Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/list.ackyshine.com/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Nani Mkali Hapa kati ya DEMU na MSHIKAJI?

Featured Image

"MAENEO FLANI ya KISHUA"

-Mshikaji kamwona demu mkali
anakatiza kitaa akamkubali akaamua
amfuate amtemee cheche

MSHIKAJI- mambo dada?

DEMU- pouwa

MSHIKAJI-
umependezaa!!!

DEMU- asante.

MSHIKAJI- unaweza ukanisaidia
namba
yako ya simu……..
maana duh
nmekukubali
kinyama.

Demu baada ya kuambiwa vile
akazama kwenye pochi lake akatoa
noti ya
sh.10000 akaandika namba yake
kwenye
noti akampa mshikaji.

Mshikaji kapokea ile noti kachana
sehem
iliyoandikwa namba halafu
kamrudishia
Demu noti yake..!!!

NANI ANA DHARAU
NA NANI JEURI..
DEMU AU MSHIKAJI??!

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Nora Kidata (Guest) on September 28, 2017

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

Fadhila (Guest) on September 23, 2017

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

Mary Sokoine (Guest) on September 6, 2017

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

Tabitha Okumu (Guest) on August 16, 2017

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

George Tenga (Guest) on June 4, 2017

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

George Tenga (Guest) on May 23, 2017

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

Charles Mboje (Guest) on May 17, 2017

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

Tabitha Okumu (Guest) on May 11, 2017

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

George Tenga (Guest) on May 1, 2017

πŸ˜‚ Kali sana!

Joseph Kiwanga (Guest) on April 28, 2017

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

Robert Okello (Guest) on April 24, 2017

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

Nicholas Wanjohi (Guest) on April 11, 2017

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

George Tenga (Guest) on March 24, 2017

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Lucy Mushi (Guest) on February 23, 2017

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Kassim (Guest) on January 25, 2017

πŸ˜… Bado nacheka!

Anna Malela (Guest) on December 16, 2016

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Irene Makena (Guest) on December 8, 2016

😊🀣πŸ”₯

Andrew Mchome (Guest) on November 22, 2016

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Josephine Nduta (Guest) on November 19, 2016

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Esther Cheruiyot (Guest) on November 17, 2016

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

Mtumwa (Guest) on October 7, 2016

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

Dorothy Majaliwa (Guest) on August 25, 2016

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Charles Mboje (Guest) on August 19, 2016

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

Paul Ndomba (Guest) on August 8, 2016

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Lucy Wangui (Guest) on July 27, 2016

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Irene Makena (Guest) on June 30, 2016

🀣 Hii imewaka moto!

James Kawawa (Guest) on May 17, 2016

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

Janet Mwikali (Guest) on May 15, 2016

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Hellen Nduta (Guest) on May 5, 2016

πŸ˜‚πŸ˜†

Peter Mugendi (Guest) on May 4, 2016

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Charles Mboje (Guest) on May 2, 2016

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Anna Mahiga (Guest) on April 12, 2016

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Benjamin Masanja (Guest) on March 24, 2016

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

Joseph Njoroge (Guest) on January 22, 2016

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Alex Nyamweya (Guest) on January 14, 2016

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

Dorothy Mwakalindile (Guest) on January 4, 2016

πŸ˜† Bado nacheka!

Elizabeth Mrema (Guest) on November 20, 2015

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Baraka (Guest) on November 15, 2015

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

Zakia (Guest) on November 13, 2015

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

Benjamin Masanja (Guest) on October 21, 2015

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Chris Okello (Guest) on October 8, 2015

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

Henry Mollel (Guest) on October 7, 2015

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

George Wanjala (Guest) on October 4, 2015

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

Mary Njeri (Guest) on September 25, 2015

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Monica Lissu (Guest) on September 11, 2015

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

Nancy Kabura (Guest) on September 3, 2015

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Bahati (Guest) on August 29, 2015

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Diana Mallya (Guest) on August 19, 2015

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

Yusra (Guest) on August 16, 2015

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Mary Sokoine (Guest) on July 24, 2015

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Bernard Oduor (Guest) on July 12, 2015

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

David Musyoka (Guest) on July 8, 2015

πŸ˜‚πŸ€£

Anna Mchome (Guest) on July 5, 2015

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Anna Mahiga (Guest) on June 14, 2015

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

Mary Njeri (Guest) on June 4, 2015

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Kenneth Murithi (Guest) on June 3, 2015

πŸ˜† Hiyo punchline!

Hekima (Guest) on May 9, 2015

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

Agnes Lowassa (Guest) on May 4, 2015

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Anna Sumari (Guest) on April 24, 2015

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Related Posts

Huyu Jamaa ubahili umezidi kwa hiki anachomwambia huyu dada

Huyu Jamaa ubahili umezidi kwa hiki anachomwambia huyu dada

Kama ni ubahili hapa umezidi

mdadaΒ Bby naomba hela nimpeleke mdogo wangu ... Read More

Soma alichojibiwa huyu mzee baada ya kudai kutaka kumsikiliza Nyerere

Soma alichojibiwa huyu mzee baada ya kudai kutaka kumsikiliza Nyerere

Mzee: Dereva ongeza sauti tumsikilize Mwalimu Nyerere!!

Dereva: ungemsikiliza mwalimu wa... Read More

Angalia alichokifanya huyu sharobaro kanisani

Angalia alichokifanya huyu sharobaro kanisani

Huu usharobaro mwingine uchizi. Jamaa kamzimia demu kanisani, mara ukafika mda wa kutoa sadaka, eti ... Read More
Je, hii ni kweli kwa wale wasichana wasiojibu meseji WhatsApp!!!?

Je, hii ni kweli kwa wale wasichana wasiojibu meseji WhatsApp!!!?

Ukiona hivyo ujue ndio hivi

Mwanaume mwenzangu ukiona unamtext msg msichana WhatsApp kaisom... Read More

Ikitokea hii kwenye chumba cha mtihani

Ikitokea hii kwenye chumba cha mtihani

Upo kwenye chumba cha mtihani,
maswalii yamekupiga kinyama
Unaamua kuchukua smartphone ... Read More

Jinsi Baba na mtoto wanavyoweza kuwaziana

Jinsi Baba na mtoto wanavyoweza kuwaziana

Duh! Maisha

Ile time unawaza baba angekua MO DWEJI baba ako na ye anawaza mwanangu ... Read More

Unakumbuka haya enzi za shule?

Unakumbuka haya enzi za shule?

Kama umesoma st Kayumba utakuwa una aidia na haya…

1.Unaenda shule umechelewa unakuta mwa... Read More

Mabinti wengine kwa kupenda hela! cheki huyu anachokifanya

Mabinti wengine kwa kupenda hela! cheki huyu anachokifanya

Phone call gal: hellow Boy: sweety mambo vipi? Girl: poa Boy: utakuwa free weekend? nilikuwa nataka ... Read More
Soma alichokisema mlevi baada ya kukuta watu wakimpiga mwizi

Soma alichokisema mlevi baada ya kukuta watu wakimpiga mwizi

Mlevi mmoja aliona wananchi wakipiga mwizi akawaambia "mwacheni msimpige, hii tabia yenu ya kupi... Read More

Cheka kidogo na wewe hapa

Cheka kidogo na wewe hapa

*Kama mtaani kwenu mambo yamekuwa tait , usikimbilie mtaani kwetu kwani huku yamekuwa dera kabisa... Read More

Status za Whatsapp za Wazungu na Wabongo

Status za Whatsapp za Wazungu na Wabongo

STATUS ZA WAZUNGU kwenye Whatsapp vere vere kliaaa…
πŸ‘‰sick
πŸ‘‰at movie
Β... Read More

Angalia huyu mwanamke mwenye wivu kwa mumewe alivyoumbuka, Mme wake kamuweza kweli

Angalia huyu mwanamke mwenye wivu kwa mumewe alivyoumbuka, Mme wake kamuweza kweli

WIVU HUU NI NOMA Mke: Hivi mume wangu una wanawake wangapi huko nje? Mume: Kama nywele za kichwa c... Read More
πŸ“– Explore More Articles
🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About