Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/list.ackyshine.com/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Mvua zazua kasheshe! Soma hii..

Featured Image

Baba- : Halloo mke wangu.. yaani ni shida sitaweza kurudi nyumban, daraja limevunjika na kutoka morogoro kurudi dar haiwezekani
MAMA:- Mme wangu morogoro ulienda bila kuniaga! ?
BABA:- Ilikuwa ni ghafla sana mke wangu sikuweza kukwambia
MAMA:- kha! Sasa watoto nani atawaangalia
BABA:- Unasemaje! We uko wapi kwan
MAMA:- Niko bagamoyo na daraja limeondolewa na maji sitaweza kurudi.
BABA:- Unasemaje we mwanamke.. nakwambia nikukute nyumban ndani ya dk 15
Baada ya dk 15 Baba kafika nyumban.
MAMA:- Haya umefkaje kutoka morogoro?
BABA:- Nimepewa lift na helkopta ya Mbowe..

Kama umeipenda shea na rfiki zakooo…..

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Catherine Naliaka (Guest) on October 9, 2017

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Diana Mumbua (Guest) on September 23, 2017

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

James Malima (Guest) on August 12, 2017

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Michael Onyango (Guest) on August 11, 2017

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Sarafina (Guest) on August 3, 2017

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Philip Nyaga (Guest) on July 4, 2017

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

Margaret Mahiga (Guest) on July 3, 2017

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

Ruth Wanjiku (Guest) on June 6, 2017

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Monica Lissu (Guest) on May 18, 2017

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Athumani (Guest) on May 13, 2017

πŸ˜… Bado nacheka!

Lucy Kimotho (Guest) on May 10, 2017

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Jane Malecela (Guest) on April 10, 2017

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Vincent Mwangangi (Guest) on March 30, 2017

πŸ˜† Hiyo punchline!

Warda (Guest) on March 11, 2017

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Robert Okello (Guest) on March 5, 2017

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Susan Wangari (Guest) on February 20, 2017

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Christopher Oloo (Guest) on February 5, 2017

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

Esther Cheruiyot (Guest) on December 30, 2016

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Grace Mushi (Guest) on December 30, 2016

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

Mariam Hassan (Guest) on December 17, 2016

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

Khamis (Guest) on December 3, 2016

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

Bernard Oduor (Guest) on November 28, 2016

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Benjamin Kibicho (Guest) on November 7, 2016

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Margaret Mahiga (Guest) on October 15, 2016

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

Edwin Ndambuki (Guest) on October 2, 2016

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

Saidi (Guest) on September 19, 2016

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Ali (Guest) on September 11, 2016

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Hellen Nduta (Guest) on August 12, 2016

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

Grace Mligo (Guest) on August 6, 2016

Asante Ackyshine

Joseph Njoroge (Guest) on July 15, 2016

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

Sofia (Guest) on June 11, 2016

😁 Kicheko bora ya siku!

Jane Malecela (Guest) on May 9, 2016

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

Victor Sokoine (Guest) on May 4, 2016

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

Mwalimu (Guest) on April 28, 2016

😁 Hii ni dhahabu!

Alice Mrema (Guest) on April 17, 2016

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Masika (Guest) on March 22, 2016

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Alice Jebet (Guest) on March 16, 2016

πŸ˜„ Kali sana!

Mary Kidata (Guest) on March 8, 2016

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

Lucy Kimotho (Guest) on February 29, 2016

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

Mwanakhamis (Guest) on February 18, 2016

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Edith Cherotich (Guest) on February 4, 2016

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

Issack (Guest) on January 21, 2016

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Patrick Kidata (Guest) on January 10, 2016

πŸ˜‚πŸ˜†

Raphael Okoth (Guest) on December 25, 2015

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Rahim (Guest) on December 21, 2015

πŸ˜… Bado ninacheka!

Lucy Kimotho (Guest) on December 11, 2015

πŸ˜‚ Kali sana!

Mary Mrope (Guest) on November 11, 2015

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Grace Mushi (Guest) on October 24, 2015

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

Peter Mwambui (Guest) on September 15, 2015

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

David Chacha (Guest) on September 6, 2015

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Chiku (Guest) on August 10, 2015

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

Mary Kendi (Guest) on July 10, 2015

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

Samson Tibaijuka (Guest) on June 25, 2015

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

Mwinyi (Guest) on June 14, 2015

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Elizabeth Mrope (Guest) on June 7, 2015

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Patrick Akech (Guest) on June 1, 2015

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

Esther Nyambura (Guest) on May 18, 2015

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

Dorothy Majaliwa (Guest) on May 15, 2015

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Catherine Naliaka (Guest) on May 8, 2015

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Lydia Mutheu (Guest) on April 24, 2015

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

Related Posts

Alichokisema mtoto baada ya kusikia baba na mama wakiongea mambo yao usiku

Alichokisema mtoto baada ya kusikia baba na mama wakiongea mambo yao usiku

MUME: Mke wangu naomba nikubusu MKE: Sitaki MUME: Ntakununulia pete ya gold MKE: Staki MUME: Ntakun... Read More
Wasichana wafupi wanafurahisha

Wasichana wafupi wanafurahisha

Wasichana wafupi wananifurahisha sana…. Yaan siku ya Valentine, wakivaa magauni mekund... Read More

Duh! Hii sababu ya huyu mwanaume kulewa ni shida

Duh! Hii sababu ya huyu mwanaume kulewa ni shida

πŸ‘§: "Mpenzi, nakuomba uache kulewa"

πŸ‘¨: "poa, na wewe acha ... Read More

Status za Whatsapp za Wazungu na Wabongo

Status za Whatsapp za Wazungu na Wabongo

STATUS ZA WAZUNGU kwenye Whatsapp vere vere kliaaa…
πŸ‘‰sick
πŸ‘‰at movie
Β... Read More

Angalia sababu ya mwanamme kubadili jina na Kuitwa jina la kike, hii dunia ina mambo kweli

Angalia sababu ya mwanamme kubadili jina na Kuitwa jina la kike, hii dunia ina mambo kweli

Rashidi alimpa ujauzito mwanafunzi, akashtakiwa.
Kumbe Rashidi ana bibi yake mtaalamu wa yal... Read More

Angalia wadada walivyoumbuka kwenye hii test

Angalia wadada walivyoumbuka kwenye hii test

Ticha katangaza test , Akatoa Masharti; Ukiandika jibu hamna kufuta au kukata.

Swali la kwa... Read More

Nilichomfanyia huyu aliyenizingua nilipomuazimisha pasi

Nilichomfanyia huyu aliyenizingua nilipomuazimisha pasi

πŸ™„πŸ™„πŸ™„πŸ™„πŸ™„πŸ™„
Jana nimeenda kuazima pasi chumba jirani, ili ninyooshe nguo zangu,... Read More

Mjini shule. Soma hii

Mjini shule. Soma hii

Kuna mdada nilimkopesha pesa kwa ahadi kuwa baada ya wiki moja atanirejeshea pesa zangu.

Ba... Read More

Ulishawahi kukutana na hii? Maana yake ni nini?

Ulishawahi kukutana na hii? Maana yake ni nini?

Ulishawahi kutana na hii….
Issa: mambo
Jeni:poa vp
Issa:poa nambie:

Jeni:p... Read More

Ndoa zina mambo, cheki haya mambo ya mtu na mke wake

Ndoa zina mambo, cheki haya mambo ya mtu na mke wake

Mke: mume wangu leo 2badilishe stail kwani nimechoka kla siku hiyo hiyo tu
Mme: kwel mke wan... Read More

Utani kwa wadada wembamba

Utani kwa wadada wembamba

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Wadada wembamba hebu nenepeni basi mn... Read More

Hii kazi kweli kweli, Ungekua wewe ungefanyaje?

Hii kazi kweli kweli, Ungekua wewe ungefanyaje?

UNATOKA SEBULENI UNAENDA ZAKO CHOONI UNAINGIA TU HIVI GHAFLA UNAKUTANA NA MZIGO MKUBWA WA... Read More