Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/list.ackyshine.com/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Tofauti kati ya mwanamke na mwanamme

Featured Image

UTOFAUTI KATI YA MWANAMKE NA MWANAUME
1. Kwenye mshituko; mwanaume hushituka halafu huangalia nini kimemshitua, mwanamke hushituka halafu huzimia hivyo ataambiwa na mwanaume kilichomshituaπŸ˜‚πŸ˜‚
2. Kwenye kupenda; mwanaume huanza kutamani alafu hupenda, mwanamke huanza kupenda moja kwa moja bila kumjua vizuri huyo ampendaeπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
3.Kwenye kusaidia; mwanaume hutoa msaada alafu uhuzunika, mwanamke huuzunika badae ndo anakumbuka km msaada unahitajikaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
4.Kwenye maamuzi; mwanaume hufikiri ndipo hutenda, mwanamke hutenda halafu hufikiriπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
5.Kwenye kudanganya; Mwanaume hudanganya ili kumlinda mwanamke, mwanamke hudanganya ili kumkomoa mwanaumeπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
6.Kwenye ugomvi; wanaume hupigana halafu hueshimiana, wanawake hupiga mikelele alafu kila mmoja hurud kwake, kexho tenaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
7.Kwenye ndoa; mwanaume hutafuta maixha ndipo huoa, mwanamke huolewa ndipo atafute maishaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
8.Kwenye kukata tamaa; mwanaume hukata tamaa mapema ili jambo lisimsumbue, mwanamke hajui kukata tamaa hadi aumizweπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
9.Kwenye kula;Mwanaume hushiba alafu huanza madoido, mwanamke huanza na madoido alafu badae hujilaumu hakushibaπŸ˜‚πŸ˜‚
10.Kwenye siri; Mwanaume hutunza siri hasa za aibu, mwanamke humueleza shoga yake badae hugombana nae baada ya kumrudia mwenyewe kwa siku 2 tuπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Hizi ni baadhi tu ya sifa tofauti kati ya mwanaume na mwanamke….. VIVA GENTLEMENπŸ‘ŠπŸ½πŸ‘Š

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Salima (Guest) on December 3, 2021

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

Charles Mboje (Guest) on November 1, 2021

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Selemani (Guest) on October 24, 2021

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Joseph Kawawa (Guest) on October 18, 2021

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†

Rose Mwinuka (Guest) on October 16, 2021

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Josephine (Guest) on August 16, 2021

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Rukia (Guest) on August 11, 2021

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Lydia Mutheu (Guest) on August 4, 2021

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

Baraka (Guest) on July 28, 2021

Hii kichekesho inastahili tuzo! πŸ†

Sharon Kibiru (Guest) on July 15, 2021

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

Linda Karimi (Guest) on July 1, 2021

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜ŠπŸ˜†

Mary Mrope (Guest) on June 30, 2021

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Ruth Kibona (Guest) on June 29, 2021

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Andrew Mahiga (Guest) on June 15, 2021

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Ann Awino (Guest) on June 14, 2021

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

David Sokoine (Guest) on May 31, 2021

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

Patrick Mutua (Guest) on April 30, 2021

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Robert Ndunguru (Guest) on April 27, 2021

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

Jafari (Guest) on April 14, 2021

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

Betty Cheruiyot (Guest) on March 18, 2021

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

John Mushi (Guest) on March 10, 2021

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Moses Kipkemboi (Guest) on March 6, 2021

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Victor Malima (Guest) on March 1, 2021

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

Bernard Oduor (Guest) on February 23, 2021

πŸ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

Christopher Oloo (Guest) on February 13, 2021

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

George Mallya (Guest) on February 4, 2021

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Grace Mligo (Guest) on January 21, 2021

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Patrick Akech (Guest) on January 13, 2021

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

Nuru (Guest) on December 4, 2020

πŸ˜… Bado nacheka!

Mwakisu (Guest) on November 16, 2020

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

Elizabeth Malima (Guest) on October 22, 2020

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Charles Mrope (Guest) on October 14, 2020

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

Peter Mugendi (Guest) on September 22, 2020

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Tambwe (Guest) on September 18, 2020

πŸ˜† Kali sana!

James Kimani (Guest) on September 7, 2020

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

Nuru (Guest) on September 1, 2020

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Joseph Kawawa (Guest) on August 24, 2020

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

Faith Kariuki (Guest) on August 19, 2020

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

Joy Wacera (Guest) on July 2, 2020

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

Moses Mwita (Guest) on June 17, 2020

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Robert Ndunguru (Guest) on June 8, 2020

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

Catherine Mkumbo (Guest) on May 19, 2020

πŸ˜‚πŸ€£

Peter Mwambui (Guest) on April 24, 2020

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Nancy Akumu (Guest) on April 7, 2020

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

Grace Njuguna (Guest) on April 4, 2020

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

Mary Sokoine (Guest) on March 26, 2020

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

Miriam Mchome (Guest) on March 26, 2020

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Andrew Odhiambo (Guest) on March 25, 2020

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

Lucy Mahiga (Guest) on March 10, 2020

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

Grace Njuguna (Guest) on February 5, 2020

🀣 Sikutarajia hiyo!

Peter Mwambui (Guest) on January 6, 2020

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Philip Nyaga (Guest) on December 12, 2019

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

Isaac Kiptoo (Guest) on December 3, 2019

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

Mary Njeri (Guest) on November 29, 2019

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Anthony Kariuki (Guest) on November 28, 2019

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

John Kamande (Guest) on November 17, 2019

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

Mgeni (Guest) on November 3, 2019

πŸ˜‚ Kali sana!

Francis Mrope (Guest) on November 1, 2019

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Edith Cherotich (Guest) on September 17, 2019

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Hellen Nduta (Guest) on August 12, 2019

Hii imenibamba sana! πŸ˜…πŸ€£

Related Posts

Jambo la kufanya kama binti alikuachaga zamani na sahizi anakutaka

Jambo la kufanya kama binti alikuachaga zamani na sahizi anakutaka

Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana

..unaenda kuoga, unakumbuka k... Read More

Hizi swaga za huyu jamaa ni shida, Google!

Hizi swaga za huyu jamaa ni shida, Google!

Jamaa alikuwa kwenye daladala pembeni kuna
dada mrembo kakaa. Kamlia timing kwa muda
ki... Read More

Ikitokea hii kwenye chumba cha mtihani

Ikitokea hii kwenye chumba cha mtihani

Upo kwenye chumba cha mtihani,
maswalii yamekupiga kinyama
Unaamua kuchukua smartphone ... Read More

Maisha ya kijijini hadi raha!!

Maisha ya kijijini hadi raha!!

Jamaa alimfumania mtu anazini na mkewe,

Akamtoza Faini ya sh 5000 tu,yule mtu akatoa 10000.... Read More

Angalia huyu polisi kitu alichonijibu

Angalia huyu polisi kitu alichonijibu

Nimefika hapa Polisi Station nimefarijika sana na Kustuka baada ya kumkuta Askari hapa Kaunta ana... Read More

Mambo makuu matatu waafrika tusiyoyajua

Mambo makuu matatu waafrika tusiyoyajua

NIMEKAA NIKAWAZA πŸ™‡πŸΌ KUWA KUNA MAMBO KAMA MATATU HIVIπŸ‘ŒπŸ» WAAFRIKA HATUYAJUI πŸ™‰ KAMA TUNG... Read More
Je hili ni kweli kuhusu mpenzi maskini na Tajiri?

Je hili ni kweli kuhusu mpenzi maskini na Tajiri?

Siku hizi kudekezwa na kupetiwa petiwa tunawaachia matajiri

Hakuna mwanamke yupo tayar kula... Read More

Duh! Angalia alichokula huyu mwizi! Wizi mwingine bwana!

Duh! Angalia alichokula huyu mwizi! Wizi mwingine bwana!

Baada ya mwizi kuvunja mlango huko Tarime, akaingia kwenye stoo akaona vinyama kwenye bakuli vik... Read More

Cheki nilichomfanyia huyu dereva tax

Cheki nilichomfanyia huyu dereva tax

Nilipanda tax leo.dereva tax akaanza kuongea…

Naipenda sana kazi yang... Read More

Duh! Kizungu kigumu, cheki alichojibu huyu

Duh! Kizungu kigumu, cheki alichojibu huyu

```Nimetoka interview hapa ya job flani

Wameniuliza "so how far did you go with your edu... Read More

Eti hii ni kweli kwa mwanaume anayempa simu mkewe

Eti hii ni kweli kwa mwanaume anayempa simu mkewe

Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana

..unaenda kuoga, unakumbuka k... Read More

Huyu mtoto kaongea point kweli, angalia anachomwambia baba yake

Huyu mtoto kaongea point kweli, angalia anachomwambia baba yake

Mtoto alimwuuliza baba yake,
Mtoto: Baba unaweza kumwachia hilo gari lako house boy/girl aka... Read More

πŸ“– Explore More Articles