Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/list.ackyshine.com/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Mume alichomjibu mchepuko wa mke wake

Featured Image

😎 Jamaa kamuaga mkewe anaenda semina Songea kwa wiki nzima kumbe kahamia kwa demu nyumba ya pili toka kwake. Siku ya 1 kalala asubuhi alipoamka kachungulia kwake kukoje,

Si kamuona jamaa yuko nje ya nyumba yake kavaa taulo lake anapiga mswaki. Akapiga kelele, 'We nani?', Jamaa akajibu, 'Mshikaji mambo ya mjini, mume wa huyu demu kasafiri kaenda Songea mi ndo najivinjari hapa'. Mume kajibu kwa uchungu, Shenzi mkubwa, ngoja nirudi toka Songea nakuua.πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†

*Mniache mimi sipendi Ujinga Ujinga πŸƒοΏ½πŸƒοΏ½πŸƒοΏ½πŸƒ

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Grace Wairimu (Guest) on June 17, 2022

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Joseph Kawawa (Guest) on June 2, 2022

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

Janet Sumari (Guest) on April 4, 2022

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Zainab (Guest) on March 14, 2022

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Samson Mahiga (Guest) on March 1, 2022

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Ann Awino (Guest) on February 25, 2022

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

Henry Sokoine (Guest) on February 23, 2022

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Umi (Guest) on January 20, 2022

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Mwakisu (Guest) on December 19, 2021

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Rose Kiwanga (Guest) on December 14, 2021

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

Raha (Guest) on December 6, 2021

🀣 Hii imewaka moto!

Samuel Were (Guest) on December 5, 2021

Hii kichekesho inastahili tuzo! πŸ†

George Ndungu (Guest) on December 3, 2021

Asante Ackyshine

Omari (Guest) on November 28, 2021

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

Grace Mushi (Guest) on October 15, 2021

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Mary Sokoine (Guest) on September 16, 2021

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

Athumani (Guest) on August 6, 2021

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

Margaret Anyango (Guest) on July 24, 2021

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Victor Kamau (Guest) on June 20, 2021

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

Grace Minja (Guest) on May 24, 2021

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Nicholas Wanjohi (Guest) on May 11, 2021

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

Ahmed (Guest) on April 23, 2021

πŸ˜† Bado nacheka!

Anna Mchome (Guest) on March 31, 2021

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

Nancy Kawawa (Guest) on March 18, 2021

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

Wande (Guest) on January 29, 2021

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Samuel Omondi (Guest) on January 20, 2021

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

Chris Okello (Guest) on January 17, 2021

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Michael Onyango (Guest) on January 11, 2021

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Patrick Mutua (Guest) on January 4, 2021

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

Mariam Kawawa (Guest) on December 28, 2020

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Chiku (Guest) on December 15, 2020

πŸ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

Mwanais (Guest) on November 30, 2020

πŸ˜… Bado ninacheka!

Jacob Kiplangat (Guest) on November 25, 2020

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Esther Nyambura (Guest) on November 23, 2020

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Mchawi (Guest) on October 20, 2020

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

Mariam Hassan (Guest) on September 22, 2020

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

Nora Lowassa (Guest) on August 22, 2020

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

James Malima (Guest) on July 29, 2020

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Joyce Aoko (Guest) on May 6, 2020

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Elijah Mutua (Guest) on May 4, 2020

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Rehema (Guest) on May 4, 2020

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Daudi (Guest) on April 27, 2020

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Martin Otieno (Guest) on April 18, 2020

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Ruth Kibona (Guest) on April 6, 2020

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

Thomas Mwakalindile (Guest) on March 30, 2020

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Esther Nyambura (Guest) on March 17, 2020

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Elijah Mutua (Guest) on February 13, 2020

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Jabir (Guest) on January 23, 2020

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Isaac Kiptoo (Guest) on December 1, 2019

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

Sharon Kibiru (Guest) on November 25, 2019

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

David Musyoka (Guest) on November 21, 2019

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

Francis Mtangi (Guest) on November 19, 2019

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Joyce Aoko (Guest) on November 9, 2019

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

Mary Kendi (Guest) on November 6, 2019

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ˜†

Grace Wairimu (Guest) on November 3, 2019

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Rose Waithera (Guest) on October 28, 2019

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Janet Wambura (Guest) on October 7, 2019

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Mtumwa (Guest) on September 18, 2019

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Sumaya (Guest) on September 5, 2019

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

Stephen Amollo (Guest) on August 1, 2019

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Related Posts

BREAKING NEWS: WAZIRI ANASWA KOFI

BREAKING NEWS: WAZIRI ANASWA KOFI

Mkazi wa Mbagala Kibondemaji, Waziri Salum (23) amejikuta akinaswa makofi baada ya kupishana kau... Read More

Soma alichokisema mlevi baada ya kukuta watu wakimpiga mwizi

Soma alichokisema mlevi baada ya kukuta watu wakimpiga mwizi

Mlevi mmoja aliona wananchi wakipiga mwizi akawaambia "mwacheni msimpige, hii tabia yenu ya kupi... Read More

Utajuaje kama unachoangalia ni filamu ya kibongo!!!!

Utajuaje kama unachoangalia ni filamu ya kibongo!!!!

Angalia hivi

-Mlinzi wa Getini lazima awe chizi
-Mtu yupo kijijini, maisha magumu ana ... Read More

Je, Chuoni kwako Kukoje?

Je, Chuoni kwako Kukoje?

FACT!
1.Ukiona geto lina feni, sabufa, meza ya plastic na kitanda ch sita kwa sita na Pc UJU... Read More

Namna wazazi wanavyoongea na mabinti katika umri tofauti

Namna wazazi wanavyoongea na mabinti katika umri tofauti

Miaka 13: Usipende wavulana ni wabaya.
Miaka 18: Sitaki nikuone na yule mvulana tena!
M... Read More

Kilichotokea baada ya kuzamia sherehe

Kilichotokea baada ya kuzamia sherehe

Pale unapozamia kwenye Dinner Party ya Jumuiya Fulani, sasa Lengo la Jumuiya hiyo ni kupata Fedha... Read More

Mvua zazua kasheshe! Soma hii..

Mvua zazua kasheshe! Soma hii..

Baba- : Halloo mke wangu.. yaani ni shida sitaweza kurudi nyumban, daraja limevunjika na kutoka m... Read More

Duh! Tamaa mbaya, cheki kilichompata Huyu

Duh! Tamaa mbaya, cheki kilichompata Huyu

HAHAHAHAHAAAAAA DUH TAMAA MBAYA

Muokota makopo katika uokotaji wak... Read More

Ungekua wewe ndio boss wa huyu jamaa ungempa kazi? Ungemjibu nini?

Ungekua wewe ndio boss wa huyu jamaa ungempa kazi? Ungemjibu nini?

*Boss*:-kijana unataka nini ndani ya ofisi zangu?
*Jamaa*:-Samahani naomba kazi ya ulinzi nd... Read More

Huyu mchungaji ni noma, cheki alichomwambia pedeshe

Huyu mchungaji ni noma, cheki alichomwambia pedeshe

Mchungaji kamfuata pedeshe moja maarufu kwa kumwaga pesa kwenye kumbi za muziki; MCHUNGAJI: Kijana, ... Read More
Eti kupooza chai kwa kizungu inaitwaje?

Eti kupooza chai kwa kizungu inaitwaje?

Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana

..unaenda kuoga, unakumbuka k... Read More

Mume mgonjwa kazua mpya baada ya kuruhusiwa kwenda nyumbani kutoka hospitali alipokuwa kalazwa

Mume mgonjwa kazua mpya baada ya kuruhusiwa kwenda nyumbani kutoka hospitali alipokuwa kalazwa

John aliruhusiwa kwenda nyumbani kutoka hospital ya Vichaa, akapakiwa ktk ambulance hadi karibu na n... Read More
πŸ“– Explore More Articles