Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/list.ackyshine.com/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Kisa cha kusisimua: Funzo kwa mabinti

Featured Image

Kijana maskini na mwenye maisha duni alimpenda msichana mmoja
Baada ya kutumia muda mwingi kumfikiria msichana huyo,
Siku moja akaamua kumwita na kumwambia ukweli ya kwamba amempenda na angehitaji kumuoa.

Msichana kwa nyodo na jeuri akasema "sikiliza tena unisikilize kwa makini wewe maskini mshahara wako unaopokea kwa mwezi hautoshi hata kwa matumizi yangu ya siku moja sasa utawezaje kunitunza mm!

Kwaufupi mm sio levo zako hivyo basi sahau kabisa kuhusu kunipata mimi
Nenda katafute maskini mwenzio atakae endana na maisha yako,
Mwisho akamwangalia kwa dharau na kisha akaenda zake.

Kwanzia siku ile kijana hakubahatika tena kumuona msichana yule lkn kwakuwa alimpenda basi hakuweza kumsahau kirahisi rahisi siku zilienda na miezi ikasonga,
Miaka 10 baadae wawili hawa walikuja kukutana katika supermarket moja hivi mjini

Kijana alipomwona msichana alitabasamu lakin kabla hajasema chochote msichana kama kawaida yake kwa dharau akasema "we maskin upo! hivi na ww unaingiaga supermarket eh!

Akaongeza huku akisema walau sasahivi nakuona umependeza inaonekana boss wako kakuongeza mshahara
ila kwa kifupi naomba nikwambie sasahivi nimeshaolewa mume wangu anafanya kazi kwenye kampuni moja hivi ya mtu binafsi kampuni maarufu sana na mshahara wa mume wangu ni shilingi milioni moja na laki mbili kwa mwezi na malupulupu mengine kibao,
Unafikiri ww na umaskini wako kuna siku utakuja kufikia kiwango cha mshahara anachopokea mume wangu!

Macho ya kijana yalitokwa na machozi kwa kuona msichana hajabadilika na anaendelea kuwa na maneno ya kejeri na dharau.

Mara hii mume wa yule dada akaingia ktk supermarket
Ile kumuona yule kijana mume akasema "ooh! Kiongozi upo hapa! Leo imekuwa bahati umekutana na mke wangu!" Kisha akamgeukia mke wake na kusema "mke wangu huyu ndo boss wangu

Na unajua nn mke wangu usishangae kumuona boss wangu anakuja kununua vitu mwenyewe hapa supermarket ukweli ni kwamba boss wangu hana mke, anasema alisha wahi kumpenda msichana mmoja lakini hakufanikiwa kumpata na amekuwa na ndoto ya kuja kukutana tena na msichana huyo ndio maana mpaka sasa bado hajaoa.

Akaendelea kusema hebu fikiria ni bahati kiasi gani alikuwa nayo msichana huyo kama angekubali kuolewa na boss wangu leo hii siangekuwa
maisha!

Muda wote msichana alikuwa kimya hajui hata ajibu nn kwa dharau alizomuonyesha kijana tangu mwanzo.


UJUMBE WANGU
Kwenye maisha mambo huweza kubadilika kama vile upepo unavoweza kubadili mwelekeo kulingana na masaa Hivyo basi usimdharau na kumbeza mtu yeyote kwa sababu ya hali aliyonayo,
Maana kila mtu anafungu lake alilopangiwa na Mungu,

Lakini pia kumbuka hakuna ajuaye kesho
Wakati mwingine mtu unayemdharau leo ndiye huyohuyo ambaye kesho utasimulia mafanikio yake.

Kwako unayesoma ujumbe huu nakuombea Mungu akakufungulie milango ya baraka na kuyapa thamani maisha yako ili pale ulipozomewa ukashangiliwe na wale wote waliokudharau punde wakapate kukupigia magoti kwa uweza wa Mungu.

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Director J (User) on May 15, 2025

Good story πŸ’ͺ

Related Posts

Kuweka Kipaumbele cha Kujenga Ushirikiano wa Kujenga na Kuunga Mkono Ndoto za Familia

Kuweka Kipaumbele cha Kujenga Ushirikiano wa Kujenga na Kuunga Mkono Ndoto za Familia

Kujenga ushirikiano wa familia ni jambo muhimu sana katika maisha. Kuweka kipaumbele cha kujenga ... Read More

Kuweka Kipaumbele cha Furaha na Ustawi wa Kila Mwanafamilia katika Familia Yako

Kuweka Kipaumbele cha Furaha na Ustawi wa Kila Mwanafamilia katika Familia Yako

Kuweka kipaumbele cha furaha na ustawi wa kila mwanafamilia katika familia yako ni muhimu sana. K... Read More

Jinsi ya Kuonyesha Upendo kwa Msichana Wako kila Siku

Jinsi ya Kuonyesha Upendo kwa Msichana Wako kila Siku

Wewe ni mpenzi mzuri na unapenda msichana wako kwa dhati. Lakini je, unamwonyesha upendo kila sik... Read More

Vidokezo vya Kuonyesha Shukrani kwa Msichana Wako

Vidokezo vya Kuonyesha Shukrani kwa Msichana Wako

Kumwonyesha shukrani msichana wako ni njia moja ya kumfanya ajisikie muhimu na kupendwa. Kwa hiyo... Read More

Jinsi ya Kuwasiliana na mpenzi wako kuhusu masuala ya kisheria na mikataba

Jinsi ya Kuwasiliana na mpenzi wako kuhusu masuala ya kisheria na mikataba

Leo, tutajadili jinsi ya kuwasiliana na mpenzi wako kuhusu masuala ya kisheria na mikataba. Kama ... Read More

Kuhamasisha Utatuzi wa Migogoro kwa Amani na Furaha katika Familia

Kuhamasisha Utatuzi wa Migogoro kwa Amani na Furaha katika Familia

Kuhamasisha Utatuzi wa Migogoro kwa Amani na Furaha katika Familia

Migogoro kwenye familia... Read More

Jinsi ya Kushinda Changamoto za Ndoa

Jinsi ya Kushinda Changamoto za Ndoa

Kushinda changamoto za ndoa na mke wako ni muhimu katika kudumisha uhusiano imara na wenye furaha. H... Read More
Jinsi ya Kupata Msichana wa Kuwa na Uhusiano wa Mbali

Jinsi ya Kupata Msichana wa Kuwa na Uhusiano wa Mbali

Jinsi ya Kupata Msichana wa Kuwa na Uhusiano wa Mbali

Kuwa na uhusiano wa mbali sio rahisi... Read More

Siri za kumpata mpenzi bora

Siri za kumpata mpenzi bora

Jinsi ya kupata mpenzi bora
1_ lazima na wewe uwe bora kwanza
Read More

Jinsi ya Kuwasiliana kuhusu masuala ya ushiriki wa kijamii na kujitolea katika jamii

Jinsi ya Kuwasiliana kuhusu masuala ya ushiriki wa kijamii na kujitolea katika jamii

Jamii ni muhimu sana kwa maisha ya kila siku na inaweza kuwa na athari kubwa kwa maendeleo ya mtu... Read More

Jinsi ya Kuwasiliana na mpenzi wako kuhusu mipango ya kusafiri na kugundua maeneo mapya

Jinsi ya Kuwasiliana na mpenzi wako kuhusu mipango ya kusafiri na kugundua maeneo mapya

Kuwasiliana na mpenzi wako kuhusu mipango ya kusafiri na kugundua maeneo mapya ni muhimu ili kuhakik... Read More
Njia za Kuimarisha Ushirikiano wa Kijamii na Urafiki katika Mahusiano

Njia za Kuimarisha Ushirikiano wa Kijamii na Urafiki katika Mahusiano

Hakuna kitu kizuri kama kuwa na marafiki wengi na mahusiano bora ya kijamii. Uhusiano mzuri unahi... Read More

πŸ“– Explore More Articles
🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About