanyikeRead More

Sala za kuheshimu Damu Takatifu ya Yesu

Sala za kuheshimu Damu Takatifu ya Yesu

Tusali kila siku sala hizi, angalau kwa mwezi wa saba (Julai) kila mwaka, mwezi wa kuhesh... Read More

Novena ya Siku tisa kwa Mtakatifu Agustino wa Hippo: Sala zote na Litania

Novena ya Siku tisa kwa Mtakatifu Agustino wa Hippo: Sala zote na Litania

Anza Novena hii tarehe 19 Agosti ili kumalizia tarehe 27 Agosti na kush... Read More

SALA YA MTAKATIFU INYASI

SALA YA MTAKATIFU INYASI

Roho ya Kristo unitakase
Mwili wa Kristo uniokoe
Damu ya Kristo unifurahishe
Maji ... Read More

SALA YA MAOMBI KWA MOYO MTAKATIFU WA YESU

SALA YA MAOMBI KWA MOYO MTAKATIFU WA YESU

Ee Moyo Mtakatifu wa Yesu, ninakukimbilia, ninakuja kwako katika mikono yako yenye huruma. Ndiwe ... Read More

πŸ“– Explore More Articles