Matumizi ya Tangawizi kutibu shinikizo la chini la damu
Date: April 10, 2022
Author: SW - Melkisedeck Shine
Hatua za kufuata
- Chukua Kijiko kikubwa kikubwa cha tangawizi mbichi iliyoparuzwa
- Changanya na Kikombe kimoja cha maji ya moto
- Chemsha katika moto kwa dakika 12 hivi
- Kisha ipua na uchuje
- Ikipoa kidogo kunywa yote,
- fanya hivi mara 2 kwa siku kila siku
Please log in or register to leave a comment or reply.
Related Posts
Ili mtoto azaliwe akiwa na afya njema pamoja na akili timamu, akiwa tumboni lazima alishwe lishe ...
Read More
Kula lishe bora
Chakula unachokula kina mchango mkubwa katika kutibu tatizo hili. Vyakula...
Read More
Maganda ya ndizi ni dawa nyingine nzuri ya kuondoa chunusi. Unachohitaji ni kuwa tu na maganda ya...
Read More
Tatizo hili huwakumba watu wengi sana kwenye jamii yetu lakini kwa bahati mbaya watu wengi huchuk...
Read More
Mwili wa binadamu umeundwa kwa organs na mifumo mbalimbali ili kuuwezesha kufanya kazi sawia. Mfa...
Read More
Ulaji wa vyakula vingi vya wanga na mafuta ni chanzo kikubwa cha unene na uzito kuongezeka. Vyaku...
Read More
Kila mmoja wetu anaweza kuwa na sababu tofauti inayoweza kumsababishia msongo (stress). Sababu ku...
Read More
No comments yet. Be the first to share your thoughts!