Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/list.ackyshine.com/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Mvua zazua kasheshe! Soma hii..

Featured Image

Baba- : Halloo mke wangu.. yaani ni shida sitaweza kurudi nyumban, daraja limevunjika na kutoka morogoro kurudi dar haiwezekani
MAMA:- Mme wangu morogoro ulienda bila kuniaga! ?
BABA:- Ilikuwa ni ghafla sana mke wangu sikuweza kukwambia
MAMA:- kha! Sasa watoto nani atawaangalia
BABA:- Unasemaje! We uko wapi kwan
MAMA:- Niko bagamoyo na daraja limeondolewa na maji sitaweza kurudi.
BABA:- Unasemaje we mwanamke.. nakwambia nikukute nyumban ndani ya dk 15
Baada ya dk 15 Baba kafika nyumban.
MAMA:- Haya umefkaje kutoka morogoro?
BABA:- Nimepewa lift na helkopta ya Mbowe..

Kama umeipenda shea na rfiki zakooo…..

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Zulekha (Guest) on November 14, 2017

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Andrew Odhiambo (Guest) on November 13, 2017

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Catherine Naliaka (Guest) on October 9, 2017

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Diana Mumbua (Guest) on September 23, 2017

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

James Malima (Guest) on August 12, 2017

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Michael Onyango (Guest) on August 11, 2017

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Sarafina (Guest) on August 3, 2017

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Philip Nyaga (Guest) on July 4, 2017

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

Margaret Mahiga (Guest) on July 3, 2017

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

Ruth Wanjiku (Guest) on June 6, 2017

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Monica Lissu (Guest) on May 18, 2017

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Athumani (Guest) on May 13, 2017

πŸ˜… Bado nacheka!

Lucy Kimotho (Guest) on May 10, 2017

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Jane Malecela (Guest) on April 10, 2017

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Vincent Mwangangi (Guest) on March 30, 2017

πŸ˜† Hiyo punchline!

Warda (Guest) on March 11, 2017

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Robert Okello (Guest) on March 5, 2017

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Susan Wangari (Guest) on February 20, 2017

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Christopher Oloo (Guest) on February 5, 2017

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

Esther Cheruiyot (Guest) on December 30, 2016

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Grace Mushi (Guest) on December 30, 2016

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

Mariam Hassan (Guest) on December 17, 2016

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

Khamis (Guest) on December 3, 2016

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

Bernard Oduor (Guest) on November 28, 2016

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Benjamin Kibicho (Guest) on November 7, 2016

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Margaret Mahiga (Guest) on October 15, 2016

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

Edwin Ndambuki (Guest) on October 2, 2016

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

Saidi (Guest) on September 19, 2016

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Ali (Guest) on September 11, 2016

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Hellen Nduta (Guest) on August 12, 2016

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

Grace Mligo (Guest) on August 6, 2016

Asante Ackyshine

Joseph Njoroge (Guest) on July 15, 2016

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

Sofia (Guest) on June 11, 2016

😁 Kicheko bora ya siku!

Jane Malecela (Guest) on May 9, 2016

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

Victor Sokoine (Guest) on May 4, 2016

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

Mwalimu (Guest) on April 28, 2016

😁 Hii ni dhahabu!

Alice Mrema (Guest) on April 17, 2016

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Masika (Guest) on March 22, 2016

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Alice Jebet (Guest) on March 16, 2016

πŸ˜„ Kali sana!

Mary Kidata (Guest) on March 8, 2016

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

Lucy Kimotho (Guest) on February 29, 2016

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

Mwanakhamis (Guest) on February 18, 2016

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Edith Cherotich (Guest) on February 4, 2016

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

Issack (Guest) on January 21, 2016

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Patrick Kidata (Guest) on January 10, 2016

πŸ˜‚πŸ˜†

Raphael Okoth (Guest) on December 25, 2015

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Rahim (Guest) on December 21, 2015

πŸ˜… Bado ninacheka!

Lucy Kimotho (Guest) on December 11, 2015

πŸ˜‚ Kali sana!

Mary Mrope (Guest) on November 11, 2015

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Grace Mushi (Guest) on October 24, 2015

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

Peter Mwambui (Guest) on September 15, 2015

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

David Chacha (Guest) on September 6, 2015

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Chiku (Guest) on August 10, 2015

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

Mary Kendi (Guest) on July 10, 2015

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

Samson Tibaijuka (Guest) on June 25, 2015

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

Mwinyi (Guest) on June 14, 2015

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Elizabeth Mrope (Guest) on June 7, 2015

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Patrick Akech (Guest) on June 1, 2015

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

Esther Nyambura (Guest) on May 18, 2015

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

Dorothy Majaliwa (Guest) on May 15, 2015

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Related Posts

Kilichompata sista duu bishoo wakati akijidai kununua pete

Kilichompata sista duu bishoo wakati akijidai kununua pete

Mwanamke mmoja aliingia duka la vito vya thamani, akaona pete moja ya dhahabu nzuri sana amabayo ili... Read More
Baada ya kuulizwa nani anapenda kwenda peponi, haya ndiyo yalikua majibu ya wanafunzi

Baada ya kuulizwa nani anapenda kwenda peponi, haya ndiyo yalikua majibu ya wanafunzi

Wanafunzi waliulizwa na mwalimu nani angependa kwenda peponi? Wote wakanyosha ila mmoja tu alipok... Read More

Ndege ya Tanzania

Ndege ya Tanzania

Kuna maprofesa 40 walipanda AIR TANZANIA ili wasafari. Kabla ndege haijaanza kuondoka, Lilipita t... Read More

Angalia hawa kina mama, ni shida..!

Angalia hawa kina mama, ni shida..!

Mama mdaku alishangaa kila siku mchungaji anaingia nyumba ya jirani yake ambaye hana mume, akawa... Read More

Angalia nilichomfanyia huyu dereva sasa

Angalia nilichomfanyia huyu dereva sasa

Tulikua kwa basi tunaelekea arusha,ile namcheki dereva kumbe ni best yangu na basi ilikua... Read More

Huyu jamaa kawaweza polisi watatu, cheki alichowaambia

Huyu jamaa kawaweza polisi watatu, cheki alichowaambia

Polisi::: hodi, hodi
Jamaa::: kimya
Polisi::: hodi, hodi
Jamaa::: ... Read More

Madogo wa sikuizi ni kiboko, cheki huyu alichokifanya akiwa darasani na mwalimu wake

Madogo wa sikuizi ni kiboko, cheki huyu alichokifanya akiwa darasani na mwalimu wake

Muda wa kwenda nyumbani ulikuwa umefika, mwalimu
akasema: yeyote atakaye jibu swali langu lo... Read More

Duh! Angalia alichokula huyu mwizi! Wizi mwingine bwana!

Duh! Angalia alichokula huyu mwizi! Wizi mwingine bwana!

Baada ya mwizi kuvunja mlango huko Tarime, akaingia kwenye stoo akaona vinyama kwenye bakuli vik... Read More

Nilichokifanya leo

Nilichokifanya leo

Leo nmemlipa konda nauli, akasahau kunishusha kituoni. Na mimi nkakaa KIMYAAA kumkomoa…..

... Read More
Jinsi Mapenzi yanavyoweza kukupa stress

Jinsi Mapenzi yanavyoweza kukupa stress

Mapenzi ni balaa

Mapenzi ujue yanawez kukupa stress adi mama ako akikuuliz what's wrongπŸ€”... Read More

Haya ndiyo madhara ya kulala kanisani

Haya ndiyo madhara ya kulala kanisani

Tukiwa kanisani mdada alikuwa amelala , akaamka akasikia Pastor anasema
" SIMAMA"
Yule ... Read More

Angalia pombe ilichomfanya huyu jamaa, kweli pombe haimuachi mtu salama

Angalia pombe ilichomfanya huyu jamaa, kweli pombe haimuachi mtu salama

Leo nimeiogopa pombe.

Nimetokea kuiogopa pombe baada ya kumwona jirani yangu akicheza muzik... Read More

πŸ“– Explore More Articles
🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About