Namna ya kutunza kuku na kuwakinga na magonjwa
Date: December 26, 2020
Author: SW - Melkisedeck Shine
1. Zingatia chanjo muhimu kwa kuku ili kuzuia magonjwa kama utakavyoshauriwa na mtaalamu wa mifugo.
Chanjo huanza katika wiki ya kwanza (mfano chanjo ya kuzuia sotoka) na inaweza kurudiwa baadaye.
2. Epuka kuweka kuku wengi mahali pamoja.
Ni rahisi magonjwa kuenea kwa haraka kuku wanaporundikana.
3. Kumbuka kutenganisha vifaranga na kuku wakubwa (isipokuwa kutoka kwa mama) kwa sababu vifaranga ni rahisi na wepesi sana kushambuliwa na magonjwa.
4. Hakikisha unaweka mipaka na madaraja ya sehemu za kuku kuzunguka/kucheza.
Please log in or register to leave a comment or reply.
Related Posts
Mbolea ya mboji hutokana na mabaki ya majani na miti. Majani na miti yanapooza hugeuka na kutenge...
Read More
Muhogo Inazuia Minyoo na vidukari.
Hatua za Kutayarisha dawa
Kutifua udongo ni jambo la muhimu sana ili kuufanya udongo kuwa bora.
<...
Read More
Ili kulima tikiti maji, inakubidi uwe na sehemu ya kutosha, yenye jua la kutosha, maji mengi na a...
Read More
Vitungu saumu vina manufaa sana katika kukabiliana na aina mbalimbali za wadudu waharibifu na baadhi...
Read More
1. Usiuchoshe sana udongo
Udongo ni kiungo muhimu sana katika uzalishaji wa mazao...
Read More
Na, Patrick Tungu
Pilipili hoho ni zao la jamii ya pilipili isiyo kali, tunda lake ni nene ki...
Read More
Mbinu hizo ni hizi zifuatazo;
Ukaguzi wa Kila siku
β’ Hakikisha unasafisha vyombo vya kulishia na kunywe...
Read More
"Cannibalism,"
Kudonoana kwa kuku ni tatizo linalo wa sumbua wengi, ni m...
Read More
No comments yet. Be the first to share your thoughts!