Bangi hupunguza mawazo kwa muda mfupi kwani huleta hisia za furaha na utulivu. Lakini hata hivyo matatizo hubakia palepale na mara nyingi huongezeka hapo baadaye. Watu wanaovuta bangi huikimbia dunia halisi na huingia dunia ya ndoto kwa muda mfupi. Mara hisia zilizoletwa na bangi zinapoondoka, aghalabu matatizo huwa mabaya zaidi kuliko mwanzo. Matumizi ya bangi huahirisha na kuchelewesha tu utatuzi wa matatizo.
Je, ni kweli kwamba uvutaji wa bangi hupunguza mawazo?
Date: April 17, 2022
Author: SW - Melkisedeck Shine
Comments
Please log in or register to leave a comment or reply.
Related Posts
Je, watu huchanganyikiwa baada ya matumizi ya dawa za kulevya?
Kuna i imani potofu kwamba wote wenye matatizo ya akili wamekuwa hivyo kutokana na matumizi ya da... Read More
Jinsi ya Kujenga Uaminifu katika Uhusiano wako na Msichana
Jinsi ya Kujenga Uaminifu katika Uhusiano wako na Msichana
Katika uhusiano wowote, uaminif... Read More
Kwa nini dawa hutengenezwa na kutumika hospitalini wakati zina madhara?
Baadhi ya dawa za kulevya pamoja na dawa za kutibu, hutumika hospitali kuokoa maisha na kupunguza... Read More
Kwa nini watu wanakunywa pombe?
Unywaji wa pombe ni sehemu ya utamaduni wa Tanzania na nchi
nyinginezo duniani.
Watu h... Read More
Je, kuna matatizo yoyote kama mdomo wa msichana utagusana na shahawa?
Kama mpenzi wako hatakuwa na maambukizi ya magonjwa ya zinaa hakuna madhara ya kiafya. kama shaha... Read More
Jinsi ya Kuepuka Kupotoshwa kuhusu Ngono na Mitandao ya Kijamii
Jinsi ya Kuepuka Kupotoshwa kuhusu Ngono na Mitandao ya Kijamii π±ππ
Karibu vijana... Read More
Watu wanaoua Albino wanapata faida gani?
Hakuna uchunguzi wa kisayansi ambao umeonyesha faida
yoyote inayopatikana kwa kuua Albino.
Wakati wa makuzi/ kubalehe/ kuvunja ungo, ni mabadiliko gani yanatokea kwenye miili ya wasichana?
Balehe ni kipindi cha mpito kati ya utoto na utu uzima, ambapo watoto wa ki... Read More
Haki zinazokiukwa iwapo mvulana au msichana wamelazimishwa kuoa au kuolewa
Nani na lini unaoa ni maamuzi yako binafsi wewe mwenyewe,
hata kama rafiki na wazazi wanakus...
Read More
Je, kuna umuhimu wa kufanya ngono/kufanya mapenzi kwa mara kwa mara katika uhusiano?
Je, kuna umuhimu wa kufanya ngono/kufanya mapenzi kwa mara kwa mara katika uhusiano? Hili ndilo s... Read More
Je, watu wanapendelea ngono/kufanya mapenzi ya mvutano au ngono/kufanya mapenzi ya kupumzika?
Je, watu wanapendelea ngono/kufanya mapenzi ya mvutano au ngono/kufanya mapenzi ya kupumzika? Hil... Read More
Kwa nini watu wengine wanaamua kutoa mimba?
Hapa Tanzania utoaji wa mimba hauruhusiwi kisheria. Hata hivyo watu wengine wanaamua kutoa mimba ... Read More
No comments yet. Be the first to share your thoughts!