Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/list.ackyshine.com/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Ujumbe kwa mabinti kuhusu uvaaji

Featured Image

Familia Kwanza: Wasichana wawili waliwasili kwenye Kikao huku wamevaa nguo ambazo zilikuwa zikionyesha miili yao.

Hiki ndo kitu ambacho Mwenyekiti wa kikao alichowaambia, aliwatazama kwa muonekano mzuri kisha akawataka wakae, kisha akawaambia jambo ambalo hawatoweza kusahau katika Maisha yao.

Aliwaangalia moja kwa moja katika macho yao, kisha akasema;

"Wasichana, kila kitu ambacho MUNGU amekiumba chenye thamani katika Dunia hii kimesitiriwa, na ni vigumu kukiona au kukipata.

1.Wapi unapoipata Almasi?
Ni chini kabisa ndani zaidi katika ardhi, na yamefunikwa na kuhifadhiwa humo

2. Wapi mnapoweza kuipata Lulu? Pia ni ndani zaidi kwenye kina kirefu zaidi katika Bahari, na yamehifadhiwa humo na kujificha ndani ya Sanamu zuri la Baharini

3. Wapi mnapoweza kuipata Dhahabu? napo pia ni ndani zaidi katika Migodi, na yamefunikwa juu na Ardhi za Miamba na ndio uyapate hapo. Yatupasa tufanye kazi ya ziada zaidi na tulime kwa undani zaidi ndipo tuyapate.

Kisha Mwenyekiti akawaangalia wale Mabinti kwa Jicho kali zaidi na kisha akawaambia;
"Miili yenu ni ya kuogopwa na ina thamani sana, na inazidi sana hata thamani ya Dhahabu, Almasi au Lulu. Na yawapasa muihifadhi zaidii.

Kama mtatunza Madini yenu kama ilivyotunzwa Almasi, Dhahabu na Lulu basi Makampuni yenye sifa nzur katika Jamii, Makampuni ya uhakika, Makampuni ya kuaminika yenye Mitambo mizuri yatatenga Muda wa miaka kadhaa katika kufanikisha kuyapata Madini hayo.

Kwanza itawapasa wawasiliane na Serikali (ambayo ndio familia yako) pia kusahihisha Mikatabata muhimu (ndoa) na mwisho ni Mgodi wenye dhana kubwa (ambayo ndiyo ndoa) lakini kama ukiacha madini yako yenye thamani nje hayajahifadhiwa katika uso wa Dunia basi utamvutia kila Mmoja (Mwanaume) na hasa wale ambao ni Wachimbaji haramu watakuja na kuchimba kiharamu (Zinaa), kwa hiyo kila mmoja atachukua kwa vifaa vilivyo na Makali na hivyo ndio watakavyokulima kirahisi.

Hivyo basi nawashauri hifadhini Miili yenu vizuri ili iwavutie wachimbaji wa halali (Waoaji) ndio wakukaribie upate kuheshimika

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

No comments yet. Be the first to share your thoughts!

Related Posts

Mbinu 9 za kuwavutia na kuwateka wanawake kimapenzi

Mbinu 9 za kuwavutia na kuwateka wanawake kimapenzi

Kati ya wanawake na wanaume wote wawili wanahitaji kuvutiwa na wenza wao il... Read More

Kuunda Mipango na Kusimamia Malengo ya Familia Yako

Kuunda Mipango na Kusimamia Malengo ya Familia Yako

Leo hii, tunazungumzia kuhusu jinsi ya kuunda mipango na kusimamia malengo ya familia yako. Ni mu... Read More

Jinsi ya Kusaidia Watoto kujenga Uhusiano wa Karibu na Wazee: Kuheshimu na Kujali

Jinsi ya Kusaidia Watoto kujenga Uhusiano wa Karibu na Wazee: Kuheshimu na Kujali

Leo hii tutaangazia jinsi ya kusaidia watoto kujenga uhusiano wa karibu na wazee. Kwa kawaida, wa... Read More

Kuweka Kipaumbele cha Furaha na Ustawi wa Kila Mwanafamilia katika Familia Yako

Kuweka Kipaumbele cha Furaha na Ustawi wa Kila Mwanafamilia katika Familia Yako

Karibu katika makala hii kuhusu kuweka kipaumbele cha furaha na ustawi wa kila mwanafamilia katik... Read More

Kujenga Mazingira ya Amani na Furaha katika Familia Yako

Kujenga Mazingira ya Amani na Furaha katika Familia Yako

Karibu katika makala hii inayohusu jinsi ya kujenga mazingira ya amani na furaha katika familia y... Read More

Je, watu wanamaaoni gani katika kuelewa na kuheshimu tofauti za kijinsia wakati wa ngono/kufanya mapenzi?

Je, watu wanamaaoni gani katika kuelewa na kuheshimu tofauti za kijinsia wakati wa ngono/kufanya mapenzi?

Kuheshimu tofauti za kijinsia wakati wa ngono/kufanya mapenzi ni jambo muhimu sana. Kila mtu anap... Read More

Kuhamasisha Ushirikiano wa Kujifunza katika Familia: Kuweka Mwelekeo wa Kujenga Maarifa

Kuhamasisha Ushirikiano wa Kujifunza katika Familia: Kuweka Mwelekeo wa Kujenga Maarifa

Kuhamasisha ushirikiano wa kujifunza katika familia ni jambo muhimu sana katika kujenga maarifa n... Read More

Kujenga Ushirikiano wenye Kuaminiana na Kuunda Amani na Furaha katika Familia

Kujenga Ushirikiano wenye Kuaminiana na Kuunda Amani na Furaha katika Familia

Kujenga ushirikiano wenye kuaminiana na kuunda amani na furaha katika familia ni muhimu sana kwa ... Read More

Kukabiliana na Mazoea ya Kukosa Heshima na Uadilifu katika Familia: Kuunda Tabia ya Uaminifu

Kukabiliana na Mazoea ya Kukosa Heshima na Uadilifu katika Familia: Kuunda Tabia ya Uaminifu

Kukabiliana na Mazoea ya Kukosa Heshima na Uadilifu katika Familia: Kuunda Tabia ya Uaminifu

... Read More
Jinsi ya Kuwa na Ushirika mzuri na Marafiki na Familia ya mke wako

Jinsi ya Kuwa na Ushirika mzuri na Marafiki na Familia ya mke wako

Kuwa na ushirika mzuri na marafiki na familia ya mke wako ni muhimu katika kuimarisha uhusiano wenu ... Read More
Kuhamasisha Ushirikiano wa Kiroho na Kuunda Nafasi ya Ibada katika Familia

Kuhamasisha Ushirikiano wa Kiroho na Kuunda Nafasi ya Ibada katika Familia

Kuhamasisha Ushirikiano wa Kiroho na Kuunda Nafasi ya Ibada katika Familia

Familia ni kito... Read More

Je, nini imani ya watu katika kuelewa na kuheshimu mchakato wa uponyaji wakati wa ngono/kufanya mapenzi?

Je, nini imani ya watu katika kuelewa na kuheshimu mchakato wa uponyaji wakati wa ngono/kufanya mapenzi?

Je, umewahi kufikiria jinsi watu wanavyoelewa na kuheshimu mchakato wa uponyaji wakati wa ngono a... Read More

πŸ“– Explore More Articles
🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About