Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/list.ackyshine.com/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Utajuaje kama unachoangalia ni filamu ya kibongo!!!!

Featured Image

Angalia hivi

-Mlinzi wa Getini lazima awe chizi
-Mtu yupo kijijini, maisha magumu ana Wave
kichwani.
-Kama bosi atakuwa na kampuni basi ni lazima
itakuwa ya Clearing and Forwading au ya uuzaji
Magari.
-Lazima waende Kununua nguo.
-Jambazi lazima avae koti lefu jeusi na Miwani.
-Mtu akichapwa kofi huangukia kwenye kochi
ama kitandani.
-Actress huwa hawapiki hata chai.
-Kwa mdada akiishi maisha ya kitajiri lazima
avae nguo inayoishia mapajani.
-Actress even after 5 yeas utakuta staili ya
nywele na rangi za kucha ni zile zile.
-Anaweka Sumu alafu anaonja kama imekolea.
-Movie zote wapenzi huitana Baby..
-Main actor wote ni wafanya biashara na lazima
wataongelea mizigo kutoka bandarini.
-Wakinywa Soda basi lazima wabakishe.

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Charles Mchome (Guest) on January 17, 2018

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

Joyce Mussa (Guest) on January 10, 2018

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Victor Mwalimu (Guest) on November 19, 2017

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Nasra (Guest) on October 31, 2017

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Alex Nyamweya (Guest) on October 15, 2017

πŸ˜‚πŸ€£

Victor Sokoine (Guest) on October 14, 2017

πŸ˜„ Kali sana!

David Musyoka (Guest) on September 23, 2017

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

Nasra (Guest) on September 5, 2017

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

Alex Nyamweya (Guest) on September 2, 2017

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

Kheri (Guest) on August 18, 2017

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Rose Kiwanga (Guest) on July 10, 2017

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

Muslima (Guest) on May 24, 2017

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

Bernard Oduor (Guest) on April 28, 2017

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Tabitha Okumu (Guest) on March 13, 2017

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

Muslima (Guest) on February 11, 2017

🀣 Sikutarajia hiyo!

Sarah Achieng (Guest) on February 8, 2017

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

Mwachumu (Guest) on February 4, 2017

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Margaret Mahiga (Guest) on February 2, 2017

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Edwin Ndambuki (Guest) on January 26, 2017

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Diana Mallya (Guest) on January 9, 2017

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

Joseph Kitine (Guest) on December 25, 2016

Hizi jokes ni za kipekee sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Biashara (Guest) on December 22, 2016

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

Dorothy Mwakalindile (Guest) on November 18, 2016

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Azima (Guest) on October 19, 2016

πŸ˜… Nilihitaji hii!

Nassor (Guest) on October 19, 2016

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Maida (Guest) on October 14, 2016

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Ramadhan (Guest) on September 18, 2016

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Margaret Anyango (Guest) on August 19, 2016

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Elizabeth Mrope (Guest) on July 28, 2016

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

Anna Malela (Guest) on July 12, 2016

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

Elizabeth Mrema (Guest) on July 5, 2016

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Carol Nyakio (Guest) on June 22, 2016

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Irene Akoth (Guest) on June 19, 2016

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Jane Muthui (Guest) on June 7, 2016

😊🀣πŸ”₯

Susan Wangari (Guest) on May 27, 2016

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Mwanakhamis (Guest) on April 16, 2016

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Anthony Kariuki (Guest) on March 25, 2016

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Mercy Atieno (Guest) on March 20, 2016

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

Joyce Mussa (Guest) on March 15, 2016

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜ŠπŸ˜†

David Musyoka (Guest) on February 16, 2016

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

Rose Waithera (Guest) on November 14, 2015

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

Charles Mboje (Guest) on October 28, 2015

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

Victor Kimario (Guest) on October 18, 2015

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

Halimah (Guest) on October 3, 2015

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Rose Kiwanga (Guest) on September 2, 2015

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Shani (Guest) on August 3, 2015

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

Fredrick Mutiso (Guest) on July 23, 2015

πŸ˜† Kali sana!

Anna Sumari (Guest) on June 18, 2015

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

Margaret Mahiga (Guest) on June 13, 2015

πŸ˜… Bado nacheka!

Esther Cheruiyot (Guest) on June 5, 2015

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Mchawi (Guest) on May 30, 2015

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Shamim (Guest) on May 28, 2015

πŸ˜… Bado nacheka!

George Wanjala (Guest) on May 25, 2015

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

Mgeni (Guest) on May 18, 2015

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

Margaret Mahiga (Guest) on May 17, 2015

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Rahim (Guest) on April 29, 2015

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

John Lissu (Guest) on April 17, 2015

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

Related Posts

Makonda wana mambo, Kila mtu ni ndugu yao

Makonda wana mambo, Kila mtu ni ndugu yao

Hakuna m2 mwenye ndugu wengi kama konda wa daladala.

Utasikia,
"HAYA, DADA HAPO MBELE,... Read More

Kilichotokea baada ya kichaa kumfumania mke wake na mwanamme mwingine

Kilichotokea baada ya kichaa kumfumania mke wake na mwanamme mwingine

Jay akaruhusiwa kwenda nyumbani kutoka hospital ya Vichaa, akapakiwa ktk ambulance hadi karibu na ny... Read More
Madogo wa sikuizi ni kiboko, cheki huyu alichokifanya akiwa darasani na mwalimu wake

Madogo wa sikuizi ni kiboko, cheki huyu alichokifanya akiwa darasani na mwalimu wake

Muda wa kwenda nyumbani ulikuwa umefika, mwalimu
akasema: yeyote atakaye jibu swali langu lo... Read More

Duh. mjamzito ana kazi

Duh. mjamzito ana kazi

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ukimuona mjamzito katema mate ujue mtoto kajamba

... Read More
Ulishawahi kukutana na hii? Maana yake ni nini?

Ulishawahi kukutana na hii? Maana yake ni nini?

Ulishawahi kutana na hii….
Issa: mambo
Jeni:poa vp
Issa:poa nambie:

Jeni:p... Read More

Sio kwa wivu huu

Sio kwa wivu huu

Wanawake nilianza kuwachukia tokea shule ya msingi.

Ni pale mwanamke wangu aliponiacha na k... Read More

Cheki huyu jamaa alivyoumbuka akiwa ndani ya dala dala baada ya kupokea simu ya mkewe

Cheki huyu jamaa alivyoumbuka akiwa ndani ya dala dala baada ya kupokea simu ya mkewe

Jamaa kapokea simu kutoka kwa mke wake ndani ya daladala

jamaa: hellow hellow ( jamaa ak... Read More

BREAKING NEWS!!! Nyoka wa ajabu agundulika

BREAKING NEWS!!! Nyoka wa ajabu agundulika

HABARI MPASUKO..

jana katika taasisi ya wanyama pori ya Nat Geo ilitangazwa kuwa ametokea N... Read More

Kisa cha mzaramo na mchaga

Kisa cha mzaramo na mchaga

MZARAMO V/S MCHAGA.
Mzaramo alitangaza anatibu magonjwa yooooooote
kwa tsh. 100,000/=Read More

Mambao ya saluni ni shida, cheki kilichotokea kwa huyu

Mambao ya saluni ni shida, cheki kilichotokea kwa huyu

DADA alienda Salon wakati anasukwa akaingia
MKAKA mtanashati,
DADA akaamua kujaribu bah... Read More

Padri Akimbia wakati wa kuungamisha, chanzo ni hiki

Padri Akimbia wakati wa kuungamisha, chanzo ni hiki

Padri alikuwa amekaa katika confession booth kanisani
peke yake.
Mara... Read More

Cheki huyu jamaa anachomfanyia huyu mrembo kanisani

Cheki huyu jamaa anachomfanyia huyu mrembo kanisani

Jamaa kaenda kanisani akakaa karibu na mrembo. Wakati mahubiri yakiendlea jamaa akaanza kuingiza voc... Read More
πŸ“– Explore More Articles
🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About