Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/list.ackyshine.com/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Ujumbe kwa mabinti kuhusu uvaaji

Featured Image

Familia Kwanza: Wasichana wawili waliwasili kwenye Kikao huku wamevaa nguo ambazo zilikuwa zikionyesha miili yao.

Hiki ndo kitu ambacho Mwenyekiti wa kikao alichowaambia, aliwatazama kwa muonekano mzuri kisha akawataka wakae, kisha akawaambia jambo ambalo hawatoweza kusahau katika Maisha yao.

Aliwaangalia moja kwa moja katika macho yao, kisha akasema;

"Wasichana, kila kitu ambacho MUNGU amekiumba chenye thamani katika Dunia hii kimesitiriwa, na ni vigumu kukiona au kukipata.

1.Wapi unapoipata Almasi?
Ni chini kabisa ndani zaidi katika ardhi, na yamefunikwa na kuhifadhiwa humo

2. Wapi mnapoweza kuipata Lulu? Pia ni ndani zaidi kwenye kina kirefu zaidi katika Bahari, na yamehifadhiwa humo na kujificha ndani ya Sanamu zuri la Baharini

3. Wapi mnapoweza kuipata Dhahabu? napo pia ni ndani zaidi katika Migodi, na yamefunikwa juu na Ardhi za Miamba na ndio uyapate hapo. Yatupasa tufanye kazi ya ziada zaidi na tulime kwa undani zaidi ndipo tuyapate.

Kisha Mwenyekiti akawaangalia wale Mabinti kwa Jicho kali zaidi na kisha akawaambia;
"Miili yenu ni ya kuogopwa na ina thamani sana, na inazidi sana hata thamani ya Dhahabu, Almasi au Lulu. Na yawapasa muihifadhi zaidii.

Kama mtatunza Madini yenu kama ilivyotunzwa Almasi, Dhahabu na Lulu basi Makampuni yenye sifa nzur katika Jamii, Makampuni ya uhakika, Makampuni ya kuaminika yenye Mitambo mizuri yatatenga Muda wa miaka kadhaa katika kufanikisha kuyapata Madini hayo.

Kwanza itawapasa wawasiliane na Serikali (ambayo ndio familia yako) pia kusahihisha Mikatabata muhimu (ndoa) na mwisho ni Mgodi wenye dhana kubwa (ambayo ndiyo ndoa) lakini kama ukiacha madini yako yenye thamani nje hayajahifadhiwa katika uso wa Dunia basi utamvutia kila Mmoja (Mwanaume) na hasa wale ambao ni Wachimbaji haramu watakuja na kuchimba kiharamu (Zinaa), kwa hiyo kila mmoja atachukua kwa vifaa vilivyo na Makali na hivyo ndio watakavyokulima kirahisi.

Hivyo basi nawashauri hifadhini Miili yenu vizuri ili iwavutie wachimbaji wa halali (Waoaji) ndio wakukaribie upate kuheshimika

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

No comments yet. Be the first to share your thoughts!

Related Posts

Jinsi ya Kuwa na Muda wa Kufurahia: Kuweka Usawa kati ya Kazi na Familia

Jinsi ya Kuwa na Muda wa Kufurahia: Kuweka Usawa kati ya Kazi na Familia

Karibu kwenye mada yetu ya leo ambapo tutazungumzia jinsi ya kuwa na muda wa kufurahia kwa kuweka... Read More

Njia za Kuimarisha Ushirikiano na Kujenga Upendo katika Familia Yako

Njia za Kuimarisha Ushirikiano na Kujenga Upendo katika Familia Yako

Familia ni kitovu cha upendo na ushirikiano. Ni mahali pa kujifunza na kukua kwa pamoja. Hata hiv... Read More

Jinsi ya Kuelewa na kukabiliana na changamoto za kuwa na uhusiano wa mbali na mpenzi wako

Jinsi ya Kuelewa na kukabiliana na changamoto za kuwa na uhusiano wa mbali na mpenzi wako

Kuwa na uhusiano wa mbali na mpenzi wako ni jambo la kufurahisha na la kusisimua ambalo linaweza ... Read More

Jinsi ya Kuelewa na kukabiliana na changamoto za kusaidia na kuwajali watu wenye matatizo ya kiafya ya akili

Jinsi ya Kuelewa na kukabiliana na changamoto za kusaidia na kuwajali watu wenye matatizo ya kiafya ya akili

Watu wengi huwa na matatizo ya kiafya ya akili na hukabiliana na changamoto nyingi za kila siku. ... Read More

Jukumu la Kujielewa katika Kufanya Mapenzi: Kukuza Uhuru na Urahisi

Jukumu la Kujielewa katika Kufanya Mapenzi: Kukuza Uhuru na Urahisi

Mapenzi yana jukumu muhimu katika maisha ya mwanadamu. Ni kitendo cha kupenda na kuthamini mtu mw... Read More

Je, ni muhimu kuwa na mipaka wazi katika uhusiano wa ngono/kufanya mapenzi?

Je, ni muhimu kuwa na mipaka wazi katika uhusiano wa ngono/kufanya mapenzi?

Je, ni muhimu kuwa na mipaka wazi katika uhusiano wa ngono/kufanya mapenzi? Hili ni swali ambalo ... Read More

Jinsi ya Kusaidiana na mpenzi wako katika kushughulikia matatizo ya kifamilia

Jinsi ya Kusaidiana na mpenzi wako katika kushughulikia matatizo ya kifamilia

Karibu sana katika makala hii ambapo tutaangalia jinsi ya kusaidiana na mpenzi wako katika kushug... Read More

Kuhamasisha Ushirikiano wa Kujifunza katika Familia: Kuweka Mwelekeo wa Kujenga Maarifa

Kuhamasisha Ushirikiano wa Kujifunza katika Familia: Kuweka Mwelekeo wa Kujenga Maarifa

Kuhamasisha ushirikiano wa kujifunza katika familia ni jambo muhimu sana katika kujenga maarifa n... Read More

Njia za Kupunguza Mazoea ya Kujisahau katika Familia: Kuweka Thamani ya Kujali na Kuthamini

Njia za Kupunguza Mazoea ya Kujisahau katika Familia: Kuweka Thamani ya Kujali na Kuthamini

Familia ni kitu kizuri sana kwa sababu hutoa faraja, upendo, na usalama kwa wanachama wake. Hata ... Read More

Kuhamasisha Mawasiliano ya Kina katika Familia Yako

Kuhamasisha Mawasiliano ya Kina katika Familia Yako

  1. Kwa nini Mawasiliano ya Kina ni muhimu katika Familia Yako? Mawasiliano ya kina ni muhi... Read More

Je, kuna umuhimu wa kufanya ngono/kufanya mapenzi kwa mara kwa mara katika uhusiano?

Je, kuna umuhimu wa kufanya ngono/kufanya mapenzi kwa mara kwa mara katika uhusiano?

Je, kuna umuhimu wa kufanya ngono/kufanya mapenzi kwa mara kwa mara katika uhusiano? Hili ndilo s... Read More

Jinsi ya Kuzungumza na mpenzi wako kuhusu mipango ya kustaafu na maisha baada ya kazi

Jinsi ya Kuzungumza na mpenzi wako kuhusu mipango ya kustaafu na maisha baada ya kazi

Kuzungumza na mpenzi wako kuhusu mipango ya kustaafu na maisha baada ya kazi ni muhimu katika kujeng... Read More
πŸ“– Explore More Articles
🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About