Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/list.ackyshine.com/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Kwa nini vitu vunavyoanza na "K" ni vitamu sana?

Featured Image
Zuzu kaniuliza, "Anko, unajua vitu vinavyoanzia na K ni vitamu sana." Nikashtuka, "Astaghafilulah we mtoto! Niondolee wehu wako hapa!" Zuzu akatabasamu. Akaendelea kuongea kabla sijafanikiwa kumzuia. "Kweli kabisa anko. Vitu vinavyoanza na K ni vitamu sana kwa mfano kuku, kalimati, keki, kabab, katleti, kashata, kisheti na karoti." Nikashusha pumzi. "Ahaa! Kumbe ndo hivyo, ni kweli!" Zuzu akanitupia swali. "Kwani we anko ulidhani nini?"
AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Joseph Kiwanga (Guest) on June 22, 2017

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Patrick Kidata (Guest) on June 10, 2017

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

Patrick Kidata (Guest) on June 3, 2017

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

Nyota (Guest) on May 6, 2017

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

John Mwangi (Guest) on May 3, 2017

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Stephen Mushi (Guest) on April 16, 2017

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£

Tabitha Okumu (Guest) on April 14, 2017

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Sarah Mbise (Guest) on April 5, 2017

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Victor Kamau (Guest) on January 26, 2017

🀣 Hii imewaka moto!

Rahim (Guest) on January 26, 2017

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Henry Mollel (Guest) on January 22, 2017

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

Benjamin Masanja (Guest) on January 10, 2017

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

Alice Mwikali (Guest) on December 29, 2016

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Grace Majaliwa (Guest) on December 22, 2016

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

David Kawawa (Guest) on December 20, 2016

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

Martin Otieno (Guest) on December 2, 2016

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

Rose Waithera (Guest) on October 29, 2016

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

Nancy Komba (Guest) on October 19, 2016

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

Sarah Mbise (Guest) on October 11, 2016

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Mchuma (Guest) on October 8, 2016

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Monica Nyalandu (Guest) on September 20, 2016

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

Samson Mahiga (Guest) on September 19, 2016

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Betty Akinyi (Guest) on August 18, 2016

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

Moses Mwita (Guest) on August 13, 2016

πŸ˜‚ Kali sana!

Henry Mollel (Guest) on August 10, 2016

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Mwalimu (Guest) on August 1, 2016

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

Alice Wanjiru (Guest) on July 18, 2016

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

Grace Mligo (Guest) on May 26, 2016

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Stephen Mushi (Guest) on May 21, 2016

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Nora Lowassa (Guest) on May 16, 2016

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Francis Njeru (Guest) on May 13, 2016

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

Stephen Amollo (Guest) on May 12, 2016

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Andrew Mchome (Guest) on May 6, 2016

πŸ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

Daniel Obura (Guest) on May 5, 2016

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Peter Otieno (Guest) on April 26, 2016

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

John Lissu (Guest) on April 8, 2016

πŸ˜… Bado nacheka!

Betty Kimaro (Guest) on February 22, 2016

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Grace Majaliwa (Guest) on February 13, 2016

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Dorothy Majaliwa (Guest) on December 22, 2015

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

John Malisa (Guest) on November 10, 2015

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Rose Lowassa (Guest) on November 7, 2015

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

Agnes Njeri (Guest) on September 21, 2015

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Jacob Kiplangat (Guest) on August 14, 2015

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ˜†

Sarah Achieng (Guest) on August 6, 2015

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

Margaret Mahiga (Guest) on June 27, 2015

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Christopher Oloo (Guest) on June 4, 2015

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Elizabeth Mtei (Guest) on May 25, 2015

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

Charles Mboje (Guest) on May 22, 2015

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

Paul Kamau (Guest) on May 10, 2015

πŸ˜‚πŸ˜…

Charles Mboje (Guest) on May 3, 2015

πŸ˜† Hiyo punchline!

Josephine Nekesa (Guest) on April 23, 2015

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

James Kimani (Guest) on April 22, 2015

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Moses Mwita (Guest) on April 20, 2015

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

Tabitha Okumu (Guest) on April 10, 2015

πŸ˜‚πŸ€£

Richard Mulwa (Guest) on April 7, 2015

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Monica Adhiambo (Guest) on April 6, 2015

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Related Posts

Nilichokifanya jana baada ya kushuka kwenye basi Ubungo

Nilichokifanya jana baada ya kushuka kwenye basi Ubungo

Jana nateremka kwenye BASI UBUNGO nataka nichukue TEKSI hadi KIMARA naambiwa sh.15,000/=.
Wa... Read More

Cheki huyu mwanamke anavyomkomoa mme wake baada ya kumsaliti

Cheki huyu mwanamke anavyomkomoa mme wake baada ya kumsaliti

MKE: Mbona unanukia pafyumu ya kike?
MUME: Yaa kuna mwanam... Read More

Angalia huyu mwalimu alichokifanya

Angalia huyu mwalimu alichokifanya

Mwalimu aliingia darasani akiwa amechoka kinoma
akawambia wanafunzi.

'leo tutajifunza ... Read More

Kilichompata huyu anayependa kusoma SMS za watu kwenye daladala

Kilichompata huyu anayependa kusoma SMS za watu kwenye daladala

Jana nilipanda daladala nikapata seat nikaketi, nikawa nimejiachia ninachati kwenye simu yangu(Sm... Read More

Mume alichomjibu mchepuko wa mke wake

Mume alichomjibu mchepuko wa mke wake

😎 Jamaa kamuaga mkewe anaenda semina Songea kwa wiki nzima kumbe kahamia kwa demu nyu... Read More

Angalia huyu polisi kitu alichonijibu

Angalia huyu polisi kitu alichonijibu

Nimefika hapa Polisi Station nimefarijika sana na Kustuka baada ya kumkuta Askari hapa Kaunta ana... Read More

Angalia huyu Jamaa alichomfanyia mke wake jana

Angalia huyu Jamaa alichomfanyia mke wake jana

Jana niligombana na mke wng, Akaniambia nibebe kila kitu changu niondoke, Bas kiustaarabu... Read More

Ungekua wewe ndio mama wa huyu mtoto ungemfanyaje?

Ungekua wewe ndio mama wa huyu mtoto ungemfanyaje?

Kuna mtoto mmoja aliamka kutoka usingizini alipokuwa kalala na mama yake na kupiga kelel... Read More

Hii ya mamba na kiboko kali, Wewe unaonaje?

Hii ya mamba na kiboko kali, Wewe unaonaje?

Eti kati ya MAMBA na KIBOKO nani kiboko???😜😜😜😜... Read More

MAJIBU YA MAKONDA WA DALADALA ZETU GONGOLAMBOTO HUKU

MAJIBU YA MAKONDA WA DALADALA ZETU GONGOLAMBOTO HUKU

1. wewe Dada unaturingia nini na matiti yako mawili , mbwa pia ana matiti nane na haturingii eboo !!... Read More
Mchaga mmoja kamtoa mke wake out mambo yakawa hivi

Mchaga mmoja kamtoa mke wake out mambo yakawa hivi

*Mchaga mmoja kamtoa mke wake out.*

*mchaga* : _chips yai bei gani?_

*mhudumu*: _elfu... Read More

Huu mchezo hautaki makeup

Huu mchezo hautaki makeup

Mama mwenye nyumba anajipodoa anashinda saloon kujipodoa lakini house girl hata mafuta us... Read More