Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/list.ackyshine.com/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Mme amemfuma fundi wa kitanda na mke wake, cheki walichokua wanafanya

Featured Image

Kuna mama mmoja ameolewa na wanapendana sana na mmeo. siku moja mme wake alisafiri kikazi (safari ya zaidi ya mwezi) nje ya mkoa. Siku mmeo anarudi, yule mama alimtafuta fundi seremala amrekebishie chaga za kitanda zilikuwa zimeharibika, kwa ajili ya maandalizi ya mechi ya above +18.

Wakati fundi anaendelea na kazi kumbe mmeo huyu dada alishafika. hakutaka kumjulisha mkeo, kwa nia nzuri tu ya kumfanyia suprise, kwani alikuja na mazaga zaga kibao. Hiyo aliingia kwa kunyatia hadi kwenye mlango wa chumbani kwao. Ghafla akasikia mazungumzo ya mkeo na fundi ndani. Mazungumzo yalikuwaje? fuatilia hapa chini

Mama X: Fanya haraka mme wangu amekaribia
Fundi: Nakaribia kumaliza, nisaidie kuchomeka vizuri upande wako (akikusudia chaga)
Mama X: Mbona haiingii
Fundi: Ingiza kwa upande upande
Mama X: Sukuma kwa nguvu
Fundi: Angalia usiumie
Mama X: Hamna shida imeingia

Wakati jamaa akiendelea kusikiliza mlangoni, fundi akaweza godoro juu ya kitanda na mama x akajitupa kitandani kujaribu kama kimetengamaa. mara chaga akachomoka na kuanguaka chini. Nini kilifuata

Mama x: Uwiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii iiiii(miguno) "my God, mbona hivi"
Fundi : Pole sana
Mama X: sasa?
Fundi: Ngoja nichomeke tena
Mama X: Yaan wewe, utaacha mme wangu afike hatujamaliza
Fundi: Usijali namaliza sasa hivi

Baada ya dakika chache, fundi akamuaga mama na kumwambia tayari, sasa naona umefurahi. Kutoka tu mlangoni akakutana uso kwa uso na jamaa amekunja ndita kama matuta ya viatu. Gues what happened?

Kitu gani kitatokea kisia toa maoni yako kama ni ww ungefanyaje?

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Edith Cherotich (Guest) on July 23, 2024

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

Guest (Guest) on February 15, 2026

Jaman stori inafurahsha je nin kiliendlea

Dorothy Mwakalindile (Guest) on June 18, 2024

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

Peter Mugendi (Guest) on June 6, 2024

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

Monica Nyalandu (Guest) on May 26, 2024

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

Saidi (Guest) on May 25, 2024

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

Henry Mollel (Guest) on May 23, 2024

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

Ann Awino (Guest) on May 6, 2024

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Brian Karanja (Guest) on April 26, 2024

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

Victor Sokoine (Guest) on March 31, 2024

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

Esther Nyambura (Guest) on February 25, 2024

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Patrick Mutua (Guest) on February 12, 2024

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

Amani (Guest) on January 14, 2024

πŸ˜† Hiyo punchline!

Nora Kidata (Guest) on December 29, 2023

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Esther Cheruiyot (Guest) on December 24, 2023

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Mary Kendi (Guest) on December 17, 2023

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

Guest (Guest) on November 9, 2025

MM!

Joseph Njoroge (Guest) on December 11, 2023

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

Habiba (Guest) on December 10, 2023

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Nora Kidata (Guest) on December 2, 2023

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Paul Kamau (Guest) on November 25, 2023

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Lydia Mutheu (Guest) on November 13, 2023

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Mary Sokoine (Guest) on November 12, 2023

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Lydia Mahiga (Guest) on October 7, 2023

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Josephine Nduta (Guest) on September 28, 2023

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£

Alice Wanjiru (Guest) on September 22, 2023

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Alice Wanjiru (Guest) on September 7, 2023

🀣 Hii imenigonga vizuri!

James Kimani (Guest) on September 1, 2023

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Warda (Guest) on August 4, 2023

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Jane Muthui (Guest) on July 21, 2023

🀣 Kichekesho bora kabisa!

Rose Waithera (Guest) on July 16, 2023

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Mwanaisha (Guest) on July 15, 2023

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

Nora Lowassa (Guest) on June 15, 2023

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

Arifa (Guest) on May 26, 2023

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

Shukuru (Guest) on April 27, 2023

πŸ˜† Ninakufa hapa!

Anna Sumari (Guest) on April 16, 2023

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Benjamin Kibicho (Guest) on April 12, 2023

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Rose Mwinuka (Guest) on April 3, 2023

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

Mary Kidata (Guest) on March 28, 2023

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜ŠπŸ˜†

Elizabeth Mrema (Guest) on March 28, 2023

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Andrew Mchome (Guest) on March 23, 2023

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

Nancy Akumu (Guest) on March 16, 2023

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

Jacob Kiplangat (Guest) on March 10, 2023

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Elizabeth Mrema (Guest) on February 19, 2023

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

Anthony Kariuki (Guest) on January 16, 2023

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

Monica Lissu (Guest) on January 12, 2023

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Chris Okello (Guest) on January 9, 2023

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

Joseph Njoroge (Guest) on December 6, 2022

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Andrew Mahiga (Guest) on December 1, 2022

Asante Ackyshine

Robert Okello (Guest) on November 16, 2022

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†

Mohamed (Guest) on November 16, 2022

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

Lucy Mahiga (Guest) on October 1, 2022

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

Mariam Kawawa (Guest) on September 23, 2022

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Mary Kendi (Guest) on September 16, 2022

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Ali (Guest) on September 9, 2022

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Linda Karimi (Guest) on September 2, 2022

πŸ˜† Kali sana!

Francis Mtangi (Guest) on August 18, 2022

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

Jane Muthui (Guest) on August 13, 2022

😊🀣πŸ”₯

John Mwangi (Guest) on August 6, 2022

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Athumani (Guest) on July 10, 2022

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Related Posts

Kilichompata huyu jamaa akiwa anaangalia mpira mechi kali na mke wake

Kilichompata huyu jamaa akiwa anaangalia mpira mechi kali na mke wake

WIFE: Baibie, yule ni nani? Ni Chris Brown??
HUSBAND: Yule ni Theo Walco... Read More

Cheka kidogo hapa. Huyu Chizi Kachizika Kweli

Cheka kidogo hapa. Huyu Chizi Kachizika Kweli

Mvaa milegezo alizidiwa na pombe akaenda kulala dampo,

Chizi mwingne naye akaenda hukohuko,... Read More

Duh, huyu mama alichokifanya

Duh, huyu mama alichokifanya

Mke:Β Naelekea london, nikuletee zawadi gani?

Mume:Β kitu... Read More

Tofauti ya mke na mchepuko!!!

Tofauti ya mke na mchepuko!!!

MKE NA MCHEPUKO.

Mke ni kama Tv na Mchepuko ni kama Simu.
Nyumbani unaangalia Tv lakin... Read More

Wazo la jioni hii

Wazo la jioni hii

πŸ“’WAZO LA JIONI HII πŸ“’

KAMA MWAKA JANA ULIPIGA HATUA NA HUJAFIKIA MALENGO MWAKA HUU... Read More

Ingekua wewe ndio baba au mama ungefanjaje?

Ingekua wewe ndio baba au mama ungefanjaje?

Baba na mama baada ya kurudi safari pamoja wakakuta BARUA iko mezani SEBULENI ikisema…. "Baba n... Read More

Kuna watu makauzu ila huyu kazidi.. Soma hii!

Kuna watu makauzu ila huyu kazidi.. Soma hii!

Kakubaliana vizuri na msichana fulani hivi kuwa aibuke gheto, mchizi kajipanga vizuri kabisa…. ... Read More

Cheki kilichompata huyu dada!!

Cheki kilichompata huyu dada!!

NDOA inafungwa KANISANI Mchungaji akauliza-Yeyote mwenye Pingamizi La Ndoa hii kufungwa aje Mbel... Read More

Angalia huyu jamaa alivyoachika na msichana wake kwa kujidai kuongea kingereza na mwishowe kuchanganya maneno

Angalia huyu jamaa alivyoachika na msichana wake kwa kujidai kuongea kingereza na mwishowe kuchanganya maneno

MSICHANA: Mbona jana nimekupigia simu hujapokea?
JAMAA: please beby forget me.
MSichAnA... Read More

Angalia hawa vichaa walichokifanya, Vichaa bwana, ni noma!

Angalia hawa vichaa walichokifanya, Vichaa bwana, ni noma!

Vichaa walipanga kutoroka, wakakubaliana wamnyonge mlinz... Read More

Kama mpezi wako akikuita MAMITO Unatakiwa umjibu hivi

Kama mpezi wako akikuita MAMITO Unatakiwa umjibu hivi

Akina dada mpenzi wako akikuita MAMITO usikubali

na yeye mwite MAF... Read More

Mlevi kazua tafrani, angalia alichokifanya hapa

Mlevi kazua tafrani, angalia alichokifanya hapa

MLEVI mmoja aliingia baa akavuta kiti na kukaa mhudumu akatokea kumsikiliza.
MHUDUMU: Nikusa... Read More

πŸ“– Explore More Articles