Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/list.ackyshine.com/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Mjini shule. Soma hii

Featured Image

Kuna mdada nilimkopesha pesa kwa ahadi kuwa baada ya wiki moja atanirejeshea pesa zangu.

Baada ya wiki moja nampigia simu hapokei simu zangu, nimempigia zaidi ya mara kumi (10) bila ya mafanikio!

Kila nikimpigia simu hajibu simu zangu, nikahamua kumwandikia message kwa WhatsApp…!

_Hello Mamu, Nakupigia simu sio kukudai pesa zangu, ila nataka kukwambia kuwa hapa Ubungo Plaza kuna wadada wawili walikuwa wanapigana kumgombea Mumeo (Baba Nang'oto). Ilikuwa vuta nikuvute na mumeo alikuwa kasimama tu anawaangalia akitabasamu. Baada ugomvi kwisha akaondoka na mmoja wao na kumwacha yule mwingine akitukana matusi kama ana akili nzuri._

β€”
_*Kisha nikaituma ile message*_

Baada ya dakika kama mbili hivi, akanipigia simu nami wala sikupokea simu yake… Akapiga tena na tena kama mara ishirini hivi wala sikupokea.

*Akatuma message akiniuliza…*

_Hao wanawake unawajuwa, …mume wangu na huyo mwanamke wameelekea wapi, wewe unawajuwa hao wanawake waliopigana, yaani hapa nimechanganyikiwa kwa kweli…!_

Nikaisoma message yake wala sikuijibu, nikamchunia kimyaaa…!

Akanipigia tena simu mara tano, sikupokea simu zake, kimyaaa…! Akaniandikia message nyingine….

*…Nakupigia jamani pokea simu basi nina pesa zako nataka nikupe… Naomba basi tukutane mjini unihadithie vizuri…!*

Nami nikamjibu…

_Nitumie hizo pesa kwenye Namba yangu ya Mpesa, ili nipitie sheli kujaza mafuta nije mjini kukupitia nikupeleke mahala walipo…!_

Baada ya dakika 2 message ikaingia, kuangalia balance yangu ya Mpesa, nikakuta kaingiza pesa zangu zote ninazo mdai…!

Nikazima simu nikajilalia zangu kimyaaa…. Kama sio mie!

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Elizabeth Malima (Guest) on July 18, 2024

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

Lydia Mzindakaya (Guest) on July 15, 2024

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

Elizabeth Mtei (Guest) on June 24, 2024

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

Janet Sumaye (Guest) on May 25, 2024

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Tabitha Okumu (Guest) on May 25, 2024

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Khadija (Guest) on April 14, 2024

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

Mary Kidata (Guest) on March 22, 2024

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

Hellen Nduta (Guest) on March 8, 2024

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

Victor Sokoine (Guest) on February 23, 2024

πŸ˜‚πŸ˜†

Shani (Guest) on February 16, 2024

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

Fikiri (Guest) on December 29, 2023

πŸ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

Abubakar (Guest) on December 11, 2023

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Patrick Akech (Guest) on December 3, 2023

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Shukuru (Guest) on November 27, 2023

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Joseph Kiwanga (Guest) on November 17, 2023

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

Lydia Mahiga (Guest) on November 13, 2023

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Alice Mwikali (Guest) on September 24, 2023

πŸ˜‚πŸ˜…

Elizabeth Mtei (Guest) on September 22, 2023

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Jackson Makori (Guest) on September 7, 2023

πŸ˜‚πŸ˜‚

David Chacha (Guest) on August 31, 2023

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Elijah Mutua (Guest) on August 31, 2023

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

John Lissu (Guest) on August 23, 2023

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

Anna Mahiga (Guest) on August 10, 2023

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

Lucy Wangui (Guest) on July 24, 2023

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

Bernard Oduor (Guest) on July 21, 2023

Hizi jokes ni za kipekee sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Joseph Kitine (Guest) on July 13, 2023

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

Fredrick Mutiso (Guest) on June 26, 2023

😁 Kicheko bora ya siku!

Sarah Achieng (Guest) on June 22, 2023

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

Hawa (Guest) on June 8, 2023

πŸ˜… Bado nacheka!

Jane Muthoni (Guest) on April 14, 2023

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Joseph Kitine (Guest) on April 14, 2023

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Mariam (Guest) on February 19, 2023

🀣 Sikutarajia hiyo!

Joy Wacera (Guest) on February 2, 2023

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

Ann Awino (Guest) on January 31, 2023

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

Guest (Guest) on July 31, 2025

Nice nimependa hadi raha duh! Mko pw san

John Kamande (Guest) on January 24, 2023

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Nicholas Wanjohi (Guest) on January 14, 2023

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Bahati (Guest) on December 25, 2022

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Mary Mrope (Guest) on November 18, 2022

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Daniel Obura (Guest) on November 11, 2022

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

Charles Wafula (Guest) on October 29, 2022

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Paul Ndomba (Guest) on October 28, 2022

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

Khalifa (Guest) on October 14, 2022

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Stephen Amollo (Guest) on October 11, 2022

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Arifa (Guest) on July 9, 2022

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

Violet Mumo (Guest) on July 5, 2022

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

David Nyerere (Guest) on June 25, 2022

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Kijakazi (Guest) on June 14, 2022

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

Anna Sumari (Guest) on May 29, 2022

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

Susan Wangari (Guest) on May 17, 2022

🀣 Ninaituma sasa hivi!

Francis Njeru (Guest) on April 26, 2022

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

Esther Nyambura (Guest) on April 13, 2022

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

Ramadhan (Guest) on April 8, 2022

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Patrick Akech (Guest) on February 24, 2022

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Sarah Mbise (Guest) on February 8, 2022

🀣πŸ”₯😊

Frank Sokoine (Guest) on January 24, 2022

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

Charles Mrope (Guest) on January 24, 2022

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

John Lissu (Guest) on January 6, 2022

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Kenneth Murithi (Guest) on December 27, 2021

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Faith Kariuki (Guest) on October 31, 2021

🀣 Hii imewaka moto!

Related Posts

Ingekua wewe ndio baba au mama ungefanjaje?

Ingekua wewe ndio baba au mama ungefanjaje?

Baba na mama baada ya kurudi safari pamoja wakakuta BARUA iko mezani SEBULENI ikisema…. "Baba n... Read More

Kilichowakuta boss, mke wake na mfanyakazi wao

Kilichowakuta boss, mke wake na mfanyakazi wao

Bakari ni house boy mara nyingi huiba wine ya boss wake na kisha kuongeza maji kwenye chupa ili b... Read More

Ndoa zina mambo, cheki haya mambo ya mtu na mke wake

Ndoa zina mambo, cheki haya mambo ya mtu na mke wake

Mke: mume wangu leo 2badilishe stail kwani nimechoka kla siku hiyo hiyo tu
Mme: kwel mke wan... Read More

Jamaa mpenda michepuko kapatikana

Jamaa mpenda michepuko kapatikana

…Upo kazini umeacha familia yako nyumbani mara ghafla unapigiwa simu kutazama unakutana na no n... Read More

Padri Akimbia wakati wa kuungamisha, chanzo ni hiki

Padri Akimbia wakati wa kuungamisha, chanzo ni hiki

Padri alikuwa amekaa katika confession booth kanisani
peke yake.
Mara... Read More

Huu ndio Umuhimu wa English katika mapenzi

Huu ndio Umuhimu wa English katika mapenzi

HUU NDO UMUHIMU WA ENGLISH KATIKA MAPENZI

jaribu kumwita mpenzi wako "my sweet potato" a... Read More

Duh, hii sasa kazi

Duh, hii sasa kazi

Wakati unafikiria dingi yako afe ili urithi nyumba, dingi nae anafikiria uanze kufa ili apangishe... Read More

SOMA HII: Kama wewe ndo baba au mama hapa ungefanyaje!???

SOMA HII: Kama wewe ndo baba au mama hapa ungefanyaje!???

Bakari ni house boy mara nyingi huiba wine ya boss wake na kisha kuongeza maji kwenye chupa ili b... Read More

Cheka na methali

Cheka na methali

1.Simba mwendapole =Huyo ni Sharobaro
2.Asiyefunzwa na Mamae= Ujue Mama hajapitia Ualimu
Read More

Ni wazo tuu!

Ni wazo tuu!

Siyo watu wote wanaokuuliza kwamba watoto hawajambo,wanakuuliza kwa nia nzuri,wengine wanaulizia ... Read More

Kilichotokea baada ya bibi na babu kukumbukia mahaba ya ujanani

Kilichotokea baada ya bibi na babu kukumbukia mahaba ya ujanani

Mzee wa miaka 60 alimwambia mkewe, leo nataka tukumbukie enzi zetu kutongozana, mke akajibu sawa, in... Read More
Mkwe kazua mpya, Hii dunia ina mambo sana

Mkwe kazua mpya, Hii dunia ina mambo sana

Mama mkwe alimuuliza mkwewe "binti" samahani mbona mtoto hajafanana na mwanangu kabisa?

Bin... Read More

πŸ“– Explore More Articles
🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About