Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/list.ackyshine.com/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Wachaga kweli kiboko: Mcheki huyu mchaga na mbuzi!!!

Featured Image

Mchaga alinunua mbuzi akamwambia mpishi Nyama nusu ipike pilau na ingine itie kwenye friza. Kichwa fanya supu, miguu fanya mchuzi chukuchuku. Ngozi usitupe tutafanya mswala, utumbo pikia ndizi na mifupa tutawauzia wenye mbwa. Kinyesi kihifadhi kwa mbolea ya bustani.

Mpishi akamuuliza Hutaki na sauti ya mbuzi tufanye ring tone kwenye simu yako? Mchaga akajibu Yesuu! hivi inawezekana? bac fanya hivyo tuwauzie na wengine hiyo ringtone. πŸ˜„πŸ˜„

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Dorothy Majaliwa (Guest) on November 24, 2017

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Isaac Kiptoo (Guest) on October 8, 2017

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

Ramadhan (Guest) on September 27, 2017

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Anna Kibwana (Guest) on July 28, 2017

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

George Wanjala (Guest) on June 23, 2017

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Sumaya (Guest) on June 11, 2017

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

James Kawawa (Guest) on May 23, 2017

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

Diana Mumbua (Guest) on May 10, 2017

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

David Musyoka (Guest) on March 17, 2017

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Robert Okello (Guest) on February 22, 2017

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

Bahati (Guest) on February 16, 2017

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Agnes Lowassa (Guest) on January 17, 2017

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Frank Macha (Guest) on January 15, 2017

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Paul Ndomba (Guest) on January 2, 2017

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Irene Makena (Guest) on December 13, 2016

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Thomas Mwakalindile (Guest) on November 23, 2016

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Rose Lowassa (Guest) on November 17, 2016

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

Lydia Mahiga (Guest) on October 12, 2016

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

Abdillah (Guest) on September 29, 2016

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Joyce Aoko (Guest) on August 30, 2016

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

Mjaka (Guest) on August 21, 2016

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Nancy Kabura (Guest) on June 30, 2016

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

Arifa (Guest) on June 10, 2016

Hii kichekesho inastahili tuzo! πŸ†

Zulekha (Guest) on May 31, 2016

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

Catherine Naliaka (Guest) on May 30, 2016

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

Peter Mbise (Guest) on May 12, 2016

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Neema (Guest) on April 16, 2016

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Christopher Oloo (Guest) on April 15, 2016

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Ruth Kibona (Guest) on April 13, 2016

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Faiza (Guest) on March 13, 2016

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Thomas Mwakalindile (Guest) on February 28, 2016

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

Lucy Mahiga (Guest) on February 22, 2016

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Aziza (Guest) on February 17, 2016

😁 Hii ni dhahabu!

Simon Kiprono (Guest) on February 4, 2016

Hii joke ni ya kufurahisha! 🀣🀣

David Musyoka (Guest) on January 9, 2016

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Rose Mwinuka (Guest) on December 24, 2015

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

Elizabeth Malima (Guest) on December 12, 2015

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Rose Lowassa (Guest) on December 4, 2015

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

Mazrui (Guest) on November 19, 2015

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Philip Nyaga (Guest) on November 17, 2015

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

George Ndungu (Guest) on November 8, 2015

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Hawa (Guest) on October 16, 2015

πŸ˜… Nilihitaji hii!

Ann Wambui (Guest) on October 15, 2015

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ˜†

Grace Wairimu (Guest) on September 14, 2015

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

Betty Akinyi (Guest) on September 13, 2015

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Miriam Mchome (Guest) on September 8, 2015

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Halima (Guest) on September 8, 2015

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

Jackson Makori (Guest) on August 6, 2015

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Mariam Hassan (Guest) on July 6, 2015

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

Peter Tibaijuka (Guest) on June 20, 2015

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

David Kawawa (Guest) on May 19, 2015

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Salma (Guest) on May 2, 2015

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

Sarah Karani (Guest) on April 15, 2015

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

Agnes Njeri (Guest) on April 14, 2015

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Aziza (Guest) on April 12, 2015

πŸ˜… Bado nacheka!

Hashim (Guest) on April 7, 2015

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

Related Posts

Hapo sasa akili itakuja

Hapo sasa akili itakuja

Pale unapo gundua kuwa yule ulie mtukana kwenye bajaji ndio boss anaeenda kukufanyia inte... Read More

Huu ndio mlolongo wa michepuko kuwahi kutokea kati ya mke, mume mwanafunzi na boss

Huu ndio mlolongo wa michepuko kuwahi kutokea kati ya mke, mume mwanafunzi na boss

BOSS anamwambia sekretari wake: Wiki hii tutaenda wote Serena Hotel kwenye ... Read More

Huyu mke ni shida!

Huyu mke ni shida!

MUME: "Unajua mi unanishangaza sana, kila siku nakusikia mara useme TV yangu, gari yangu, chumban... Read More

Kingereza sio mchezo, angalia huyu anavyojichanganya

Kingereza sio mchezo, angalia huyu anavyojichanganya

Jamaa fulani alikuwa ame2lia beach mzungu akapita akamuliza "Are u relax ? Jamaa akawa hamuelewi... Read More

Google, Facebook, WhatsApp, Internet na Umeme nani zaidi?

Google, Facebook, WhatsApp, Internet na Umeme nani zaidi?

Google alisema : mimi nina kila kitu

Facebook ikasema : mimi najua watu wote

Wha... Read More

Duh! Kizungu kigumu, cheki alichojibu huyu

Duh! Kizungu kigumu, cheki alichojibu huyu

```Nimetoka interview hapa ya job flani

Wameniuliza "so how far did you go with your edu... Read More

Angalia huyu secretary anavyomjibu bosi wake

Angalia huyu secretary anavyomjibu bosi wake

Boss mmoja aliingia kazini kwake kasahau kufunga zipu ya suruali yake sasa secretary wake akamfuata ... Read More
Kwa nini watu hawapendi hesabu!! Sababu hii hapa!

Kwa nini watu hawapendi hesabu!! Sababu hii hapa!

Sababu ni hii

AL-SHABAB
AL-QAEDA
Kwenye MATHEMATICS pia kuna kundi linaitwa

Read More
Huyu jamaa bonge la bwege, ungekua wewe ndiyo rafiki ake ungemwambiaje?

Huyu jamaa bonge la bwege, ungekua wewe ndiyo rafiki ake ungemwambiaje?

RAFIKI: Vipi mbona leo huna uchangamfu
JAMAA: Wanawake bwana, mwanamke h... Read More

Je, hii ni kweli kwa wale wasichana wasiojibu meseji WhatsApp!!!?

Je, hii ni kweli kwa wale wasichana wasiojibu meseji WhatsApp!!!?

Ukiona hivyo ujue ndio hivi

Mwanaume mwenzangu ukiona unamtext msg msichana WhatsApp kaisom... Read More

Duh, hii sasa kazi

Duh, hii sasa kazi

Wakati unafikiria dingi yako afe ili urithi nyumba, dingi nae anafikiria uanze kufa ili apangishe... Read More

Mzee wa kichaga na hela zake. Angalia anachofanya

Mzee wa kichaga na hela zake. Angalia anachofanya

Mzee moja alikuwa kila usiku anapita mbele ya bank anasimama,kisha anapiga honi,akitoka askari ml... Read More

πŸ“– Explore More Articles
🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About