Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/list.ackyshine.com/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Bangi si mchezo, Angalia kilichowakuta hawa

Featured Image
Bangi si mchezo! Jamaa kaikoleza si ikamtuma avue nguo! Akavua nguo zote akaenda kwenye kioo, kujitazama akaona kama kavaa suti! then akaenda kama alivyo zaliwa kwa masela wenzake akawauliza vp suti imenikaa? Mvuta bangi mwenzie akamwambia "imekutoa kinyama ila tai umeifunga chini sana".
AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

James Kimani (Guest) on March 19, 2017

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

David Musyoka (Guest) on March 18, 2017

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Hekima (Guest) on March 15, 2017

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Monica Adhiambo (Guest) on January 25, 2017

🀣 Sikutarajia hiyo!

Elijah Mutua (Guest) on January 5, 2017

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Catherine Naliaka (Guest) on January 2, 2017

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Alice Jebet (Guest) on January 1, 2017

πŸ˜‚πŸ‘Œ

Leila (Guest) on December 21, 2016

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

Anthony Kariuki (Guest) on December 19, 2016

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Bernard Oduor (Guest) on December 15, 2016

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Henry Sokoine (Guest) on December 10, 2016

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Joy Wacera (Guest) on December 9, 2016

🀣πŸ”₯😊

Victor Kimario (Guest) on December 8, 2016

πŸ˜„ Kali sana!

Alex Nyamweya (Guest) on November 20, 2016

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

Mary Njeri (Guest) on November 20, 2016

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Ruth Wanjiku (Guest) on November 13, 2016

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

Grace Wairimu (Guest) on October 9, 2016

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

David Nyerere (Guest) on October 8, 2016

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Moses Kipkemboi (Guest) on September 12, 2016

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Anna Sumari (Guest) on September 9, 2016

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Nancy Akumu (Guest) on September 6, 2016

Hii ni ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Shani (Guest) on September 5, 2016

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

Rehema (Guest) on September 3, 2016

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

James Malima (Guest) on August 20, 2016

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

Diana Mumbua (Guest) on July 28, 2016

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Sultan (Guest) on July 27, 2016

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Paul Ndomba (Guest) on July 8, 2016

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

Tambwe (Guest) on June 17, 2016

πŸ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

Rukia (Guest) on May 9, 2016

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Nyota (Guest) on May 7, 2016

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

Charles Mrope (Guest) on April 19, 2016

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

Rose Lowassa (Guest) on April 7, 2016

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Mary Kidata (Guest) on March 31, 2016

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

Anna Sumari (Guest) on March 18, 2016

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Majid (Guest) on March 11, 2016

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Anna Mchome (Guest) on February 16, 2016

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

Nancy Komba (Guest) on February 15, 2016

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

Kenneth Murithi (Guest) on December 20, 2015

🀣 Kichekesho bora kabisa!

Nuru (Guest) on November 29, 2015

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

Philip Nyaga (Guest) on November 14, 2015

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Habiba (Guest) on November 4, 2015

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Faith Kariuki (Guest) on November 2, 2015

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Jacob Kiplangat (Guest) on October 30, 2015

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

Sarah Mbise (Guest) on September 15, 2015

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

Maneno (Guest) on September 4, 2015

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

Lucy Mahiga (Guest) on August 3, 2015

πŸ˜‚πŸ€£

Mwanajuma (Guest) on July 22, 2015

😁 Kicheko bora ya siku!

Stephen Amollo (Guest) on July 9, 2015

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

Alice Mwikali (Guest) on June 30, 2015

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Joseph Kawawa (Guest) on June 26, 2015

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

Amina (Guest) on June 20, 2015

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Hekima (Guest) on June 18, 2015

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Henry Sokoine (Guest) on May 26, 2015

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Vincent Mwangangi (Guest) on May 24, 2015

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Carol Nyakio (Guest) on May 14, 2015

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

David Nyerere (Guest) on May 3, 2015

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

Faith Kariuki (Guest) on April 2, 2015

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Related Posts

Unakumbuka haya enzi za shule?

Unakumbuka haya enzi za shule?

Kama umesoma st Kayumba utakuwa una aidia na haya…

1.Unaenda shule umechelewa unakuta mwa... Read More

Analia kilichompata huyu jamaa baada ya kubadili jinsia yake kichawi

Analia kilichompata huyu jamaa baada ya kubadili jinsia yake kichawi

Jamaa alimpa ujauzito mwanafunzi akashtakiwa kumbe yule jamaa ana bibi yake mtaalam wamambo yetu ... Read More

Angalia huyu jamaa alivyoachika na msichana wake kwa kujidai kuongea kingereza na mwishowe kuchanganya maneno

Angalia huyu jamaa alivyoachika na msichana wake kwa kujidai kuongea kingereza na mwishowe kuchanganya maneno

MSICHANA: Mbona jana nimekupigia simu hujapokea?
JAMAA: please beby forget me.
MSichAnA... Read More

Mcheki Chizi na daktari

Mcheki Chizi na daktari

Tafakari na ujumbe huuuu!!!…

DAKTARI :- Unajisikiaje?

CHIZI:-Kila siku naota nyani ... Read More

Utajuaje kama unachoangalia ni filamu ya kibongo!!!!

Utajuaje kama unachoangalia ni filamu ya kibongo!!!!

Angalia hivi

-Mlinzi wa Getini lazima awe chizi
-Mtu yupo kijijini, maisha magumu ana ... Read More

Huyu mke kwa kupenda hela! Cheki anachomwambia mume wake

Huyu mke kwa kupenda hela! Cheki anachomwambia mume wake

Jamaa karudi toka kazini mpole na hana furaha! MKE; Vipi leo mbona mpole? MUME; Ofisi yetu imeungua ... Read More
Kilichompata huyu jamaa akiwa anaangalia mpira mechi kali na mke wake

Kilichompata huyu jamaa akiwa anaangalia mpira mechi kali na mke wake

WIFE: Baibie, yule ni nani? Ni Chris Brown??
HUSBAND: Yule ni Theo Walco... Read More

Muda ambao unaweza kumzoea dingi

Muda ambao unaweza kumzoea dingi

Muda pekee ambao unaweza kumzoea DINGI ni pale unapomfundisha kutumia SMARTPHONE….

Wanaku... Read More

Tofauti kati ya Binti wa Kizungu na Binti wa Kibongo mwanamme anapotoka kuoga

Tofauti kati ya Binti wa Kizungu na Binti wa Kibongo mwanamme anapotoka kuoga

Tofauti ya Binti wa Kizungu na Binti wa Kibongo pale ambapo Mwanaume wake atokapo kuoga.

Bi... Read More

Kilichotokea wakati mchungaji akifungisha ndoa ya Mashoga

Kilichotokea wakati mchungaji akifungisha ndoa ya Mashoga

Mchungaji mmoja baada ya kuwafungisha ndoa "MASHOGA" wawili alipata wakati mgumu kutamka kuwa "sasa ... Read More
Upendo wa kweli ni nini?

Upendo wa kweli ni nini?

*Upendo wa kweli ni nini?*
*πŸ‘‰Upendo wa kweli ni pale mwanaume anapomfumania mwanamke wake... Read More

Angalia hawa machizi walichokisema baada ya kuona ndege angani

Angalia hawa machizi walichokisema baada ya kuona ndege angani

Machizi wamekaa sehemu mara ghafla ikapita ndege angani.
Chizi wa kwanza... Read More

πŸ“– Explore More Articles
🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About