Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/list.ackyshine.com/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Ufugaji wa nguruwe kazi, Cheki jamaa hawa wake walivyompa mtihani

Featured Image

MWANAHARAKATI: Hawa nguruwe unawalishanini?
.

MFUGAJI: Nawalisha mabaki ya chakula toka migahawa mbalimbali
.
MWANAHARAKATI: Hayo ni makosa unawatesawanyama kwa kuwalisha chakula kichafu. Akapigwa faini… Baada ya siku chache wakaja wanaharakati toka Umoja wa Mataifa
.
MWANAHARAKATI: Hawa nguruwe unawalisha nini?
.

MFUGAJI: Huwa nawaanzia siku na uji wa ulezi, halafu mikate, mchana ugali kwa kabeji na usiku viazi
.
MWANAHARAKATI: Loh watu wanakufa kwa njaa wewe unalisha nguruwe, akapigwa faini….siku chache baadae wakaja wanaharakati wa Mazingira
.
MWANAHARAKATI: Hawa nguruwe unawalisha nini?
.
MFUGAJI: (Kwanza akasita kidogo) Hawa huwa nawapa shilingi alfu tano kila mmoja kila siku halafu wao wenyewe wanaenda kununua chakula wanachokitaka.. .

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Christopher Oloo (Guest) on July 19, 2024

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

Guest (Guest) on February 14, 2026

Duncan mwanzia

Guest (Guest) on February 14, 2026

Iko sawa iyo ina nice mbaya

Peter Otieno (Guest) on July 12, 2024

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

David Nyerere (Guest) on July 1, 2024

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Sarah Mbise (Guest) on June 21, 2024

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Ruth Wanjiku (Guest) on June 9, 2024

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

Elizabeth Mrope (Guest) on May 31, 2024

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

John Mushi (Guest) on May 5, 2024

Asante Ackyshine

Bernard Oduor (Guest) on March 16, 2024

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Rose Mwinuka (Guest) on March 15, 2024

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Lydia Mahiga (Guest) on March 15, 2024

πŸ˜‚πŸ˜…

Alice Wanjiru (Guest) on March 5, 2024

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

George Wanjala (Guest) on March 3, 2024

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

Fadhila (Guest) on January 23, 2024

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

Peter Tibaijuka (Guest) on January 16, 2024

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Omar (Guest) on January 11, 2024

Hii kichekesho inastahili tuzo! πŸ†

Paul Ndomba (Guest) on December 30, 2023

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

Peter Otieno (Guest) on December 29, 2023

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Samuel Omondi (Guest) on December 11, 2023

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

Ruth Wanjiku (Guest) on November 29, 2023

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

Josephine Nduta (Guest) on November 20, 2023

😊🀣πŸ”₯

James Mduma (Guest) on November 18, 2023

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

Anna Kibwana (Guest) on October 29, 2023

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Mwagonda (Guest) on September 25, 2023

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

Mgeni (Guest) on August 16, 2023

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Mzee (Guest) on July 26, 2023

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

Betty Kimaro (Guest) on July 20, 2023

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Neema (Guest) on July 2, 2023

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

John Kamande (Guest) on June 26, 2023

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Samson Tibaijuka (Guest) on June 9, 2023

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Grace Wairimu (Guest) on May 21, 2023

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Jane Muthoni (Guest) on May 19, 2023

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

Anthony Kariuki (Guest) on April 26, 2023

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

Halimah (Guest) on April 9, 2023

πŸ˜… Nilihitaji hii!

Mhina (Guest) on April 4, 2023

πŸ˜† Hiyo punchline!

Francis Mrope (Guest) on April 3, 2023

Hizi jokes ni za kipekee sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Grace Mushi (Guest) on March 29, 2023

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

Abubakar (Guest) on March 8, 2023

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Emily Chepngeno (Guest) on January 21, 2023

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Nancy Kabura (Guest) on January 16, 2023

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

James Kimani (Guest) on January 13, 2023

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Thomas Mtaki (Guest) on January 11, 2023

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

Grace Njuguna (Guest) on January 10, 2023

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Josephine Nekesa (Guest) on December 31, 2022

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

Samson Mahiga (Guest) on December 14, 2022

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Elijah Mutua (Guest) on November 3, 2022

πŸ˜‚πŸ€£

Andrew Odhiambo (Guest) on October 17, 2022

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

Moses Mwita (Guest) on September 9, 2022

πŸ€£πŸ˜„πŸ˜Š

Mwalimu (Guest) on August 9, 2022

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

Janet Sumari (Guest) on August 4, 2022

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

George Wanjala (Guest) on July 2, 2022

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

Sarah Achieng (Guest) on June 30, 2022

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†

Nasra (Guest) on June 29, 2022

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Rabia (Guest) on June 28, 2022

πŸ˜† Bado nacheka!

Chris Okello (Guest) on June 14, 2022

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Fikiri (Guest) on June 7, 2022

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Maida (Guest) on May 29, 2022

🀣 Sikutarajia hiyo!

Miriam Mchome (Guest) on April 27, 2022

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

Patrick Akech (Guest) on March 17, 2022

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

Related Posts

Jambo la kufanya kama binti alikuachaga zamani na sahizi anakutaka

Jambo la kufanya kama binti alikuachaga zamani na sahizi anakutaka

Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana

..unaenda kuoga, unakumbuka k... Read More

Jee wajua! Maajabu ya whatsapp..

Jee wajua! Maajabu ya whatsapp..

JE WAJUA?

Je wajua kwamba kuku wa kwenye Whatsapp anamzidi tembo ukubwa? πŸ“πŸ‘‰πŸ½πŸ... Read More

Huu mchezo hautaki makeup

Huu mchezo hautaki makeup

Mama mwenye nyumba anajipodoa anashinda saloon kujipodoa lakini house girl hata mafuta us... Read More

Angalia hawa vichaa walichokifanya, Vichaa bwana, ni noma!

Angalia hawa vichaa walichokifanya, Vichaa bwana, ni noma!

Vichaa walipanga kutoroka, wakakubaliana wamnyonge mlinz... Read More

Alichokifanya jamaa baada ya kuokota wallet yenye pesa za kumwaga

Alichokifanya jamaa baada ya kuokota wallet yenye pesa za kumwaga

Jamaa aliokota wallet, alipofika nyumbani akapiga simu kwenye radio station "Naitwa John nimepiga s... Read More
Angalia huyu mvulana anachomwambia huyu daktari baada ya rafiki yake wa kike kupata ujauzito

Angalia huyu mvulana anachomwambia huyu daktari baada ya rafiki yake wa kike kupata ujauzito

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

MVULANA:Β Daktari, rafiki yangu wa kike ni mjamzito, l... Read More

Angalia huyu secretary anavyomjibu bosi wake

Angalia huyu secretary anavyomjibu bosi wake

Boss mmoja aliingia kazini kwake kasahau kufunga zipu ya suruali yake sasa secretary wake akamfuata ... Read More
Ni wazo tuu!

Ni wazo tuu!

Siyo watu wote wanaokuuliza kwamba watoto hawajambo,wanakuuliza kwa nia nzuri,wengine wanaulizia ... Read More

Duh. Chezeya kuhama!

Duh. Chezeya kuhama!

Pale imebaki siku moja uhame kwenye nyumba ya kupanga af unakuta umebakiza unit 60 za um... Read More

Nilichokifanya baada ya kualikwa na mchumba wangu kwao

Nilichokifanya baada ya kualikwa na mchumba wangu kwao

Mchumba wangu amenialika kwao nikawaone wazazi wake lakini akaniambia nisien... Read More

Cheki huyu mzee alichomfanyia muuzaji wa pharmacy

Cheki huyu mzee alichomfanyia muuzaji wa pharmacy

Mzee kaingia pharmacy, MZEE: Mambo mwanangu, kuna kitu naomba uonje nitakulipa MFAMASIA: Kitu gani?β... Read More
Kuwa single nao ugonjwa eh, cheki huyu alichokifanya

Kuwa single nao ugonjwa eh, cheki huyu alichokifanya

Et

Umexhawah kuwa single had ukaamua kununua viatu vya kike kix... Read More