Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/list.ackyshine.com/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Tofauti ya mke na mchepuko!!!

Featured Image

Mke ni kama Tv na Mchepuko ni kama Simu.
Nyumbani unaangalia Tv lakini ukitoka unatoka na simu.

Mara chache unafurahia Tv lakini Muda mrefu unacheza na simu yako.

Tv ni bure kwa maisha yako yote, lakini Simu kama hujalipia hupati huduma.

Tv ni kubwa nzito na wakati wote ni ya zamani. Lakini simu ni nzuri, nyembamba, na ni rahisi kubeba.

Gharama za huduma za tv ni ndogo sana, Lakini gharama za huduma za Simu ni kubwa na pia ni lazima kuzitimiza.

Tv ina remote lakini Simu haina.

Kitu muhimu zaidi simu ina njia mbili za kuwasiliana unaongea na unasikiliza lakini Tv unalazimika kusikiliza hata kama hutaki au unataka.

Unaweza kununua Tv mara moja na ukatumia kwa kipindi kirefu lakini Simu mara zote unabadilisha inategemea na fasheni.

Ya mwisho na ya kuzingatia

Tv haina Virusi lakini Simu inayo.

KUWA MAKINI.

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Ann Wambui (Guest) on November 25, 2017

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

Yusra (Guest) on November 12, 2017

πŸ˜† Hiyo punchline!

Chum (Guest) on November 6, 2017

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Mwinyi (Guest) on November 5, 2017

πŸ˜† Kali sana!

Athumani (Guest) on October 27, 2017

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Wilson Ombati (Guest) on October 7, 2017

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ˜†

Philip Nyaga (Guest) on September 21, 2017

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Martin Otieno (Guest) on June 26, 2017

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

Mwinyi (Guest) on June 19, 2017

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Joyce Mussa (Guest) on June 4, 2017

πŸ˜‚πŸ˜‚

Patrick Kidata (Guest) on June 1, 2017

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Stephen Kikwete (Guest) on May 9, 2017

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Robert Okello (Guest) on March 24, 2017

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Abdullah (Guest) on March 20, 2017

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

Anna Kibwana (Guest) on February 19, 2017

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

Alex Nyamweya (Guest) on February 16, 2017

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

Peter Tibaijuka (Guest) on February 9, 2017

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

Frank Sokoine (Guest) on January 29, 2017

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Andrew Mahiga (Guest) on December 17, 2016

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Ann Awino (Guest) on December 15, 2016

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

Josephine Nekesa (Guest) on November 21, 2016

🀣 Sikutarajia hiyo!

John Mushi (Guest) on November 13, 2016

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Baraka (Guest) on October 16, 2016

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Mtumwa (Guest) on August 9, 2016

Hii kichekesho inastahili tuzo! πŸ†

Moses Mwita (Guest) on August 7, 2016

Asante Ackyshine

Grace Njuguna (Guest) on July 31, 2016

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Lucy Wangui (Guest) on July 3, 2016

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Lydia Mahiga (Guest) on June 30, 2016

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Esther Cheruiyot (Guest) on June 2, 2016

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Mwanaidi (Guest) on April 27, 2016

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Rose Kiwanga (Guest) on April 10, 2016

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Simon Kiprono (Guest) on April 8, 2016

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

Dorothy Nkya (Guest) on April 5, 2016

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

Michael Onyango (Guest) on March 11, 2016

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

Chris Okello (Guest) on February 14, 2016

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

Joseph Kitine (Guest) on February 11, 2016

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Habiba (Guest) on January 22, 2016

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Josephine Nduta (Guest) on January 15, 2016

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

Esther Nyambura (Guest) on December 14, 2015

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

Frank Sokoine (Guest) on November 11, 2015

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

Anna Malela (Guest) on November 9, 2015

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Philip Nyaga (Guest) on November 8, 2015

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

John Kamande (Guest) on October 29, 2015

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

John Kamande (Guest) on October 8, 2015

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Faith Kariuki (Guest) on September 25, 2015

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Mary Sokoine (Guest) on September 2, 2015

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

Janet Mwikali (Guest) on August 17, 2015

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Grace Wairimu (Guest) on August 1, 2015

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

Richard Mulwa (Guest) on July 31, 2015

Hizi jokes ni za kipekee sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Monica Nyalandu (Guest) on July 11, 2015

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

David Kawawa (Guest) on July 4, 2015

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Salima (Guest) on June 13, 2015

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

Tabitha Okumu (Guest) on June 5, 2015

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Mary Kidata (Guest) on June 2, 2015

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

Yusuf (Guest) on May 27, 2015

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Andrew Odhiambo (Guest) on May 2, 2015

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Charles Mboje (Guest) on April 12, 2015

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

George Wanjala (Guest) on April 1, 2015

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

Related Posts

Baadhi ya misemo mikali ya leo

Baadhi ya misemo mikali ya leo

1. Mwanaume hata awe bahili vipi, hawezi kumpa mwanamke mimba nusu.

2. Hata uwe na magari m... Read More

Angalia nilichomfanyia huyu mwizi

Angalia nilichomfanyia huyu mwizi

Et jana usiku mwiz kavunja mlango kwangu
akaanza kutafuta kitu kila kona ikabid
na mie ... Read More

Soma huyu mtoto anachosema sasa, Ndoto za watoto bwana! Kazi ipo!

Soma huyu mtoto anachosema sasa, Ndoto za watoto bwana! Kazi ipo!

Mwalimu aliingia darasani na kuwauliza wanafunzi juu ya ndoto zao za baadae... Read More

Duh, huyu mama alichokifanya

Duh, huyu mama alichokifanya

Mke:Β Naelekea london, nikuletee zawadi gani?

Mume:Β kitu... Read More

Kilichotokea kwa binti na mvulana wake walipotaitishwa na baba yake msichana

Kilichotokea kwa binti na mvulana wake walipotaitishwa na baba yake msichana

Msichana alikuwa amekaa na baba yake kibarazani, mara akamuona MVULANAfrien... Read More

Cheki huyu mtoto anachomjibu mwalimu wake, kufundisha watoto ni kazi kweli kweli

Cheki huyu mtoto anachomjibu mwalimu wake, kufundisha watoto ni kazi kweli kweli

Mwanafunzi wa darasa la 2 kaulizwa na mwalimu wake

Hivi:je ukipewa maandazi 5 ukiambiwa ... Read More

Angalia huyu polisi kitu alichonijibu

Angalia huyu polisi kitu alichonijibu

Nimefika hapa Polisi Station nimefarijika sana na Kustuka baada ya kumkuta Askari hapa Kaunta ana... Read More

Duh! Angalia alichokula huyu mwizi! Wizi mwingine bwana!

Duh! Angalia alichokula huyu mwizi! Wizi mwingine bwana!

Baada ya mwizi kuvunja mlango huko Tarime, akaingia kwenye stoo akaona vinyama kwenye bakuli vik... Read More

Nilichokifanya wakati naangalia taarifa ya habari

Nilichokifanya wakati naangalia taarifa ya habari

Jana wakati naangalia taarifa ya habar mtangazaji akasema "mpenz mtazamaji nataka nikupe... Read More

Mkalimani alivyoharibu ibada ya leo

Mkalimani alivyoharibu ibada ya leo

Leo nikaamua niingie misa ya asubuhi kwenye kanisa moja la kilokole kulikua na ugeni wa mchungaji... Read More

Sababu ya watu kupenda mapenzi kuliko vita

Sababu ya watu kupenda mapenzi kuliko vita

Mwalimu aliuliza swali "Kwanini watu wanapenda MAPENZI kuliko VITA? Mwanafunzi mmoja akajibu:- "Kw... Read More
Kilichotokea baada ya kumdanganya mchungaji wangu

Kilichotokea baada ya kumdanganya mchungaji wangu

Jumapili baada ya kutoka KANISANI, Pastor akaona simu yangu niliyonunua LAKI 5,akaniuliza hiyo s... Read More

πŸ“– Explore More Articles
🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About