Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/list.ackyshine.com/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Ziara za kushtukiza zinachekesha sana

Featured Image

Mimi Nimecheka sana
πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡

ZIARA ZA KUSHTUKIZAπŸ˜€πŸ˜€
Mimi ni msomaji mzuri wa magazeti, na msikilizaji mzuri wa redio, huwa naangalia luninga mara chache sana kama nikibahatika kupita mahala kuna luninga. Sasa wiki hii nimesikia mengi kuhusu hizi ziara za kushtukiza za viongozi wetu, nikaona hili ni jambo zuri tena linafaa kuigwa na sisi wananchi wapenda maendeleo. Nikaona nijipange na mimi nifanye ziara kadhaa za kushtukiza katika sehemu mbalimbali zinazonihusu.

Nikaona nianze na ziara ya kushtukiza pale shuleni kwa huyu mwanangu, maana kila siku anakunywa chai na kuondoka na daftari zake na mie sijawahi kwenda shuleni kwao toka nilipomuandikisha shule mwezi Januari. Nilifika shuleni na kumuona mwalimu mkuu, ambae alianza kutetemeka nilipomuambia kuwa nimekuja pale kwa ziara ya kustukiza, sijui alidhani mi ni mmoja wa Mawaziri wapya, maana nilimuona jasho linamtiririka ghafla. Akanikaribisha ofisi yake iliyokuwa na vitabu kila kona, na kuita waalimu wote na kunitambulisha kuwa ni kiongozi nimekuja kwenye ziara ya kustukiza.

Nilipojitambulisha kuwa ni mzazi, waalimu wote nikawaona waanza kupumua kwa raha. Nikawaambia kuwa mimi nina mwanafunzi pale na nilikuja ziara ya kustukiza kujua maendeleo yake. Baada ya mwalimu mkuu kusaka jina la mwanangu nae akanambia, β€œMzee huyu mtoto hajaja shule mwezi wa tatu sasa, tulijaribu kukutafuta ikashindikana, hatujui yu wapi” Jasho likaanza kunitoka mimi, yule mtoto kila asubuhi nampa nauli anaenda shule, na mara nyingi ananiomba michango kumbe hata shule haji. Niliondoka bila kuaga presha ikiwa juu.

Nikaona niende kwenye genge la mke wangu nae nikamfanyie ziara ya ghafla nimhadithie mambo ya mwanae, nilipofika pale nikakuta kuna mdada mwingine anauza genge. Nikamsalimu, na kumuuliza mwenye genge ntampataje, jibu lake lingeniua kama ningekuwa si mkakamavu, β€œMume wake kaja kumchukua na gari wameenda kununua shamba Bagamoyo”. Nikaondoka nimechanganyikiwa, nikajuwa hapa dawa yangu moja tu, nayo ni Sabrina, mtoto wa Kinyaturu pale ambapo nikipata maudhi huwa naenda kubembelezwa.

Nikatwanga mguu kwa Sabrina nae nikamfanyie ziara ya ghafla ili anipoze moyo. Nilipogonga mlango wa chumba chake akatoka mbaba wa miraba minne, akanisalimia kwa upole, β€œSalama kaka unasemaje?” Jibu likanitoka β€œSamahani mie nilimkopesha huyu dada wa chumba hiki vitenge, nilikuja kuuliza kama ameshapata hela yangu” Ziara za kushtukiza zinataka moyo wa chuma jamani

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Mariam (Guest) on February 21, 2017

πŸ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

James Mduma (Guest) on February 4, 2017

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

Irene Akoth (Guest) on February 4, 2017

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Frank Macha (Guest) on January 27, 2017

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ˜†

Monica Nyalandu (Guest) on January 18, 2017

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

John Mushi (Guest) on January 15, 2017

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

Paul Ndomba (Guest) on January 11, 2017

Hii imenibamba sana! πŸ˜…πŸ€£

Mary Njeri (Guest) on December 3, 2016

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

Josephine Nduta (Guest) on November 24, 2016

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Sarafina (Guest) on November 21, 2016

πŸ˜† Hiyo punchline!

Ruth Kibona (Guest) on November 12, 2016

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

Margaret Anyango (Guest) on October 26, 2016

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

David Ochieng (Guest) on October 26, 2016

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

Michael Mboya (Guest) on October 3, 2016

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

David Chacha (Guest) on September 27, 2016

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Agnes Njeri (Guest) on September 15, 2016

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

Esther Cheruiyot (Guest) on August 21, 2016

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Anna Sumari (Guest) on July 25, 2016

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£

Alice Mwikali (Guest) on July 15, 2016

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

Agnes Sumaye (Guest) on July 10, 2016

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Ann Wambui (Guest) on July 8, 2016

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Stephen Amollo (Guest) on July 8, 2016

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Bernard Oduor (Guest) on July 3, 2016

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Jane Muthoni (Guest) on June 26, 2016

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Edward Chepkoech (Guest) on June 22, 2016

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

Chum (Guest) on May 19, 2016

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

Peter Tibaijuka (Guest) on May 6, 2016

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Francis Njeru (Guest) on May 4, 2016

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Richard Mulwa (Guest) on April 24, 2016

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

Paul Ndomba (Guest) on April 23, 2016

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

Isaac Kiptoo (Guest) on April 22, 2016

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Anthony Kariuki (Guest) on March 31, 2016

Hii ni ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Jacob Kiplangat (Guest) on February 29, 2016

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Edwin Ndambuki (Guest) on February 24, 2016

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

Mary Njeri (Guest) on February 5, 2016

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Zakaria (Guest) on February 3, 2016

Asante Ackyshine

Amir (Guest) on January 23, 2016

Hii kichekesho inastahili tuzo! πŸ†

Chum (Guest) on January 11, 2016

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

Lucy Wangui (Guest) on January 1, 2016

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

Sarah Mbise (Guest) on December 30, 2015

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Isaac Kiptoo (Guest) on December 9, 2015

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Lucy Mushi (Guest) on November 27, 2015

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

Mhina (Guest) on November 7, 2015

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Lydia Wanyama (Guest) on November 7, 2015

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

Hellen Nduta (Guest) on November 2, 2015

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

Elizabeth Mrope (Guest) on November 2, 2015

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Azima (Guest) on September 10, 2015

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Alice Mrema (Guest) on August 30, 2015

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Joseph Njoroge (Guest) on August 17, 2015

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

Andrew Mchome (Guest) on August 5, 2015

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

Nora Kidata (Guest) on July 31, 2015

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

Philip Nyaga (Guest) on July 15, 2015

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†

Charles Mrope (Guest) on June 22, 2015

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

Francis Mrope (Guest) on June 12, 2015

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Rose Mwinuka (Guest) on June 12, 2015

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Tambwe (Guest) on May 19, 2015

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Related Posts

Cheki tabia za kuandika vimaneno vya ajabuajabu kwenye pikipiki na bodaboda ilivyomponza huyu

Cheki tabia za kuandika vimaneno vya ajabuajabu kwenye pikipiki na bodaboda ilivyomponza huyu

Jamaa mmoja dereva wa bajaji alianguka, sasa bajaji ikawa imem'bana akawa anafurukuta bil... Read More

Misemo ya kina dada

Misemo ya kina dada

Misemo ya kina dada

walianza na halohalooo!
Wakaja unalo babu weee!
Ikafuata utaj... Read More

Chezea kufulia!

Chezea kufulia!

Huu Mwezi jinsi nilivyofulia yaani hata nikikuta mende wamesimama wawili najua wananisem... Read More

Hizi swaga za huyu jamaa ni shida, Google!

Hizi swaga za huyu jamaa ni shida, Google!

Jamaa alikuwa kwenye daladala pembeni kuna
dada mrembo kakaa. Kamlia timing kwa muda
ki... Read More

Sitasahau mwaka huu

Sitasahau mwaka huu

Sitasahau mwaka ule ambapo nilipeleka barua ya maombi yangu ya kazi kwenye kampuni moja ... Read More

Amri za chuo

Amri za chuo

Ndio hizi sasa

1.Hicho ndicho chuo chako usiwe na chuo kingine ila hicho.
2.Usilitaje ... Read More

Kweli tamaa ni mbaya, mke wa mtu kaponzwa na tamaa, ndio basi tena

Kweli tamaa ni mbaya, mke wa mtu kaponzwa na tamaa, ndio basi tena

Jamaa kaenda kwa mke wa rafiki yake:
JAMAA: Shem nakupenda!
MKE: Hebu... Read More

Huyu dogo nimsaidieje? Cheki alivyojichanganya

Huyu dogo nimsaidieje? Cheki alivyojichanganya

Nimekutana na dogo mmoja hivi hapa analia,namuliza analia nin??ananambia ''ALIPEWA MIA TANO ZIPO... Read More

Jinsi Baba na mtoto wanavyoweza kuwaziana

Jinsi Baba na mtoto wanavyoweza kuwaziana

Duh! Maisha

Ile time unawaza baba angekua MO DWEJI baba ako na ye anawaza mwanangu ... Read More

Sifa 10 za mwanaume ambaye kila binti anayetaka aolewe angependa aolewe naye!!

Sifa 10 za mwanaume ambaye kila binti anayetaka aolewe angependa aolewe naye!!

1. Awe na pesa nyingi

2.Siyo lazima awe mzuri wa sura

3. Ajenge ukweni

4.Awe mp... Read More

Kwa nini vitu vunavyoanza na "K" ni vitamu sana?

Kwa nini vitu vunavyoanza na "K" ni vitamu sana?

Zuzu kaniuliza, "Anko, unajua vitu vinavyoanzia na K ni vitamu sana." Nikashtuka, "Astaghafilulah we... Read More
Kuwa single nao ugonjwa eh, cheki huyu alichokifanya

Kuwa single nao ugonjwa eh, cheki huyu alichokifanya

Et

Umexhawah kuwa single had ukaamua kununua viatu vya kike kix... Read More