Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/list.ackyshine.com/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

SOMA HII: Kama wewe ndo baba au mama hapa ungefanyaje!???

Featured Image

Bakari ni house boy mara nyingi huiba wine ya boss wake na kisha kuongeza maji kwenye chupa ili boss asigundue. Mara kadhaa boss alihisi ladha tofauti anapokunywa wine hivyo kuhisi kuna mchezo mchafu alihisi tu Bakari anahusika. Ilikua ni bahati tu alimvizia na kumbamba Bakari akichakachua wine, kwa kuwa mkewe alikua anamtetea Bakari, ili kumthibitishia mkewe kuwa Bakari ndo culprit,
boss alianza kwa kumuuliza Bakari maswali. Siku hiyo Bakari alikua jikoni,boss na mkewe walikua sebuleni.

Boss:- Bakariiii!
Bakari:- Naam baba!
Boss:- Nani anakunywa wine yangu?

Bakari:- Kimyaaaa hajibu kitu! Boss:- Bakariiiii !
Bakari:- naam baba! Boss:- nauliza nani anakunywa wine yangu halafu anajazia majiii!
Bakari:- kimyaaaaa!

Boss akaamua amfuate hukohuko jikoni.
Boss: Kwanini nikikuita unaitikia, nikikuuliza unanyamaza?
Bakari: Baba huku jikoni ndo kulivyo, unasikia jina tu likiitwa lakini maneno menginehusikii, na kama huamini baki jikoni mi niende sebuleni.

Bakari akaenda sebuleni akaanza kuita.
Bakari:Babaa!
Boss: Naam Bakari!
Bakari: Saa sita usiku huwa unaenda kufanya nini chumba cha house girl?
Boss:- kimyaaaa!
Bakari:- Baba babaa!
Boss:- Ndio Bakari!
Bakari:- Nauliza hivii, chumbani kwa house girl saa sita za usiku huwa wafuata nini?
Boss:- kimyaaaaaaa!

Boss akatoka nje: Bakari huku jikoni ni kweli husikii kitu zaidi ya jina!.
Mama akasema msinizingue nyie…Mbona siwaelewi..
Bakar: mama kama uamini na ww nenda uone.

Mama akaenda jikoni..
Bakari: akaita mamaa
Mama : bee bakari
Bakari: eti hiyo mimba niya baba au yangu.?
Mama kimya
Bakari; mama nakauliza tena hiyo mimba niyababa au yangu.

Mama akatoka aisee kweli humu unasikia jina tu…..πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

George Tenga (Guest) on April 30, 2017

πŸ˜‚πŸ‘Œ

Margaret Anyango (Guest) on April 29, 2017

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Peter Mbise (Guest) on February 20, 2017

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Robert Ndunguru (Guest) on February 17, 2017

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Jane Muthui (Guest) on January 26, 2017

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Charles Mboje (Guest) on December 20, 2016

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

Mariam Hassan (Guest) on December 17, 2016

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Mchawi (Guest) on December 13, 2016

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

Mohamed (Guest) on December 1, 2016

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Philip Nyaga (Guest) on November 25, 2016

🀣πŸ”₯😊

Samson Mahiga (Guest) on November 12, 2016

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Joyce Mussa (Guest) on November 4, 2016

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

Grace Mligo (Guest) on October 30, 2016

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

George Mallya (Guest) on October 29, 2016

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

John Kamande (Guest) on September 19, 2016

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Umi (Guest) on August 9, 2016

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Omar (Guest) on July 20, 2016

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

Jane Malecela (Guest) on June 24, 2016

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

Victor Mwalimu (Guest) on June 21, 2016

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

Mwinyi (Guest) on June 18, 2016

πŸ˜† Hiyo punchline!

Monica Lissu (Guest) on June 9, 2016

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

James Malima (Guest) on May 27, 2016

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Kenneth Murithi (Guest) on May 8, 2016

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

George Mallya (Guest) on April 7, 2016

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

Stephen Kangethe (Guest) on March 25, 2016

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Shamsa (Guest) on March 22, 2016

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

Zakia (Guest) on March 1, 2016

🀣 Sikutarajia hiyo!

Brian Karanja (Guest) on February 24, 2016

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Monica Adhiambo (Guest) on February 24, 2016

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Yusuf (Guest) on February 16, 2016

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

Simon Kiprono (Guest) on February 7, 2016

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Joseph Kitine (Guest) on December 21, 2015

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

Samuel Were (Guest) on December 16, 2015

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

Hashim (Guest) on December 11, 2015

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Josephine (Guest) on November 20, 2015

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Victor Sokoine (Guest) on October 17, 2015

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

Stephen Kikwete (Guest) on October 16, 2015

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

George Wanjala (Guest) on October 8, 2015

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

Monica Adhiambo (Guest) on October 3, 2015

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Mariam Kawawa (Guest) on October 1, 2015

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

James Kawawa (Guest) on September 21, 2015

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Nancy Kabura (Guest) on September 14, 2015

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Athumani (Guest) on September 5, 2015

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

David Sokoine (Guest) on August 7, 2015

πŸ˜‚πŸ˜‚

Mazrui (Guest) on July 26, 2015

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Grace Minja (Guest) on June 29, 2015

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

Sarah Achieng (Guest) on June 17, 2015

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Lydia Mutheu (Guest) on June 9, 2015

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Moses Mwita (Guest) on June 8, 2015

πŸ˜„ Kali sana!

Nicholas Wanjohi (Guest) on May 17, 2015

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Wilson Ombati (Guest) on May 13, 2015

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Lucy Mahiga (Guest) on May 5, 2015

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Edward Lowassa (Guest) on May 4, 2015

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Mzee (Guest) on April 30, 2015

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Francis Mrope (Guest) on April 28, 2015

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

Yusuf (Guest) on April 12, 2015

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Related Posts

Mambao ya saluni ni shida, cheki kilichotokea kwa huyu

Mambao ya saluni ni shida, cheki kilichotokea kwa huyu

DADA alienda Salon wakati anasukwa akaingia
MKAKA mtanashati,
DADA akaamua kujaribu bah... Read More

Cheki hawa washikaji wanachokifanya baada ya kuvuta bangi, Bangi si mchezo

Cheki hawa washikaji wanachokifanya baada ya kuvuta bangi, Bangi si mchezo

Kuna washikaji walikuwa wakivuta bangi… kiberiti kikawaishia… wakamtuma mwenzao akatafute ki... Read More

Jamaa mpenda michepuko kapatikana

Jamaa mpenda michepuko kapatikana

…Upo kazini umeacha familia yako nyumbani mara ghafla unapigiwa simu kutazama unakutana na no n... Read More

Kichekesho cha mtalii na mbongo

Kichekesho cha mtalii na mbongo

Duh! Sikubali bora mbavu zituume wote!

Watalii wana dharau sana bana, Mtalii alikodi boti a... Read More

Cha kufanya msichana akikukimbia halafu atake kukurudia

Cha kufanya msichana akikukimbia halafu atake kukurudia

……… Kama msichana atakutupa kwa sababu huna pesa, na baadaye unapopata pesa akarudi tena ku... Read More

Hii ndiyo Ladha ya bia zote usiyoijua

Hii ndiyo Ladha ya bia zote usiyoijua

Ladha ya bia ya 1 hadi ya 6..

Kwa wanywaji wazuri wa bia, chupa ya kwanza 🍺 huwa hailet... Read More
Angalia huyu jamaa anachomwambia mwizi baada ya kumuibia simu yake

Angalia huyu jamaa anachomwambia mwizi baada ya kumuibia simu yake

Foleni ndeeeeefu jamaa yupo kwenye daladala anaenda kazini kaona heri amuandikie boss wake msg k... Read More

Haya mapenzi jamani! Umewah kumpenda kwa kihivi??

Haya mapenzi jamani! Umewah kumpenda kwa kihivi??

Sijui Kama ushawai fall in love ile haswaa..

yani unampenda mtoto hadi akikupigia ile sauti... Read More

Tatizo la kukuta nywele kwenye chakula

Tatizo la kukuta nywele kwenye chakula

Hapa ni shida

KUKUTA NYWELE KWENYE CHAKULA SIO TATIZO,TATIZO NI KUWAZA ITAKUWA IMET... Read More

Kiingereza kinashida kweli, Angalia alichokisema huyu mwalimu

Kiingereza kinashida kweli, Angalia alichokisema huyu mwalimu

Kiingereza shidaaaa……!

Mwalimu wa chakula alipokuwa anaongea na wapishi akiwaeleza maha... Read More

Hii sasa ni kali

Hii sasa ni kali

Siku izi kujuana kumezidi hata ukienda msibani kama hauna connection hauli msosi

πŸ˜‚πŸ˜... Read More

Wale wa kupenda kupewa pewa namba za simu soma hii

Wale wa kupenda kupewa pewa namba za simu soma hii

Unaomba namba ya simu ya mdada af anakunyima ila unalazimisha akupe anaona kuliko muendelee kuong... Read More

πŸ“– Explore More Articles
🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About