Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/list.ackyshine.com/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE ๐Ÿ”
โ˜ฐ
AckyShine

Maujanja ya kumkalisha mwanamme wako nyumbani weekend haya hapa

Featured Image

Siku hizi wa naume licha ya kukimbia nyumba zao kwa kisingizio cha kazi maajabu weekend hasa Jumamosi utasikia wanaaga nafika hapo njiani naja naenda kununua gazeti.

Kumbe wanaenda kunywa supu unasubiri wee mpaka alasiri au jioni

Hivyo wanandoa wengi hili limekuwa tatizo mwanaume kiguu na njia asb mchana na njia kumuacha mama na watoto.

Nini kifanyike hasa weekenda Mwanaume ashinde NYUMBANI akikupumzikia??

Zipo njia nyingi mojawapo SUPU YA WEEKEND NA MAZUNGUMZO NA MKAO

Ni kweli wanawake wengi hamjuagi kuwakalisha waume home.

Anza hivi
Siku uko home wewe amka mapema kabla yake anza makeke jikoniโ€ฆ

Mara blenda priiiiiโ€ฆ juiceโ€ฆ ama milk shakeโ€ฆ. hahahaha..Utaona anasogea jikoni..

Wakati anakunywa juice ama milk shakeโ€ฆAnza kukuna naziโ€ฆ

Chambua mnafuโ€ฆ

Hapo jikoni kuna kanyama kanachemkaโ€ฆ katia kitunguu tupia viazi 2 na ndizi.Hahaha..

ile harufu ikianza kutoka utasikia anafuata maji jikoniโ€ฆ hahahaha kwenye frijiโ€ฆ wala hatumi..

Hahaahhaโ€ฆ utasikia nini kiko jikoni?Hahahaa.

Mmiminie supuโ€ฆ

Na ndizi mbili na kiazi kimoja kapilipili mbuzi pembeni..

Muulize kuna chapatiโ€ฆMpe.. hahahahaha..Akimaliza supu nakuapia atasinzia..

.Akishtuka ugali na mnafu na nyama umeivaโ€ฆMpe ale..Mshushie na glass ya mtindiโ€ฆHahahaha..

analewa full Hata kama kuna mama junior anaambiwa usipigeโ€ฆ

Hahahahahahaโ€ฆ.Baada ya hapo acha apumzikeโ€ฆ aogeโ€ฆ

Kisha funga ka khanga kako kepesi jilaze pembeni.. woiiiiiiiii..

Mkimaliza muombe pesa ya sokoniโ€ฆ

NAKUAPIA HATA KAMA JANA YAKE ALIKUPA ATAKUPA TENA.

Hahahahaha.. jamaniโ€ฆ

Hahahahahaโ€ฆ yani kwa raha ya supuโ€ฆ nakuapia utaambiwa hata mama alipiga simu janaโ€ฆ hahahaha.. ama utasikia mamii.. njoo uone njooโ€ฆ unaitiwa kitu cha kwenye tv.. hahaha.

Hata hujaona mwanzo ila kwa raha yakasupu utaitwaโ€ฆ

Hata kama huna kalio nakuambia utapigwa kibao hata cha mgongoโ€ฆ. hahahahahahahahahaha.

Sasa wewe unaamka chai na mkate kama chuo cha uhaziliโ€ฆ
Wali maharage kama jeshi la j

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Peter Otieno (Guest) on July 31, 2017

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! ๐Ÿคฃ

Susan Wangari (Guest) on July 18, 2017

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! ๐Ÿ˜‚

Fredrick Mutiso (Guest) on July 10, 2017

Kweli mna ucheshi! ๐Ÿ˜‚๐Ÿคฃ

Peter Mugendi (Guest) on June 30, 2017

Hii imenipa furaha ya siku! ๐Ÿ˜†๐Ÿ‘Œ

Janet Sumari (Guest) on June 21, 2017

Hii kichekesho inastahili tuzo! ๐Ÿ†

Diana Mallya (Guest) on May 19, 2017

Kweli mna ucheshi wa kipekee! ๐Ÿ˜‚๐Ÿคฃ

George Wanjala (Guest) on May 11, 2017

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! ๐Ÿ˜†

Lucy Mahiga (Guest) on April 1, 2017

Hii imenikuna hadi nina furaha! ๐Ÿ˜Š๐Ÿ˜‚

Anna Mchome (Guest) on March 20, 2017

๐Ÿ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Agnes Sumaye (Guest) on February 6, 2017

๐Ÿ˜… Bado nacheka!

Isaac Kiptoo (Guest) on January 18, 2017

Nimefurahia sana hii joke! ๐Ÿ˜…๐Ÿ˜‚

Edith Cherotich (Guest) on January 5, 2017

๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿ‘๐Ÿ˜†

Maulid (Guest) on December 22, 2016

๐Ÿ˜… Nilihitaji hii!

Monica Lissu (Guest) on November 24, 2016

๐Ÿ˜‚ Ninashiriki mara moja!

David Nyerere (Guest) on November 11, 2016

๐Ÿ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Maulid (Guest) on October 22, 2016

๐Ÿ˜„ Kichekesho gani!

Nicholas Wanjohi (Guest) on October 16, 2016

Kweli mnajua kuchekesha! ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

Margaret Mahiga (Guest) on August 31, 2016

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜…

Khadija (Guest) on August 16, 2016

๐Ÿ˜ Kicheko bora ya siku!

Baraka (Guest) on July 25, 2016

๐Ÿ˜ Imeongezwa kwenye vipendwa!

Jaffar (Guest) on June 30, 2016

๐Ÿ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Linda Karimi (Guest) on June 27, 2016

๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿ˜‚

Rubea (Guest) on May 24, 2016

๐Ÿ˜† Kali sana!

Lydia Mzindakaya (Guest) on May 10, 2016

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! ๐Ÿคฃ

Paul Ndomba (Guest) on March 13, 2016

๐Ÿ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Michael Onyango (Guest) on March 6, 2016

Hii ni ya maana sana! ๐Ÿ˜‚๐Ÿ‘Œ

Michael Mboya (Guest) on March 3, 2016

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜…

Michael Mboya (Guest) on March 2, 2016

Nimecheka hadi nina furaha sana! ๐Ÿ˜Š๐Ÿ˜‚

Margaret Mahiga (Guest) on February 20, 2016

๐Ÿ˜„ Kichekesho kamili!

Nancy Kawawa (Guest) on February 11, 2016

Hii imenifurahisha sana! ๐Ÿ˜Š๐Ÿ˜…

Mariam Hassan (Guest) on January 31, 2016

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! ๐Ÿ‘๐Ÿ˜†

Anna Malela (Guest) on January 28, 2016

Hii imenifurahisha kweli! ๐Ÿ˜†๐Ÿ˜‚

Janet Sumaye (Guest) on January 5, 2016

Asante Ackyshine

Janet Mbithe (Guest) on December 9, 2015

Hii ni joke ya kipekee! ๐Ÿคฃ๐Ÿ‘Œ

Stephen Malecela (Guest) on December 6, 2015

๐Ÿ˜„ Umenishika vizuri!

Jamila (Guest) on November 17, 2015

๐Ÿคฃ Nalia kwa kicheko kweli!

Paul Ndomba (Guest) on November 3, 2015

๐Ÿคฃ๐Ÿ˜†๐Ÿ˜Š๐Ÿ˜‚

Nassor (Guest) on November 2, 2015

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! ๐Ÿ˜‚

Ramadhan (Guest) on November 1, 2015

๐Ÿคฃ Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Peter Mugendi (Guest) on October 26, 2015

๐Ÿ˜†๐Ÿ˜‚๐Ÿ‘

Miriam Mchome (Guest) on October 11, 2015

๐Ÿ˜…๐Ÿ˜Š๐Ÿ˜‚๐Ÿ‘

Kheri (Guest) on September 4, 2015

๐Ÿ˜† Naihifadhi hii!

Grace Wairimu (Guest) on September 2, 2015

๐Ÿ˜‚ Hii ni kali sana!

Janet Mwikali (Guest) on July 15, 2015

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! ๐Ÿ˜…๐Ÿ˜Š

Mary Kendi (Guest) on July 13, 2015

Hii joke imenikumbusha enzi zile! ๐Ÿ˜Š๐Ÿ˜‚

Stephen Kangethe (Guest) on July 1, 2015

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! ๐Ÿ˜†

Frank Sokoine (Guest) on June 23, 2015

Mna talent ya jokes! ๐Ÿ‘๐Ÿ˜‚

George Mallya (Guest) on June 15, 2015

๐Ÿคฃ๐Ÿ”ฅ๐Ÿ˜Š

David Sokoine (Guest) on June 1, 2015

๐Ÿ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Anna Mahiga (Guest) on May 16, 2015

๐Ÿคฃ๐Ÿ‘๐Ÿ‘Œ

Esther Cheruiyot (Guest) on May 6, 2015

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! ๐Ÿคฃ๐Ÿ˜…

Martin Otieno (Guest) on April 29, 2015

Nimecheka hadi machozi yanatoka! ๐Ÿคฃ๐Ÿ˜ญ

Janet Wambura (Guest) on April 22, 2015

๐Ÿคฃ๐Ÿ˜„๐Ÿ˜Š

Bakari (Guest) on April 21, 2015

๐Ÿ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

Chiku (Guest) on April 12, 2015

Haha, hii ni ya kuhifadhi! ๐Ÿ“Œ

Francis Mtangi (Guest) on April 8, 2015

Nimecheka hadi nimepata furaha! ๐Ÿ˜Š๐Ÿ˜†

Related Posts

Huyu jamaa kawaweza wapenda vya bure

Huyu jamaa kawaweza wapenda vya bure

Jamaa kaingia mgahawani kwa fujo
JAMAA :ย Nipe soda moja na kila mtu mpe ya... Read More

Wazo la jioni hii

Wazo la jioni hii

๐Ÿ“ขWAZO LA JIONI HII ๐Ÿ“ข

KAMA MWAKA JANA ULIPIGA HATUA NA HUJAFIKIA MALENGO MWAKA HUU... Read More

Alichokijibu chizi baada ya kuanguka ghorofani

Alichokijibu chizi baada ya kuanguka ghorofani

Chizi kaanguka toka kwenye gorofa fasta watu wakamfuata kumsaidia wakamuulza VP IMEK... Read More

Haya ndiyo madhara ya kulala kanisani

Haya ndiyo madhara ya kulala kanisani

Tukiwa kanisani mdada alikuwa amelala , akaamka akasikia Pastor anasema
" SIMAMA"
Yule ... Read More

Kuwa na Binti aliyeacha shule

Kuwa na Binti aliyeacha shule

Kuwa na binti aliyeacha shule ni BALAA.

Anaweza kukuacha kwa s... Read More

Cheka na methali

Cheka na methali

1.Simba mwendapole =Huyo ni Sharobaro
2.Asiyefunzwa na Mamae= Ujue Mama hajapitia Ualimu
Read More

Tatizo la kukuta nywele kwenye chakula

Tatizo la kukuta nywele kwenye chakula

Hapa ni shida

KUKUTA NYWELE KWENYE CHAKULA SIO TATIZO,TATIZO NI KUWAZA ITAKUWA IMET... Read More

Cheki nilichomfanyia boss wangu

Cheki nilichomfanyia boss wangu

Bosi wangu karudi safari yake kutoka serengeti..! Si akanitumia picha, lakini ilikuwa network yen... Read More

Mambo ya kijijini haya!

Mambo ya kijijini haya!

Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana

..unaenda kuoga, unakumbuka k... Read More

Angalia hawa kina mama, ni shida..!

Angalia hawa kina mama, ni shida..!

Mama mdaku alishangaa kila siku mchungaji anaingia nyumba ya jirani yake ambaye hana mume, akawa... Read More

Wale wa kupenda kupewa pewa namba za simu soma hii

Wale wa kupenda kupewa pewa namba za simu soma hii

Unaomba namba ya simu ya mdada af anakunyima ila unalazimisha akupe anaona kuliko muendelee kuong... Read More

Angalia kilichompata huyu mwanafunzi kilaza anayejiamini

Angalia kilichompata huyu mwanafunzi kilaza anayejiamini

Teacher: Who is a pharmacist?

Shemdoe raised up his hand.

Teacher: So itโ€™s only She... Read More