Ualbino husababishwa na nini?
Date: April 15, 2022
Author: SW - Melkisedeck Shine
Watu wenye ualbino hawana uwezo kabisa au wana uwezo mdogo
wa kuwa na rangi kwenye ngozi zao, nywele na macho. Rangi hii
huitwa โmelaniniโ. Rangi ya ngozi itategemeana na kiasi cha
melanini kilichopo. Hali ya kuzalisha melanini imekaa katika
vinasaba vyetu. Kama vinasaba vya kutoa melanini havipo au
vimebadilishwa madhara yake ni ukosefu au upungufu wa rangi.
Kwa hiyo hali ya ualbino ni ya kurithi. Inaweza kurithishwa
kutoka kwa wazazi kwenda kwa mtoto.
Please log in or register to leave a comment or reply.
Related Posts
Njia pekee ya kujitambua kama umepata maambukizo ya
VVU ni kufanya kipimo cha damu (HIV-test...
Read More
Kwa kawaida mtu anapoamua kwenda kupima mara nyingi anakuwa na sababu za kumfanya ahisi kuwa au k...
Read More
Je, unafikiri ni muhimu kuwa na uelewa wa masuala ya afya na usalama katika ngono/kufanya mapenzi...
Read More
Albino ni binadamu kama alivyo binadamu mwingine na ana haki
sawa za kuishi na kufaidi kuwep...
Read More
Si rahisi kusema ni kitendo kipi kilicho cha kawaida na kisicho cha kawaida. Kulamba ni jambo linalo...
Read More
Kama umebakwa au kulazimishwa kujamiiana unaweza kupata
huduma katika hospitali, kituo cha a...
Read More
Je, kuna umuhimu wa kujadili matarajio ya ngono/kufanya mapenzi katika uhusiano? Swali hili ni mo...
Read More
Je, ni vipi kuepuka shinikizo la kufanya ngono? Hii ni swali ambalo vijana wengi hujikuta wakijiu...
Read More
Kama mvulana, unajua kuwa mazungumzo na msichana yako yanaweza kuwa magumu sana. Unaweza kuwa na ...
Read More
Vidokezo vya Kufanya Msichana Aone Thamani Yako
Mara nyingi, kama wanaume, tunataka kuonye...
Read More
Je, nini imani ya watu katika kuelewa na kuheshimu ukuaji wa kingono/kufanya mapenzi wa mwenza wa...
Read More
Jinsi ya Kujikinga na Maambukizi ya Kisonono na Kaswende ๐
Karibu sana kwenye makala hi...
Read More
No comments yet. Be the first to share your thoughts!