Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/list.ackyshine.com/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE ๐Ÿ”
โ˜ฐ
AckyShine

Njia za kuamsha hamu ya kufanya mpenzi ya mwanamke

Featured Image

Njia za kuamsha hamu ya kufanya mpenzi ya mwanamke au Hatua za kufuata kuamsha hisia za mwanamke ni kama ifuatavyo

Andaa mazingira

Andaa mazingira ya kuamsha hisia zake, fanya kitu kitakachowasogeza karibu na kuamsha hisia zake Kwenye akili yake kabla ya kugusa mwili. Mfano, weka mziki au muvi nzuri n.k. Kisha tengeneza mazingira ya kuwa karibu kimwili na kugusana.

ย 

Kaa kwa kubanana naye

Unapokuwa na mwanamke ambaye umemzimia, tafuta kisababu cha kukaa na yeye karibu. Toa simu muangalie pamoja videos kama vile za kuchekesha, ama unaweza kuchukua kitabu/gazeti umuonyeshe habari ambazo anapenda ilimradi tuu muwe karibu.

Usimwonyeshe/usiongee wazi kile unachotaka

Usijaribu kutumia lugha ya kutongoza ama utamfanya aanze kukushuku. Tayari anajua kuwa miguso ya mikono yako ya mara kwa mara inaashiria kitu fulani. Kile unachotakiwa kufanya ni kuivuruga akili yake kwa kuleta mada ambayo itamvutia huku ukiendelea gusa mwili wake

ย 

Anza kutumia lugha ya kumsuka

Wakati mtakuwa mnaendelea unaweza kutumia maneno ya kumsuka lakini yawe ya kichini chini. Mfano unaweza kumwambia "Unanukia utamu", "nimependa kitambaa cha nguo yako","nishawahi kukuambia kuwa macho yako yanapendeza? Nimependa vile yanang'aa nikiwa karibu yako." Maneno kama haya unaweza kumrushia mwanamke huyu bila hata yeye kusongea mbali na wewe. Mwanzo atakuwa anapenda kuyaskia.

Isome miondoko yake

Ukianza kumuona anazungumza polepole na kukusongelea karibu yako, ishara kuu ni kuwa yupo tayari. Kwa hiyo kufikia hapa unaweza kurudia hatua za kumsuka, kumgusa na kujaribu kufikia viungo vyake vingine vya mwili ilimradi nyote wawili mnafurahia.

ย 

Mbusu

Baada ya kuandaa mudi au mazingira na kuamsha hisia zake sasa tafuta namna ya kumbusu. Mbusu taratibu kwa namna ambayo haitamshtua na kumfanya aogope au akatae.

Mhikeshike

Wakati wa kumbusu mshike mwili wake ili kuamsha hisia zake. Anza na mikono kasha rudi kichwani Kwenye nywele zake na kisha maliza sehemu nyingine za kuamsha hisia zake

Usimlazimishe bali mbembeleze

Kama hataki usimlazimishe bali mbembeleze au muache mpaka wakati mwingine atakapokuwa tayari.

ย 

NB: Ni makosa makubwa na ni dhambi kufanya mapenzi kabla ya ndoa. Mbinu hizi zitumie kwa mwenzi wako wa ndoa

Yafahamu Mambo Mbalimbali kuhusiana na Wanawake kwa Ku-Download Kitabu cha SIRI ZA MWANAMKE

Kitabu hiki kina topiki Zifuatazo;
1. Mambo anayohitaji mwanamke kutoka kwa Mwanaume
2. Mambo yanayowavutia wanawake kutoka kwa wanaume
3. Mambo wanayoyapenda wanawake wakati wa kufanya mapenzi
4. Dalili za mwanamke kicheche
5. Maswali ya kujiuliza kama mwanamke anakupenda kwa dhati au anakudanganya
6. Tabia za mwanamke anayekupenda lakini hawezi kusema
7. Ishara za mwanamke aliyevutiwa na wewe
8. Dalili za mwanamke anayeelekea kukukubali
9. Mambo ambayo mwanamke hawezi kukwambia
10. Njia za kudumisha na kuamsha mapenzi na mwanamke

Kitabu hiki niย Soft copy [pdf]ย kwa hiyo unaweza kusoma moja kwa moja kirahisi kabisa hata kwenye simu yako. Utatumiwa Kopi ya kitabu hiki kwenye email yako na utaweza kukihifadhi na kusoma wakati wowote utakaotaka.

[products columns="2" ids="30827"]
AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

No comments yet. Be the first to share your thoughts!

Related Posts

Namna ya Kuboresha Mawasiliano na Ushirikiano na mke wako katika Ndoa

Namna ya Kuboresha Mawasiliano na Ushirikiano na mke wako katika Ndoa

Kuboresha mawasiliano na ushirikiano na mke wako ni muhimu katika kudumisha ndoa yenye afya na furah... Read More
Kuhamasisha Ushirikiano wa Kijamii katika Familia: Kuweka Nafasi ya Kuwa na Marafiki Pamoja

Kuhamasisha Ushirikiano wa Kijamii katika Familia: Kuweka Nafasi ya Kuwa na Marafiki Pamoja

Kuhamasisha Ushirikiano wa Kijamii katika Familia: Kuweka Nafasi ya Kuwa na Marafiki Pamoja

<... Read More
Kutambua na Kukabiliana na Shida za Kufanya Mapenzi: Utafiti na Msaada

Kutambua na Kukabiliana na Shida za Kufanya Mapenzi: Utafiti na Msaada

Wakati mwingine, inaweza kuwa ngumu kuzungumzia shida za kufanya mapenzi. Kwa bahati mbaya, shida... Read More

Kuweka Mazingira ya Kufurahisha na Amani katika Familia Yako

Kuweka Mazingira ya Kufurahisha na Amani katika Familia Yako

  1. Kujenga mahusiano mazuri ya familia ni jambo muhimu katika kuhakikisha kuwa kila mtu an... Read More

Jinsi ya Kusimamia Mipaka na Kanuni katika Familia: Kuwa na Muongozo

Jinsi ya Kusimamia Mipaka na Kanuni katika Familia: Kuwa na Muongozo

Kusimamia mipaka na kanuni katika familia ni muhimu sana kwa ustawi wa familia yako. Ili kuwa na ... Read More

Njia za Kupunguza Mizozo ya Kijinsia katika Mahusiano

Njia za Kupunguza Mizozo ya Kijinsia katika Mahusiano

Mahusiano yanaweza kuwa magumu kwa sababu ya mizozo ya kijinsia. Mizozo hii inaweza kutokea kati ... Read More

Jinsi ya Kuelewa na kuheshimu mipaka ya kazi na mapumziko ya mpenzi wako

Jinsi ya Kuelewa na kuheshimu mipaka ya kazi na mapumziko ya mpenzi wako

Asante Mungu kwa upendo na uhusiano uliopo kati yetu na wapenzi wetu. Kwa wale wote wanaopenda, n... Read More

Jinsi ya Kuwasiliana na Msichana kwa Ujasiri na Uhakika

Jinsi ya Kuwasiliana na Msichana kwa Ujasiri na Uhakika

Kila mtu anapenda kuwasiliana na mtu mwingine kwa ujasiri na uhakika, hasa wanapojaribu kuwasilia... Read More

Njia za Kukabiliana na Kukosa Hamu ya Kufanya Mapenzi: Kurejesha Nguvu ya Mapenzi

Njia za Kukabiliana na Kukosa Hamu ya Kufanya Mapenzi: Kurejesha Nguvu ya Mapenzi

Kukosekana kwa hamu ya kufanya mapenzi ni tatizo ambalo huathiri watu wengi, haswa wapenzi. Tatiz... Read More

Njia za Kujenga Heshima na Usawa katika Kufanya Mapenzi: Kupigania Mahusiano ya Kijinsia yenye Afya

Njia za Kujenga Heshima na Usawa katika Kufanya Mapenzi: Kupigania Mahusiano ya Kijinsia yenye Afya

Mapenzi ni sehemu muhimu sana ya maisha yetu, lakini wakati mwingine yanaweza kuwa magumu kuyashu... Read More

Jinsi ya Kuweka Malengo ya Ndoa na mke wako

Jinsi ya Kuweka Malengo ya Ndoa na mke wako

Kuweka malengo ya ndoa na mke wako ni hatua muhimu katika kujenga msingi imara na kufikia furaha na ... Read More
Je, nini imani ya watu katika kuelewa na kuheshimu mipaka ya kimwili katika uhusiano wa ngono wakati wa kufanya mapenzi?

Je, nini imani ya watu katika kuelewa na kuheshimu mipaka ya kimwili katika uhusiano wa ngono wakati wa kufanya mapenzi?

Leo tutazungumzia kuhusu imani za watu katika kuelewa na kuheshimu mipaka ya kimwili katika uhusi... Read More

๐Ÿ“– Explore More Articles
๐Ÿ  Home ๐Ÿ“– Reading ๐Ÿ–ผ๏ธ Gallery ๐Ÿ’ฌ AI Chat ๐Ÿ“˜ About