Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/list.ackyshine.com/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Cheki huyu mwanamke anavyomkomoa mme wake baada ya kumsaliti

Featured Image

MKE: Mbona unanukia pafyumu ya kike?
MUME: Yaa kuna mwanamke tulikuwa tumeminyana ndani ya daladala
MKE: Na lipstiki kwenye shati?
MUME: Tulikumbatiana na wageni toka Zambia walitembelea ofisi yetu
MKE: Na ile kondom iliyotumika kwenye mfuko wa suruali?
MUME: Bwana ee acha maswali ya kijinga mi nalala nina usingizi
MKE: Lazima niulize mie huwa nahakikisha nimeacha kila kitu hukohuko ndio narudi nyumbani
MUME: Umesema nini wewe?
MKE: Bwana ee acha maswali ya kijinga mi nalala nina usingizi. πŸ˜„πŸ˜„

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Anna Mahiga (Guest) on July 12, 2024

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Simon Kiprono (Guest) on July 6, 2024

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

Miriam Mchome (Guest) on June 24, 2024

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

Grace Minja (Guest) on May 14, 2024

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

Mercy Atieno (Guest) on May 12, 2024

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

Neema (Guest) on April 16, 2024

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Kassim (Guest) on March 27, 2024

πŸ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

Leila (Guest) on March 14, 2024

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

Nancy Akumu (Guest) on March 3, 2024

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Dorothy Majaliwa (Guest) on February 27, 2024

🀣 Kichekesho bora kabisa!

Charles Mchome (Guest) on February 19, 2024

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Simon Kiprono (Guest) on February 3, 2024

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

Ann Wambui (Guest) on January 15, 2024

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

Victor Kimario (Guest) on December 27, 2023

Asante Ackyshine

Grace Mligo (Guest) on December 5, 2023

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Sarafina (Guest) on November 22, 2023

πŸ˜† Kali sana!

Samson Tibaijuka (Guest) on November 13, 2023

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

Salma (Guest) on November 4, 2023

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Janet Mbithe (Guest) on October 28, 2023

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

Alex Nyamweya (Guest) on October 21, 2023

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

Stephen Kikwete (Guest) on September 29, 2023

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

Shamsa (Guest) on September 26, 2023

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Anna Mahiga (Guest) on September 6, 2023

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Charles Mboje (Guest) on August 31, 2023

πŸ˜‚ Kali sana!

Frank Macha (Guest) on August 25, 2023

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Betty Akinyi (Guest) on August 21, 2023

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Simon Kiprono (Guest) on August 17, 2023

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Diana Mumbua (Guest) on July 6, 2023

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Charles Mchome (Guest) on June 22, 2023

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

Sarah Achieng (Guest) on June 10, 2023

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

Philip Nyaga (Guest) on May 27, 2023

Hii imenibamba sana! πŸ˜…πŸ€£

Victor Kamau (Guest) on May 23, 2023

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

Agnes Sumaye (Guest) on May 16, 2023

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

Joyce Nkya (Guest) on April 29, 2023

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Mariam Hassan (Guest) on March 2, 2023

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†

Chris Okello (Guest) on February 20, 2023

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Victor Malima (Guest) on December 19, 2022

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Joyce Nkya (Guest) on November 4, 2022

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Rahma (Guest) on October 23, 2022

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Rabia (Guest) on October 20, 2022

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

George Tenga (Guest) on October 8, 2022

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

Stephen Kikwete (Guest) on September 21, 2022

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Hassan (Guest) on September 16, 2022

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Moses Mwita (Guest) on August 11, 2022

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

Raphael Okoth (Guest) on August 2, 2022

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Paul Ndomba (Guest) on June 26, 2022

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Thomas Mtaki (Guest) on June 18, 2022

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Khamis (Guest) on June 12, 2022

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Peter Mwambui (Guest) on May 20, 2022

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

James Mduma (Guest) on May 16, 2022

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Saidi (Guest) on May 7, 2022

πŸ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

Patrick Mutua (Guest) on March 9, 2022

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

Brian Karanja (Guest) on March 5, 2022

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

Bernard Oduor (Guest) on January 8, 2022

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Jane Muthui (Guest) on December 29, 2021

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

Mercy Atieno (Guest) on November 30, 2021

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Mary Sokoine (Guest) on November 20, 2021

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

Victor Mwalimu (Guest) on November 11, 2021

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Margaret Anyango (Guest) on October 29, 2021

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Halimah (Guest) on October 23, 2021

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

Related Posts

Nilichokifanya wakati naangalia taarifa ya habari

Nilichokifanya wakati naangalia taarifa ya habari

Jana wakati naangalia taarifa ya habar mtangazaji akasema "mpenz mtazamaji nataka nikupe... Read More

Tofauti ya mchaga na mhaya wakipata kazi

Tofauti ya mchaga na mhaya wakipata kazi

Mchaga hata apate kazi bank bado atasema yupoΒ kibaruani.

Acha sasa mha... Read More

Namna wazazi wanavyoongea na mabinti katika umri tofauti

Namna wazazi wanavyoongea na mabinti katika umri tofauti

Miaka 13: Usipende wavulana ni wabaya.
Miaka 18: Sitaki nikuone na yule mvulana tena!
M... Read More

Angalia hawa vichaa walichokifanya, Vichaa bwana, ni noma!

Angalia hawa vichaa walichokifanya, Vichaa bwana, ni noma!

Vichaa walipanga kutoroka, wakakubaliana wamnyonge mlinz... Read More

Huyu mgeni wa huyu jamaa ni shida

Huyu mgeni wa huyu jamaa ni shida

Pale unapokuwa umefulia sana…

Mgeni anakutembelea Maskani kwako….Unaamua Kuchukua Ile S... Read More

Kilichotokea baada ya jambazi kuvamia kanisa

Kilichotokea baada ya jambazi kuvamia kanisa

Jambazi mmoja aliingia kanisani na bunduki akapiga risasi juu ya bati akasema "asiyempenda YESU a... Read More

Kilichotokea baada ya kumdanganya mchungaji wangu

Kilichotokea baada ya kumdanganya mchungaji wangu

Jumapili baada ya kutoka KANISANI, Pastor akaona simu yangu niliyonunua LAKI 5,akaniuliza hiyo s... Read More

Baada ya kumkuta mwanamme mwingine chumbani kwake na mke wake cheki huyu anachokifanya

Baada ya kumkuta mwanamme mwingine chumbani kwake na mke wake cheki huyu anachokifanya

NAKUA(BABA) karudi kazini mwanae mdogo akamuwahi,
DOGO: Baba usiingie ndani kina jini chumba... Read More

Ziara za kushtukiza zinachekesha sana

Ziara za kushtukiza zinachekesha sana

Mimi Nimecheka sana
πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡

ZIARA ZA KUSHTUKIZAπŸ˜€πŸ... Read More

Huyu ndo mwanamke

Huyu ndo mwanamke

Akikuta PESA wakati anafua atapiga kimya kimya, sasa ngoja akute umeacha CONDOM ndo utajua kama u... Read More

Kali za leo: Misemo ya kuchekesha na kuvunja mbavu

Kali za leo: Misemo ya kuchekesha na kuvunja mbavu

1. Ati wee ni m-black mpaka ukiingia kwa dinga(gari), dirisha zinakuwa tinted!

2. Kwenu kuc... Read More

Angalia hawa kina mama, ni shida..!

Angalia hawa kina mama, ni shida..!

Mama mdaku alishangaa kila siku mchungaji anaingia nyumba ya jirani yake ambaye hana mume, akawa... Read More

πŸ“– Explore More Articles