Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/list.ackyshine.com/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Tofauti kati ya mwanamke na mwanamme

Featured Image

UTOFAUTI KATI YA MWANAMKE NA MWANAUME
1. Kwenye mshituko; mwanaume hushituka halafu huangalia nini kimemshitua, mwanamke hushituka halafu huzimia hivyo ataambiwa na mwanaume kilichomshituaπŸ˜‚πŸ˜‚
2. Kwenye kupenda; mwanaume huanza kutamani alafu hupenda, mwanamke huanza kupenda moja kwa moja bila kumjua vizuri huyo ampendaeπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
3.Kwenye kusaidia; mwanaume hutoa msaada alafu uhuzunika, mwanamke huuzunika badae ndo anakumbuka km msaada unahitajikaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
4.Kwenye maamuzi; mwanaume hufikiri ndipo hutenda, mwanamke hutenda halafu hufikiriπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
5.Kwenye kudanganya; Mwanaume hudanganya ili kumlinda mwanamke, mwanamke hudanganya ili kumkomoa mwanaumeπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
6.Kwenye ugomvi; wanaume hupigana halafu hueshimiana, wanawake hupiga mikelele alafu kila mmoja hurud kwake, kexho tenaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
7.Kwenye ndoa; mwanaume hutafuta maixha ndipo huoa, mwanamke huolewa ndipo atafute maishaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
8.Kwenye kukata tamaa; mwanaume hukata tamaa mapema ili jambo lisimsumbue, mwanamke hajui kukata tamaa hadi aumizweπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
9.Kwenye kula;Mwanaume hushiba alafu huanza madoido, mwanamke huanza na madoido alafu badae hujilaumu hakushibaπŸ˜‚πŸ˜‚
10.Kwenye siri; Mwanaume hutunza siri hasa za aibu, mwanamke humueleza shoga yake badae hugombana nae baada ya kumrudia mwenyewe kwa siku 2 tuπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Hizi ni baadhi tu ya sifa tofauti kati ya mwanaume na mwanamke….. VIVA GENTLEMENπŸ‘ŠπŸ½πŸ‘Š

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Salima (Guest) on December 3, 2021

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

Charles Mboje (Guest) on November 1, 2021

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Selemani (Guest) on October 24, 2021

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Joseph Kawawa (Guest) on October 18, 2021

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†

Rose Mwinuka (Guest) on October 16, 2021

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Josephine (Guest) on August 16, 2021

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Rukia (Guest) on August 11, 2021

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Lydia Mutheu (Guest) on August 4, 2021

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

Baraka (Guest) on July 28, 2021

Hii kichekesho inastahili tuzo! πŸ†

Sharon Kibiru (Guest) on July 15, 2021

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

Linda Karimi (Guest) on July 1, 2021

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜ŠπŸ˜†

Mary Mrope (Guest) on June 30, 2021

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Ruth Kibona (Guest) on June 29, 2021

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Andrew Mahiga (Guest) on June 15, 2021

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Ann Awino (Guest) on June 14, 2021

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

David Sokoine (Guest) on May 31, 2021

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

Patrick Mutua (Guest) on April 30, 2021

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Robert Ndunguru (Guest) on April 27, 2021

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

Jafari (Guest) on April 14, 2021

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

Betty Cheruiyot (Guest) on March 18, 2021

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

John Mushi (Guest) on March 10, 2021

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Moses Kipkemboi (Guest) on March 6, 2021

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Victor Malima (Guest) on March 1, 2021

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

Bernard Oduor (Guest) on February 23, 2021

πŸ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

Christopher Oloo (Guest) on February 13, 2021

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

George Mallya (Guest) on February 4, 2021

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Grace Mligo (Guest) on January 21, 2021

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Patrick Akech (Guest) on January 13, 2021

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

Nuru (Guest) on December 4, 2020

πŸ˜… Bado nacheka!

Mwakisu (Guest) on November 16, 2020

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

Elizabeth Malima (Guest) on October 22, 2020

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Charles Mrope (Guest) on October 14, 2020

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

Peter Mugendi (Guest) on September 22, 2020

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Tambwe (Guest) on September 18, 2020

πŸ˜† Kali sana!

James Kimani (Guest) on September 7, 2020

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

Nuru (Guest) on September 1, 2020

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Joseph Kawawa (Guest) on August 24, 2020

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

Faith Kariuki (Guest) on August 19, 2020

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

Joy Wacera (Guest) on July 2, 2020

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

Moses Mwita (Guest) on June 17, 2020

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Robert Ndunguru (Guest) on June 8, 2020

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

Catherine Mkumbo (Guest) on May 19, 2020

πŸ˜‚πŸ€£

Peter Mwambui (Guest) on April 24, 2020

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Nancy Akumu (Guest) on April 7, 2020

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

Grace Njuguna (Guest) on April 4, 2020

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

Mary Sokoine (Guest) on March 26, 2020

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

Miriam Mchome (Guest) on March 26, 2020

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Andrew Odhiambo (Guest) on March 25, 2020

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

Lucy Mahiga (Guest) on March 10, 2020

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

Grace Njuguna (Guest) on February 5, 2020

🀣 Sikutarajia hiyo!

Peter Mwambui (Guest) on January 6, 2020

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Philip Nyaga (Guest) on December 12, 2019

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

Isaac Kiptoo (Guest) on December 3, 2019

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

Mary Njeri (Guest) on November 29, 2019

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Anthony Kariuki (Guest) on November 28, 2019

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

John Kamande (Guest) on November 17, 2019

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

Mgeni (Guest) on November 3, 2019

πŸ˜‚ Kali sana!

Francis Mrope (Guest) on November 1, 2019

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Edith Cherotich (Guest) on September 17, 2019

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Hellen Nduta (Guest) on August 12, 2019

Hii imenibamba sana! πŸ˜…πŸ€£

Related Posts

Angalia anachojibu huyu babu. Wazee wengine bwana

Angalia anachojibu huyu babu. Wazee wengine bwana

Babu: Mjukuu wangu ngoja nikusimulie hadithi ya mimi babu yako kwenye vita ya kagera
Mjukuu:... Read More

Dogo alivyomchomea dada wa kazi kwa mama yake kuhusu baba

Dogo alivyomchomea dada wa kazi kwa mama yake kuhusu baba

Dogo: mama hivi malaika si wanapaa? Mama: ndiyo wanapaa, kwanini umeniuliza hivyo? Dogo: nimesikia b... Read More
Soma alichojibiwa huyu mzee baada ya kudai kutaka kumsikiliza Nyerere

Soma alichojibiwa huyu mzee baada ya kudai kutaka kumsikiliza Nyerere

Mzee: Dereva ongeza sauti tumsikilize Mwalimu Nyerere!!

Dereva: ungemsikiliza mwalimu wa... Read More

Angalia walichofanyiana hawa wanadoa, Kati ya huyu mme na mke nani zaidi?

Angalia walichofanyiana hawa wanadoa, Kati ya huyu mme na mke nani zaidi?

MUME wakati anakata roho huku mkewe akiwa amemshikilia alisema mke wangu, mi natubu kwako, kwani ... Read More

Wachaga wana mambo mbele ya hela, angalia hii bili ilivyomchanganya MASSAWE

Wachaga wana mambo mbele ya hela, angalia hii bili ilivyomchanganya MASSAWE

MASSAWE alienda na marafiki zake bar kunywa, baada ya kumaliza kutumia akal... Read More

Mpenzi Akikuita Mamito, Mjibu Hivi

```html

Responding to Pet Names: A Guide to Healthy Relationships

Navigating the landsc... Read More

Hapa itakuaje?

Hapa itakuaje?

NAJISIKIA NIMEBOEKA…

SIJUI NIENDE KAMBI YOYOTE YA JESHI NITEREMSHE BENDERA

ALAFU NI... Read More

Huyu mke kwa kupenda hela! Cheki anachomwambia mume wake

Huyu mke kwa kupenda hela! Cheki anachomwambia mume wake

Jamaa karudi toka kazini mpole na hana furaha! MKE; Vipi leo mbona mpole? MUME; Ofisi yetu imeungua ... Read More
SOMA HII: Kama wewe ndo baba au mama hapa ungefanyaje!???

SOMA HII: Kama wewe ndo baba au mama hapa ungefanyaje!???

Bakari ni house boy mara nyingi huiba wine ya boss wake na kisha kuongeza maji kwenye chupa ili b... Read More

Huyu bwana leo kapatikana, Jamani nyodo nyingine mbaya

Huyu bwana leo kapatikana, Jamani nyodo nyingine mbaya

Baada ya kumaliza Degree yake ya sheria Bwana Rwegashora aliamua kurudi nyu... Read More

Huyu Jamaa bwana! Cheki anavyojibu sasa

Huyu Jamaa bwana! Cheki anavyojibu sasa

*Mdukuzi:* _halloo massai unasemaj_
*Massai:* _safi rafiki_

*Mdukuzi:* _nikikuuliza sw... Read More

Baada ya kuulizwa nani anapenda kwenda peponi, haya ndiyo yalikua majibu ya wanafunzi

Baada ya kuulizwa nani anapenda kwenda peponi, haya ndiyo yalikua majibu ya wanafunzi

Wanafunzi waliulizwa na mwalimu nani angependa kwenda peponi? Wote wakanyosha ila mmoja tu alipok... Read More

πŸ“– Explore More Articles
🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About