Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/list.ackyshine.com/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

KICHEKESHO: Ajira ngumu!! Cheki hawa walivyoamua kujiajiri

Featured Image

Jamaa mmoja alienda kuomba kazi Mbuga ya Wanyama, akaambiwa nafasi ya Kazi ipo ila hakuna Sokwe, "hivyo utajifanya Sokwe na tutakupa ngozi utavaa"

Jamaa siku ya kwanza akavaa, walipokuja watalii mambo yalienda vizuri, Siku iliyofuata Banda lake liliwekwa juu ya Banda la Simba, Jamaa ktk kuongeza mbwembwe akawa anarukaruka, kwa bahati mbaya si akaangukia ndani ya Banda la Simba, akawa anapiga kelele "Mama nakufaaa!"

Mara yule Simba akamwambia "Acha Ufala ww kelele za nini sasa, mimi mwenyewe Binadamu! rudi kwenye Banda lako kabla watalii hawajaja watatushtukia! chezea ajira ww"………!!

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ‘†πŸ»πŸ‘†πŸ»πŸ‘†πŸ»πŸ‘†πŸ»

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Mustafa (Guest) on September 4, 2017

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Henry Sokoine (Guest) on September 1, 2017

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

George Mallya (Guest) on September 1, 2017

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Elizabeth Malima (Guest) on August 5, 2017

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

Simon Kiprono (Guest) on July 21, 2017

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Benjamin Kibicho (Guest) on July 14, 2017

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Rabia (Guest) on July 8, 2017

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Stephen Malecela (Guest) on June 4, 2017

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Shukuru (Guest) on April 29, 2017

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Francis Mtangi (Guest) on April 24, 2017

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Edward Lowassa (Guest) on April 16, 2017

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Ruth Wanjiku (Guest) on March 21, 2017

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Joyce Aoko (Guest) on March 5, 2017

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†

David Musyoka (Guest) on March 2, 2017

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Nora Lowassa (Guest) on March 1, 2017

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

Vincent Mwangangi (Guest) on February 19, 2017

πŸ˜‚πŸ˜…

Simon Kiprono (Guest) on February 13, 2017

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ˜†

Lydia Mahiga (Guest) on February 11, 2017

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

David Chacha (Guest) on February 7, 2017

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Esther Nyambura (Guest) on February 4, 2017

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

Anna Mahiga (Guest) on February 3, 2017

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Betty Akinyi (Guest) on December 28, 2016

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

Dorothy Mwakalindile (Guest) on December 27, 2016

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Stephen Amollo (Guest) on December 14, 2016

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Raphael Okoth (Guest) on October 17, 2016

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

Diana Mallya (Guest) on October 4, 2016

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

Victor Kamau (Guest) on September 19, 2016

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

David Musyoka (Guest) on August 22, 2016

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Mwanajuma (Guest) on July 24, 2016

πŸ˜† Ninakufa hapa!

Paul Ndomba (Guest) on June 19, 2016

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

James Malima (Guest) on May 14, 2016

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

Josephine Nduta (Guest) on May 13, 2016

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Sarah Mbise (Guest) on May 5, 2016

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

James Malima (Guest) on May 1, 2016

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Sarah Mbise (Guest) on April 25, 2016

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

Frank Macha (Guest) on March 12, 2016

Hii kichekesho inastahili tuzo! πŸ†

Janet Sumaye (Guest) on March 9, 2016

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Betty Akinyi (Guest) on February 28, 2016

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Edwin Ndambuki (Guest) on February 26, 2016

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Elizabeth Mrema (Guest) on February 21, 2016

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Mercy Atieno (Guest) on February 15, 2016

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

Sarah Karani (Guest) on February 8, 2016

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

Mwafirika (Guest) on January 16, 2016

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

Joy Wacera (Guest) on December 5, 2015

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Chris Okello (Guest) on November 2, 2015

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

Lydia Mahiga (Guest) on October 23, 2015

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Paul Kamau (Guest) on September 29, 2015

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Lucy Mushi (Guest) on September 10, 2015

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Thomas Mwakalindile (Guest) on August 18, 2015

πŸ˜… Bado nacheka!

Stephen Kangethe (Guest) on August 11, 2015

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Hassan (Guest) on July 2, 2015

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

Nora Kidata (Guest) on June 22, 2015

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Biashara (Guest) on May 27, 2015

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

Stephen Mushi (Guest) on April 27, 2015

Hii imenibamba sana! πŸ˜…πŸ€£

Robert Okello (Guest) on April 13, 2015

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Chris Okello (Guest) on April 3, 2015

Hii ni ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Related Posts

Nilichojibu kwenye interview walipoulizia status

Nilichojibu kwenye interview walipoulizia status

Nimetoka kufanya interview wakaniuliza status yangu nikaawabia status yangu ni Hey there... Read More

Angalia huyu jamaa alivyowafanyia watu uhuni bar

Angalia huyu jamaa alivyowafanyia watu uhuni bar

Jamaa kaingia Bar;
Jamaa: Muhudumu, nipe kinywaji na mpe kila mtu humu ndani kinywaji, maana... Read More

Huyu mwanamke kazidi sasa

Huyu mwanamke kazidi sasa

Jamaa: Mambo honey, upo ok?
Mrembo: Sipo ok my dear
<... Read More

Kichekesho cha mke wa mvuvi

Kichekesho cha mke wa mvuvi

CHEKA KIDOGO

MVUVI MASKINI NA MKEWE MALAYA.
Mvuvi mmoja alikua akiishi na mke wake huk... Read More

Eti hili nalo ni kweli kwa dada yako?

Eti hili nalo ni kweli kwa dada yako?

Oya people hv kwa mfano Dada yako akisomea sheria ndo anaitwa sister in law? au... Read More

Kilichotokea baada ya babu mzee kuibiwa nauli kwenye daladala

Kilichotokea baada ya babu mzee kuibiwa nauli kwenye daladala

Mzee mmoja alipanda Gari Stend;
Wakati wa kugombania Siti,
Akaibiwa Nauli.

Akasim... Read More

Haya mawazo ya huyu Mtu kuhusu Shetani ni kiboko

Haya mawazo ya huyu Mtu kuhusu Shetani ni kiboko

Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana

..unaenda kuoga, unakumbuka k... Read More

Stori za simu za wavulana na wasichana

Stori za simu za wavulana na wasichana

STORY ZA WASICHANA KTK SIM

Mary… Hallow mpenzii
Lily…. Niambie my dear
Mary... Read More

Kifahamu Kidada kimbea kilichofukuzwa kazi

Kifahamu Kidada kimbea kilichofukuzwa kazi

Unafahamu?

Kile kidada kimbea kinachosemaga salio lako halitoshi kimefukuzwa kazi s... Read More

Angalia nilivyomkomoa huyu dogo

Angalia nilivyomkomoa huyu dogo

Kuna mtoto wa jirani ananibore sana kila nkimtuma kitu dukani lazima aonje,

... Read More
Huyu mwanamke ni noma cheki alichomwambia mme wake baada ya kumnunulia nguo za ndani

Huyu mwanamke ni noma cheki alichomwambia mme wake baada ya kumnunulia nguo za ndani

Mume kaingia duka la nguo na kamnunulia mke wake chupi dazeni moja zote za rangi nyeusi, akaenda ... Read More

Angalia huyu ticha wa Hesabu alichofanyiwa

Angalia huyu ticha wa Hesabu alichofanyiwa

Looku Looku* πŸ‘€πŸ‘€

*Ama Kweli Mkuki Kwa Nguruwe kwa Binadamu Mchungu Skia Hii….!!*

... Read More
πŸ“– Explore More Articles